Mh,!!kwa hii hapanaKuchekelea\kufurahia mada zinazomhusu makonda ila akitokea mtu unajidai kupondea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh,!!kwa hii hapanaKuchekelea\kufurahia mada zinazomhusu makonda ila akitokea mtu unajidai kupondea
Kwenye basi halafu,,basi limejaa mtiti kama mwendokasi ya mbezi,,halafu mtu anakiachia kisilencer pyuuu,,kila mtu anamhisi mwenzake ndo huyu nn,,Kujamba kwa silencer, hii wengi wanafanya!
Wengine hawatemi wanaila hata kama ni kidogooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuchokonoa nyama na kijiti kwenye meno halafu unakitoa mdomoni unakinusa kisha unachokonoa tena
Daaah watu nomaWengine hawatemi wanaila hata kama ni kidogooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usifanye hivyo utakumbwa na jini mahaba na utashindwa kupata mumeSijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naeza kumaliza lisaa zima katika kioo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwa unakula peke yako nyama ikidondoka chini unaichukua unaila ila mkiwa wengi unazuga na kuitupa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
Aisee ni kweli kabisa mkuu..asante kwa nyongezaTania zingine common:
1. Kufungua na kuangalia Picha za utupu au kuangalia "pilau" la kikubwa kwenye PC au kilonga longa chako Hasa unapokuwa umebaki peke yako nyumbani au ofisini.
2. Kukojoa kwenye kopo mida ya usiku (kwa wasio na room self contained) Hasa wanawake na kwenda kumwaga mkojo nje asubuhi kiujanja ujanja aisonekane.
3.Kupiga chabo na kumvutia hisia demu mzuri au (Hasa mke Wa mpangaji mwenzio) kwa kupitia dirisha au kitasa cha mlango .
4. Kujifanya serious na kutokuwa na shobo nae kwa demu mzuri Wa kitaa au kwa mfanyakazi demu, afu akiondoka unaanza kumuwaza kama angekuwa demu wako namna ambavyo ungemchakaza kwenye mtanange.
Kamchezo kataaamKula nyeto...
***** hahaKula nyeto...
Hahaha et kamchezo kataam [emoji23][emoji23]Kamchezo kataaam
Aahh aahhh ukianza ngum kuachaKamchezo kataaam
Mi pia 😂😂Kucheza uchi mbele ya kioo..!!