Le Baharia amuonya Diva Loveness

Le Baharia amuonya Diva Loveness

- Mimi sio BAlozi wa Vodacom ndio maana sibanwi kutumia mtandao wowote mimi ninawafanyia kazi za Social Media ndio maana Jumamosi nitaenda na Diamond na Neyo MWanza, utaona picha tu usiwe na wasi wasi U know

le Mutuz
mwaliko wako basi le mbebz nikakupetpet mwanza[emoji28]
 
Le Mutuz watu wanakuonea wivu mazee, le mutuz mutu asiye na hasira anayekutana na vikwazo kibao na maneno kibao...
Ila ndio cost za social media hizo mazee..

- No tofauti yetu ni mimi i get paid wao wanalia lia tu le mburulazzz ndio maana nawapenda maana wanazidi kupaisha my name kila likitajwa hapa page 10 U know hata nikiwa sipo maana nilikuwa Dodoma na Mafikizolo na Diamond U know hahahahah

le Mutuz
 
- hahahahahaha sasa mfike mahali mkubaliane nina miaka mingapi maana kila siku mnabadilika, mlianza na 49, ikawa 51, ikawa 54, ikawa 57, ikawa 64 na mwisho ikawa Umri mmoja na Pinda hahahahahaha hebu kaeni chini mkubaliane what is what? hahahahahahahahahahha

le Mutuz
Kweli le akili kubwaah....tunaomba basi uambie umma umri wako halisi maana unazua mjadala ili huo mjadala uishe....
 


- Haya mambo hayahitaji hasira hapo nilikuwa namkabidhi Makamu wa Rais kitabu nilichoandika chenye kurasa 368 kuhusu Kampeni za Mitandao kwenye Uchaguzi wa Rais uliopita, haya sema ni Kitabu cha taasisi yako hahahahahahaha wewe tulia hapa ni AKILI KUBWAZZZZ wewe utaishia kufukunyua ujinga ujinga tu kwenye mitandao na majina ya bandia hujiamini unaogopa ogopa, hata mambo ya AKILI KUBWA mtuachie sisi maana mimi siogopi natumia jina na id yangu cause nina mambo makubwa na educated,

- "Wewe mtu mzima umeenda shule kweli unatumia majina ya bandia "kutukana watu mitandaoni " unajiita Great Thinker"? hahahahahahahaha please guys mnaharibu majina ya watu hahahahahahah

le Mutuz

Ingependeza kuonyesha TUSI langu katika post yangu, mie nimetohoa tu kuwa HER INITIATIVE si TAASISI YA UDSM, na pale juu umeonyesha kuwa ni imeanzishwa na wanafunzi wa UDSM its fine umeeleweka....
 
Le mutumboziiii...lingekua na uwezo wa kukublock jf , ungeshachezea block....[emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Hahahahaaa! Mleta mada kama sio mwandishi wa magazeti ya Shigongo sijui...
 


- Haya mambo hayahitaji hasira hapo nilikuwa namkabidhi Makamu wa Rais kitabu nilichoandika chenye kurasa 368 kuhusu Kampeni za Mitandao kwenye Uchaguzi wa Rais uliopita, haya sema ni Kitabu cha taasisi yako hahahahahahaha wewe tulia hapa ni AKILI KUBWAZZZZ wewe utaishia kufukunyua ujinga ujinga tu kwenye mitandao na majina ya bandia hujiamini unaogopa ogopa, hata mambo ya AKILI KUBWA mtuachie sisi maana mimi siogopi natumia jina na id yangu cause nina mambo makubwa na educated,

- Wewe mtumzima umeenda shule kweli unatumia majina ya bandia kutukana watu mitandaoni unajiita Great Thinker? hahahahahahahaha please guys mnaharibu majina ya watu hahahahahahah

le Mutuz
Le shati kubwazzzz
Achana na Great SINKERS
Wanachojua ni kutukana TU.....

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/15740668
 
Yote tisa la 10 Nampa Salute Le mutuz jamaa kwa kutengeza ajira ukiacha hiyo Radioa ambae yeye ni shareholder, yeye kama yeye kwenye ofisi yake ana staff 2 au 3 hongera kaka, mana wengi wetu tunamponda, kumdhalilisha ila hata Mahouse girl tulokuwa nao hatujawapa mshahara tangu last mass, Kula 5 Le Mutuz, kiufupi ametuacha mbali mana sisi tunapoteza muda wa kumuongelea wakati yeye yuko buzy kutengeza pesa.. LE SUPER FORMULA YA KUTENGEZA MAISHA, I LUV YOU LEMUTUZ, LE SUPER STAR OF ALL COCIAL MEDIA! YOU KNOW KILA NIKIJA KWENYE PAGE YAKO YA IG NAJIFUNZA JAMBO.
Umesoma DSJ?
 
