MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Kibaya zaidi Ujinga hauna mtu maalumNafikiri wajinga hawawezi kuisha duniani, alafu unajua kumuelezea mtu kitu ambacho hakijampa funzo ni ngumu kukuelewa? Ngoja tuwaache tukisubiri matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya zaidi Ujinga hauna mtu maalumNafikiri wajinga hawawezi kuisha duniani, alafu unajua kumuelezea mtu kitu ambacho hakijampa funzo ni ngumu kukuelewa? Ngoja tuwaache tukisubiri matokeo
Kuna watu wameshapigwa changa?!Mimi hawa jamaa sins deni nao na nawaombea hero kwa Mungu huko walipo, niliingia kama intern nikalipwa sh 1675 kwa Sikh baada ya Sikh 5 niktoa zangu 5600 baada ya hapo nikajiunga rasmi tarehe 25 mwezi 10 mwaka Jana kama p1 na kulipa 50,000 wakatupeleka kwenye hotel moja Kali sana huku Mwanza inaitwa Taiwan hotel tilikila bata la kuyosha wakatupa na posho sh 10000, T-shirt na kofia baada ya hapo in kuvuta mkwanja tu hadi sasa nimeingiza zaidi ya laki 2 na maisha yanaendelea tu.
Basi soon jiandaeMimi hawa jamaa sins deni nao na nawaombea hero kwa Mungu huko walipo, niliingia kama intern nikalipwa sh 1675 kwa Sikh baada ya Sikh 5 niktoa zangu 5600 baada ya hapo nikajiunga rasmi tarehe 25 mwezi 10 mwaka Jana kama p1 na kulipa 50,000 wakatupeleka kwenye hotel moja Kali sana huku Mwanza inaitwa Taiwan hotel tilikila bata la kuyosha wakatupa na posho sh 10000, T-shirt na kofia baada ya hapo in kuvuta mkwanja tu hadi sasa nimeingiza zaidi ya laki 2 na maisha yanaendelea tu.
Wanakuwa wanafanyaje hao SBL?Mdogo wangu kama wiki iliyopita akanipigia simu ananiambia kuna fursa ya pesa, baadae nitakupigia simu nikueleze vizuri.
Hakunipigia ila nikaona status anawatangaza hao LBL.
Yaani kuanzia mwezi wa kumi mwaka jana hadi leo umeingiza laki mbili tu?Mimi hawa jamaa sins deni nao na nawaombea hero kwa Mungu huko walipo, niliingia kama intern nikalipwa sh 1675 kwa Sikh baada ya Sikh 5 niktoa zangu 5600 baada ya hapo nikajiunga rasmi tarehe 25 mwezi 10 mwaka Jana kama p1 na kulipa 50,000 wakatupeleka kwenye hotel moja Kali sana huku Mwanza inaitwa Taiwan hotel tilikila bata la kuyosha wakatupa na posho sh 10000, T-shirt na kofia baada ya hapo in kuvuta mkwanja tu hadi sasa nimeingiza zaidi ya laki 2 na maisha yanaendelea tu.
Nijiandae kwa lipi wakati nimesharudisha hela yangu nipo nakula faida?Basi soon jiandae
Ni kutokana na hela niliyowekeza ni ndogo ila wapo walioingiza zaidi ya milioniYaani kuanzia mwezi wa kumi mwaka jana hadi leo umeingiza laki mbili tu?
Sasa si uendeshe hata bodaboda?
Laki mbili anaweza kuipata kwa siku 10.
Ndiyo huwa hivyo... Au hujawasoma waliotangulia?Ni kutokana na hela niliyowekeza ni ndogo ila wapo walioingiza zaidi ya milioni
Ndiyo huwa hivyo... Au hujawasoma waliotangulia?
Ndiyo huwa hivyo... Au hujawasoma waliotangulia?
Ndiyo huwa hivyo... Au hujawasoma waliotangulia?
Hakuna kipya hapo. Ponzi Au Pyramid schemes zote ziko ivo. Mwanzoni ni mtelezo, lakini Mwisho wa siku mkwamo wake hakuna atakayeweza kuwatoa watakaokuwa wamekwama.
Mwanangu kaweka laki Tisa hukoKwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania?
Nini channzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa.
Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa uingereza na raia wa marekani anaitwa Challis (see image). Hapa Tanzania kuna makampuni zaidi ya kumi yenye majina ya kufanana na hilo ambayo yamesajiliwa hivi karibuni. Kama kuna watu wa Brela humu wafanye uchunguzi yakinifu kuhusu uhusiano wa hizi kampuni.
TAHADHARI: Najua umeshawishiwa na kuona watu wanapata pesa, ila huu ni utapeli, kama umeweka pesa yako huko itoe chap, la sivyo soon utalambwa.
Nawasilisha!
Hahaha eeehKwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania?
Nini channzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa.
Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa uingereza na raia wa marekani anaitwa Challis (see image). Hapa Tanzania kuna makampuni zaidi ya kumi yenye majina ya kufanana na hilo ambayo yamesajiliwa hivi karibuni. Kama kuna watu wa Brela humu wafanye uchunguzi yakinifu kuhusu uhusiano wa hizi kampuni.
TAHADHARI: Najua umeshawishiwa na kuona watu wanapata pesa, ila huu ni utapeli, kama umeweka pesa yako huko itoe chap, la sivyo soon utalambwa.
Nawasilisha!
NaamHakuna kipya hapo. Ponzi Au Pyramid schemes zote ziko ivo. Mwanzoni ni mtelezo, lakini Mwisho wa siku mkwamo wake hakuna atakayeweza kuwatoa watakaokuwa wamekwama.
Na bahati mbaya nchi nyingi Sheria zake juu ya hizo skimu huishia kutaifisha tu mali za wachezeshaji bila ya kurudisha Hela kwa wale watakao kuwa wamekwama.
Hizi zinalipa kwa watu wachache wa mwanzoni....watu wakishakua wengi na kuzidi wanaoingia ultimately ita fail na hapo ndo wataanza kuonana wabayaKwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania?
Nini channzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa.
Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa uingereza na raia wa marekani anaitwa Challis (see image). Hapa Tanzania kuna makampuni zaidi ya kumi yenye majina ya kufanana na hilo ambayo yamesajiliwa hivi karibuni. Kama kuna watu wa Brela humu wafanye uchunguzi yakinifu kuhusu uhusiano wa hizi kampuni.
TAHADHARI: Najua umeshawishiwa na kuona watu wanapata pesa, ila huu ni utapeli, kama umeweka pesa yako huko itoe chap, la sivyo soon utalambwa.
Nawasilisha!