Hapo si unamnyima mwenzio OXYGEN,mazoezi muhimu baba
- The King Of All bongo Social Media Network last night hanging out with American Super Star Singer Neyo at the Special Party by Vodacom, hahahahahahaha ok watu wangu kesho ni safari ya Mwanza so tukutane Kirumba Stadium at JEMBEKA FESTIVAL sponsered by Vodacom Tanzania, kuna mashindano ya kupata tiketi za bure kwa Show la kesho nenda Instagram at @vodacomtanzania
le Mutuz
Taja Umri Wako Mbona Kama Unalikwepa Ilo Swali..
[emoji14] [emoji13] [emoji3] [emoji2] Sawa Bruh..
- Kijana hesbu safisha macho kwanza na Wabebezz wakareezzz Super Mtindizzz pigana na maisha upate pesa uache majungu huku JF ukajirushe na Wabebezzz hawa wakileo hahahahahahahaa last night hiyo Hyatt Kempisk Hotel at KURA MAISHA BATAZZZZ BATANNNNN hahahahahahaha vyombo vikubwa hivyo hahahahaha U know
le Mutuz
Hapo si unamnyima mwenzio OXYGEN,mazoezi muhimu baba
Huna lolote,hao unawa pimp to the highest bidder
Huna lolote,hao unawa pimp to the highest bidder
hahhahaaaaaaaaaaaaaaa acha nicheke tu mie
Lemutuz nipe kazi hapo ya kutangaza gospel music plsssss
naomba nikualike kwenye uzinduzi wangu wa kitabu mwezi wa july plss lemutuz the akili kubwaaaaz
- Haya mambo hayahitaji hasira hapo nilikuwa namkabidhi Makamu wa Rais kitabu nilichoandika chenye kurasa 368 kuhusu Kampeni za Mitandao kwenye Uchaguzi wa Rais uliopita, haya sema ni Kitabu cha taasisi yako hahahahahahaha wewe tulia hapa ni AKILI KUBWAZZZZ wewe utaishia kufukunyua ujinga ujinga tu kwenye mitandao na majina ya bandia hujiamini unaogopa ogopa, hata mambo ya AKILI KUBWA mtuachie sisi maana mimi siogopi natumia jina na id yangu cause nina mambo makubwa na educated,
- Wewe mtumzima umeenda shule kweli unatumia majina ya bandia kutukana watu mitandaoni unajiita Great Thinker? hahahahahahahaha please guys mnaharibu majina ya watu hahahahahahah
le Mutuz
naomba nikualike kwenye uzinduzi wangu wa kitabu mwezi wa july plss lemutuz the akili kubwaaaaz
Le Mkubwazzzzz- Bila tatizo lets communicate check me at +255 717 618 997 anytime, au karibu sana at my office Posta Mpya Tancot House 3rd FL., otherwise will be back on Monday matayarisho ya safari ya Mwanza now.
le Mutuz
mzee jibu swali la msingi una miaka mingapi?- hahahahahahaha wewe mambo yako ni ya bandia bandia ni fake fake sasa niambie kwenye kelele zote ulizoandika upi ni ukweli na upi ni fake ake kama jina lako? hahahahahahahahahah wewe ni bandia bandia tu hata maneno yako ni bandia bandia so mimi sio size yako mimi ni AKILI KUBWAZZZ tafuta bandia wenzako ubishane nao hahahahahahahaha
- Maneno mengi bandia bandia tu eti una degreee za bandia kama jina lako labda hahahahahahahhaa U know wewe umewahi kusikia wapi Shahidi mwenye jina la bandia akasema ukweli? hahahahahahahahaha
le Mutuz
mzee jibu swali la msingi una miaka mingapi?
Kwaiyo naye le mutuz atakuwa alegeza sauti kama diva si ndio
Au ushindani upi anausemea le bebezi
sio mimi,mimi ni mfuatiliaji tu na napunguza stress tu yapa za mchana kutwa,wewe umetakiwa ueleze umri wako sasa naona hili kama linapwaya,sasa mtajie umri ili mjadala uwe mzuri,na yy asipate sababu ya kutotaja jina lake ili mjadala uwe mtamu zaidi.
- hahahahaha ndio nimerudi U know nilikuwa MWanza for JEMBEKA FESTIVAL hapa ni back stage na KING OF POP IN EAST AFRICA Super Mega Star Diamond, unajua ilikuwa safari ya kikazi zaidi for Vodacom Tanzania so nimerudi now eti bado kuna ishu hapa? Yaani huajataja jina lako wala picha ila unauliza umri wa usiowajua? hahahahahahaha
le Mutuz
sio mimi,mimi ni mfuatiliaji tu na napunguza stress tu yapa za mchana kutwa,wewe umetakiwa ueleze umri wako sasa naona hili kama linapwaya,sasa mtajie umri ili mjadala uwe mzuri,na yy asipate sababu ya kutotaja jina lake ili mjadala uwe mtamu zaidi.
Sawa baba tunyoshe tu,basi angalau tafuta wardrobe manager khaaaaaaa...........
- hahahahaha ndio nimerudi U know nilikuwa MWanza for JEMBEKA FESTIVAL hapa ni back stage na KING OF POP IN EAST AFRICA Super Mega Star Diamond, unajua ilikuwa safari ya kikazi zaidi for Vodacom Tanzania so nimerudi now eti bado kuna ishu hapa? Yaani huajataja jina lako wala picha ila unauliza umri wa usiowajua? hahahahahahaha
le Mutuz