Lazima Tanzania iwe na mpango maalumu wa kutengeneza Silaha za kujilinda

Lazima Tanzania iwe na mpango maalumu wa kutengeneza Silaha za kujilinda

Bajeti ya kila mwaka inaputa tu lakini sijawahi kuona bajeti mahususi ya kuunda silaha zetu.

Tanzania ina Uranium lakini sijasikia bajeti ya kuunda Silaha kali za nyuklia kwa ulinzi wetu.

Je, tunaogopa walami? Hakuna siku walami wataturuhusu kuunda silaha kali za kivita bali sisi tunatakiwa kujiongeza tu na kuanza kuunda silaha hizo kwa sababu nyenzo/resources tunazo.

Wakubwa wa dunia watatukataza tusijali na tuwaeleze ukweli kuwa tunataka kujilinda na sio kusubiri wao watulinde.

Huu ni uchokozi na uchokonozi tunaotakiwa kuufanya bila woga.

Tanzania ni nchi huru na tuna budi kufanya lolote kwa uhuru.

Nchi huru haipangiwi cha kufanya.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hakuna silaha nzuri kama kujitosheleza kiuchumi

Tuboreshe kilimo, nishati, elimu, viwanda na kujituma

Faida zake ni kubwa kuliko bunduki na mizinga
 
Hivi ndio aina vipaumbele mnatakiwa mvifanyie kazi kabla ya kuwaza vita.
images (43).jpeg
 
Dah watu wanachukulia mambo kiwepesi sana.
 
Mawazo finyu ya UVCCM, poor mind, shallow thinking

Chakula Ngano, Mafuta ya Kupika, na Sukari tunaagiza

Gesi ya Kupikia LNG tunaagiza

Fuel... Diesel, Petrol, jetfuel tunaagiza

Mtoa mada unaota ndoto za alinacha!

Hata uchumi wa Kenya hatujaufikia...

African kusini hawaagizi chakula Kwa wingi kama Tz, na uchumi ni Mkubwa sana, bado hawajawaza nuclear
 
ifanyike kwa siri angalau miezi 6 itimiapo mabeberu wakiligundua wakati tayari tuna maelfu ya silaha,wakituchokoza tunalipua dunia
 
Bajeti ya kila mwaka inaputa tu lakini sijawahi kuona bajeti mahususi ya kuunda silaha zetu.

Tanzania ina Uranium lakini sijasikia bajeti ya kuunda Silaha kali za nyuklia kwa ulinzi wetu.

Je, tunaogopa walami? Hakuna siku walami wataturuhusu kuunda silaha kali za kivita bali sisi tunatakiwa kujiongeza tu na kuanza kuunda silaha hizo kwa sababu nyenzo/resources tunazo.

Wakubwa wa dunia watatukataza tusijali na tuwaeleze ukweli kuwa tunataka kujilinda na sio kusubiri wao watulinde.

Huu ni uchokozi na uchokonozi tunaotakiwa kuufanya bila woga.

Tanzania ni nchi huru na tuna budi kufanya lolote kwa uhuru.

Nchi huru haipangiwi cha kufanya.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Corona imewatoa jasho ,utunzaji wa silaha za nyukilia Ndo mtaweza zitunza?
 
Bajeti ya kila mwaka inaputa tu lakini sijawahi kuona bajeti mahususi ya kuunda silaha zetu.

Tanzania ina Uranium lakini sijasikia bajeti ya kuunda Silaha kali za nyuklia kwa ulinzi wetu.

Je, tunaogopa walami? Hakuna siku walami wataturuhusu kuunda silaha kali za kivita bali sisi tunatakiwa kujiongeza tu na kuanza kuunda silaha hizo kwa sababu nyenzo/resources tunazo.

Wakubwa wa dunia watatukataza tusijali na tuwaeleze ukweli kuwa tunataka kujilinda na sio kusubiri wao watulinde.

Huu ni uchokozi na uchokonozi tunaotakiwa kuufanya bila woga.

Tanzania ni nchi huru na tuna budi kufanya lolote kwa uhuru.

Nchi huru haipangiwi cha kufanya.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkuu kuwa serious basi. Tunakosa madawati na walimu wa kutosha tutaweza hizo silaha?
 
