Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

Tabia zingine common:
1. Kufungua na kuangalia Picha za utupu au kuangalia "pilau" la kikubwa kwenye PC au kilonga longa chako Hasa unapokuwa umebaki peke yako nyumbani au ofisini.

2. Kukojoa kwenye kopo mida ya usiku (kwa wasio na room self contained) Hasa wanawake na kwenda kumwaga mkojo nje asubuhi kiujanja ujanja aisonekane.

3.Kupiga chabo na kumvutia hisia demu mzuri au (Hasa mke Wa mpangaji mwenzio) kwa kupitia dirisha au kitasa cha mlango .

4. Kujifanya serious na kutokuwa na shobo nae kwa demu mzuri Wa kitaa au kwa mfanyakazi demu, afu akiondoka unaanza kumuwaza kama angekuwa demu wako namna ambavyo ungemchakaza kwenye mtanange.
 
Tania zingine common:
1. Kufungua na kuangalia Picha za utupu au kuangalia "pilau" la kikubwa kwenye PC au kilonga longa chako Hasa unapokuwa umebaki peke yako nyumbani au ofisini.

2. Kukojoa kwenye kopo mida ya usiku (kwa wasio na room self contained) Hasa wanawake na kwenda kumwaga mkojo nje asubuhi kiujanja ujanja aisonekane.

3.Kupiga chabo na kumvutia hisia demu mzuri au (Hasa mke Wa mpangaji mwenzio) kwa kupitia dirisha au kitasa cha mlango .

4. Kujifanya serious na kutokuwa na shobo nae kwa demu mzuri Wa kitaa au kwa mfanyakazi demu, afu akiondoka unaanza kumuwaza kama angekuwa demu wako namna ambavyo ungemchakaza kwenye mtanange.
Aisee ni kweli kabisa mkuu..asante kwa nyongeza
 
Back
Top Bottom