Hahahahaaaa The way le mutuz anavyo respond to these posts! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]
 
Baada ya kituo cha redio cha Swahili fm kurusha matangazo yake ya majaribio na kuonesha mafanikio ya hali ya juu,yaani kuweza kusikika kwa usikivu mzuri mpaka maeneo ya Pretoria na Cairo wakati kilikuwa na mpango wa kusikika Morogoro pekee, atakayekuwa mtangazaji mpya wa kipindi cha mapenzi kutoka swahili fm ndg Lemutuz ametoa onyo kali kwa mtangazaji mwenzie wa show za usiku kutoka upande wa pili kuwa ajiandae kwa upinzani wa kiwango cha lami toka kwa gwiji ilo la mitandao.
newtab.html


Tulipomtafuta kutoa ufafanuzi wa suala hili alithibitisha "Yeah ni kweli mamen si unajua sasa napanua mitandao yangu,si unajua kihalisia mapenzi hayakuzaliwa Tanga bali yalizaliwa Mtera,yeah Le kipindizz litakuwa na wagen wa kila aina kuanzia Le supa mtindizz wenye ngozi laini kama cotton,super mogulzz and super billionez mpaka my super friend Makonda"

Kabla ya kupata nafasi hiyo bodi ya redio hiyo ilimshauri Le Baharia atangaze kipindi cha watoto cha saa nne asubuhi jmosi kutokana na uwezo wake wa kujichanganya na rika tofautitofauti kabla ya kufikia muafaka wa kubali kutangaza kipindi cha mapenzi.
Baba huyo wa watoto wawili anakuwa moja ya watu wachache sana duniani wa umri wake kuhost show kama hizo .

Msaga Sumu Kwa hiyo ilikuwa apige Watoto show?
 
Le akili kubwaz, Le Big show, Le degrees 3 zote za majuu, Le Baharia

Yani comment moja tu hii inamuingia mamilioni, huyu mtu ni namba nyingine. Wakina Bahresa wakae chonjo maana Le Akili Kubwaz anakuja kwa kasi mno..
 
- asmaa80, please ni check kwenye my number 0717618997 nikurushie vocha ya Tsh. 20,000 maana unatisha U know nakupenda lov u more baby!!, nilikuwa safarini Dodoma on vodacom with Diamond na Mafikizolo ndio maana nilikuwa sijaiona hii U know lov U mingi sana!!

le Mutuz Nation
dah hii imenichekesha sana,
 
- hahahahahaha sasa mfike mahali mkubaliane nina miaka mingapi maana kila siku mnabadilika, mlianza na 49, ikawa 51, ikawa 54, ikawa 57, ikawa 64 na mwisho ikawa Umri mmoja na Pinda hahahahahaha hebu kaeni chini mkubaliane what is what? hahahahahahahahahahha

le Mutuz
Lemutuz a.k.a babu wa loliondo wote mmepatia umaarufu ukubwani
 


- Haya mambo hayahitaji hasira hapo nilikuwa namkabidhi Makamu wa Rais kitabu nilichoandika chenye kurasa 368 kuhusu Kampeni za Mitandao kwenye Uchaguzi wa Rais uliopita, haya sema ni Kitabu cha taasisi yako hahahahahahaha wewe tulia hapa ni AKILI KUBWAZZZZ wewe utaishia kufukunyua ujinga ujinga tu kwenye mitandao na majina ya bandia hujiamini unaogopa ogopa, hata mambo ya AKILI KUBWA mtuachie sisi maana mimi siogopi natumia jina na id yangu cause nina mambo makubwa na educated,

- Wewe mtumzima umeenda shule kweli unatumia majina ya bandia kutukana watu mitandaoni unajiita Great Thinker? hahahahahahahaha please guys mnaharibu majina ya watu hahahahahahah

le Mutuz

FYI, Le Mutuz..... I am only 29 kijana wala si Mtu mzima, with B.A (hons) UDSM, 2007 and M.Sc. (UDSM), 2014 kwa hiyo ukilinganisha umri wangu na elimu yangu unaweza kuelewa na si kila mtu aliyepo humu ndani ana kipawa cha kujisifia elimu na it is my expectations that a huge number of members humu ndani are more educated than you but they don't want to show off their education status.....na nimekuomba uonyeshe TUSI langu katika post yangu nadhani umekosa cha kusema, kwa hiyo tusitafutiane ban bure, na kutumia jina la bandia "its none of your business" asante.
 
Back
Top Bottom