Tukirudisha kodi ya kichwa angalau 10,000 kwa rika na umri wowote mpaka wa matumboni mwa mama zao hilo linawezekana kabisa
 
Mawazo finyu ya UVCCM, poor mind, shallow thinking

Chakula Ngano, Mafuta ya Kupika, na Sukari tunaagiza

Gesi ya Kupikia LNG tunaagiza

Fuel... Diesel, Petrol, jetfuel tunaagiza

Mtoa mada unaota ndoto za alinacha!

Hata uchumi wa Kenya hatujaufikia...

African kusini hawaagizi chakula Kwa wingi kama Tz, na uchumi ni Mkubwa sana, bado hawajawaza nuclear
Afrika kusini walikuwa na silaha za Nuclear na wakazi dismantle mwaka 1989.

Ikiwa ni Nchi ya kwanza duniani kuwa na Nuclear Capability na kuamua kwa hiari yao kuachana nazo.
 
Bajeti ya kila mwaka inaputa tu lakini sijawahi kuona bajeti mahususi ya kuunda silaha zetu.

Tanzania ina Uranium lakini sijasikia bajeti ya kuunda Silaha kali za nyuklia kwa ulinzi wetu.

Je, tunaogopa walami? Hakuna siku walami wataturuhusu kuunda silaha kali za kivita bali sisi tunatakiwa kujiongeza tu na kuanza kuunda silaha hizo kwa sababu nyenzo/resources tunazo.

Wakubwa wa dunia watatukataza tusijali na tuwaeleze ukweli kuwa tunataka kujilinda na sio kusubiri wao watulinde.

Huu ni uchokozi na uchokonozi tunaotakiwa kuufanya bila woga.

Tanzania ni nchi huru na tuna budi kufanya lolote kwa uhuru.

Nchi huru haipangiwi cha kufanya.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Toothpick mnaagiza toka nje labda nyuklia ya mayai viza.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Serikali hii inayowachinja Wazanzibari na wapinzani wake wa kisiasa ipewe nyuklia? Duh, itakuwa ni sawa na kumpa tumbili bunduki au kumpa kichaa rungu. Hatari tupu.

 
Tunajengewa vyoo vya shule kwa hisani ya Wamarekani. Halafu nyuklia! Labda nyuki lia wa kwenye mzinga!
Teh teh 😂😂😂 umenivunja mbavu aisee...

Tunachangamoto nyingi za kuangalia kama taifa kwa Sasa, hayo ya silaha sio kipaumbele chetu maana hatuna nchi adui.
 
Kwa uoga huu unaweza kweli kusisimamia hata familia yako
Tatizo letu waafrika hatupend kuukubali ukwel! Yaan kurealize jambo flan kua hatuwe ni ngumu sana!! Hebu ww weka hoja yako ya kupinga hoja yang. Ukwel utabak palepale hatuna uwezo kimaamuz kweny jambo kama hili, that's why nikasema unless otherwise tuamue kua kama North Korea ambapo lazima tu face some consequences ya vikwazo. Je tutahimili? Sometimes tuwe wakwel bado hatujafika level hiyo, tukitikiswa kdg tu na mabeberu na kutishia kutotoa misaada tunafanya watakacho 😂😂😂😂
 
JWTZ lazima ije na mkakati wa kujilinda nje ya mipaka ,sio kisilaha tu bali kiuchumi pia.

JWTZ lazima ijiandae kivita na kiuchokozi .

Tupo wengi na tuna uwezo
Kwa ajila zile za kukimbizana utapata wataalam shindani jwtz?

Mtaalamu anahitaji utulivu Ili aweze kufanya yake.

Bughudha masimango havitakiwi. Wataalamu wa milipuko wamefukuzwa kazi kisa eti watalipua mikutano ya kampeni ya jiwe.

Sasa utapa wapi wataalam wakuwavumilia na ushamba wenu huo?
 
Afrika kusini walikuwa na silaha za Nuclear na wakazi dismantle mwaka 1989.

Ikiwa ni Nchi ya kwanza duniani kuwa na Nuclear Capability na kuamua kwa hiari yao kuachana nazo.
Asante kwa Taarifa

Uchumi wa TANZANIA unalinganisha na South Africa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom