Le Baharia amuonya Diva Loveness

Le Baharia amuonya Diva Loveness

Big Up kwa Mosha....... kwa Ingependeza pia ungeweka na "share zako" kama zinafika hata asilimia 10% sijui maana unajua kupromote vya watu, narudi tatizo ni UMRI, #Huu Mchezo Hautaki Hasira Mzee#...Tunataka umri acha kukimbia Kujibu miaka yako, MIAKA.... YEARS.... AGE...... Twende kazi SHARE zako

- hahahahahahahah THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK sasa ni safari ya Mwanza na Diamond na Neyo nikirudi Tanga na Mr. Blue nikirudi to Dubai ufunguzi wa Cable Channel ya Clouds nikirudi tayari tunaanza kuruka hewani at Swahili TV, naona umeshindwa kuweka jina na ID yako kama mimi hahahahahahaha huwezi maana inatakiwa kuwa na elimu kubwa sana na AKILI KUBWAZZZZ SANA hahahahahahah U know

- Halafu zimefika page 10 tayari huwa zikifikia ninaondoka kutoa nafasi kwa thread zingine maana ikiwepo thread yangu wananchi wanakuwa very excited kusoma majibu yangu hahahahahahahahahah leo umekutana na THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK hahahahaha U know

le Mutuz
 
- hahahahahahahah THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK sasa ni safari ya Mwanza na Diamond na Neyo nikirudi Tanga na Mr. Blue nikirudi to Dubai ufunguzi wa Cable Channel ya Clouds nikirudi tayari tunaanza kuruka hewani at Swahili TV, naona umeshindwa kuweka jina na ID yako kama mimi hahahahahahaha huwezi maana inatakiwa kuwa na elimu kubwa sana na AKILI KUBWAZZZZ SANA hahahahahahah U know

- Halafu zimefika page 10 tayari huwa zikifikia ninaondoka kutoa nafasi kwa thread zingine maana ikiwepo thread yangu wananchi wanakuwa very excited kusoma majibu yangu hahahahahahahahahah leo umekutana na THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK hahahahaha U know

le Mutuz

Ziafika tu hata 100 mie sikuachi hadi utaje UMRI wako na jipya mwenyewe umeleta la Swahili TV tell us SHARE zako usizunguke na kuruka ruka kama Popocorn katika SUFURIA...Sema share zako kama una ubavu huo...
 
Ziafika tu hata 100 mie sikuachi hadi utaje UMRI wako na jipya mwenyewe umeleta la Swahili TV tell us SHARE zako usizunguke na kuruka ruka kama Popocorn katika SUFURIA...Sema share zako kama una ubavu huo...

- mkuu mimi ndiye niliyeanza kukuomba uwe real na ku reveal jina lako na id yako kama mimi kama unataka heshima hapa kama niliyonayo, badala yake umeugeuza mjadala kuwa unavyotaka hahahahahaha aliyeanza ni mimi nilikuambia hivi wewe huwezi kuaminiwa na yoyote mwenye akili timamu cause unatumia majina ya bandia ina maana huna la ukweli hahahahahahahahhaa ni commnosense tu kwamba kama unadanganya jina huwezi kusema ukweli hahahahahahah

le Mutuz
 
- mkuu mimi ndiye niliyeanza kukuomba uwe real na ku reveal jina lako na id yako kama mimi kama unataka heshima hapa kama niliyonayo, badala yake umeugeuza mjadala kuwa unavyotaka hahahahahaha aliyeanza ni mimi nilikuambia hivi wewe huwezi kuaminiwa na yoyote mwenye akili timamu cause unatumia majina ya bandia ina maana huna la ukweli hahahahahahahahhaa ni commnosense tu kwamba kama unadanganya jina huwezi kusema ukweli hahahahahahah

le Mutuz

Okey, nimekupata but sidhani kwa kila jina linaloonekana humu ndani ni fake mengine ni majina yetu, sisi ni wabantu bhana.
 
e592650f641
 
Kabla ya kupata nafasi hiyo bodi ya redio hiyo ilimshauri Le Baharia atangaze kipindi cha watoto cha saa nne asubuhi jmosi kutokana na uwezo wake wa kujichanganya na rika tofautitofauti kabla ya kufikia muafaka wa kubali kutangaza kipindi cha mapenzi.
Baba huyo wa watoto wawili anakuwa moja ya watu wachache sana duniani wa umri wake kuhost show kama hizo .
Hiki kipande kimenichekesha sana..
 
LeBaharia...LeMutuz kazi nzuri kiongozi. Mwezi wa saba naingia hapo Bongo lazima nije studio tufanye majadiliano mkuu.
 
- asmaa80, please ni check kwenye my number 0717618997 nikurushie vocha ya Tsh. 20,000 maana unatisha U know nakupenda lov u more baby!!, nilikuwa safarini Dodoma on vodacom with Diamond na Mafikizolo ndio maana nilikuwa sijaiona hii U know lov U mingi sana!!

le Mutuz Nation
Anko mbona hakuna mahala ulipoulizwa kuwa ulikuwa wapi,na nani na ukifanya nini?.
 
Anko mbona hakuna mahala ulipoulizwa kuwa ulikuwa wapi,na nani na ukifanya nini?.

- hahahahahahahahaa THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK ni kwamba hata wewe hakuna aliyekuuliza umesoma nini hapa ila kwa sababu mimi ni Big Celebrity ni muhimu ujue kwa nini nilikuwa sijaiona hii thread U know hahahaha leo nipo busy you know tunaelekea at the Airport kumpokea Neyo American Super Star Singer tayari kwa safari ya Mwanza kwenye JEMBEKA FESTIVAL JUMAMOSI HII hahahahahahaha kama vipi TUKUTANE HUKO inadhaminiwa na Vodacom Tanzania @vodacomtanzania hahahahahahaa U know

le Mutuz Nation
 
- Mtoto wa kiume mtumzima wanaume wanaongelea mambo muhimu ya maisha wewe unaongelea mashati yao, hahahahahaha hahahahaa umenivunja mbavu sana hahahahahaha

le Mutuz
Yap tuongee michongo ya maisha sio bla bla za mashat,viatu, tutakuwa mapunguani
 
Anko mbona hakuna mahala ulipoulizwa kuwa ulikuwa wapi,na nani na ukifanya nini?.
ha ha ha ha ha ha ha UMEPATA JIBU LAKO SAFIIII, umeniquote ila sijakuelewa sentence yako ha ha ha ha ha ha..
 
-






- Hii ndio Studio mpya ya Swahili TV tupo kwenye matayarisho ya mwisho kabla ya kuanza kuruka hewani mwisho wa mwezi so relax mkuu hahahahahahahahahha U know, sisi hatuna mambo ya ubandia bandia kila kitu huwe ni open ndio maana ya kuwa na elimu na AKILI KUBWAZZZZZ U know hahahahahahahahah

le Mutuz
Taja Umri Wako Mbona Kama Unalikwepa Ilo Swali..
 
ha ha ha ha ha ha ha UMEPATA JIBU LAKO SAFIIII, umeniquote ila sijakuelewa sentence yako ha ha ha ha ha ha..
Nlitaka kumquote anko wile,nilikuwa ninamaana yangu kuuliza hivo,kupewa vocha kusikutoe akili ukajifanya huoni kama huyu jamaa hayuko sawa.
 
Nlitaka kumquote anko wile,nilikuwa ninamaana yangu kuuliza hivo,kupewa vocha kusikutoe akili ukajifanya huoni kama huyu jamaa hayuko sawa.


- The King Of All bongo Social Media Network last night hanging out with American Super Star Singer Neyo at the Special Party by Vodacom, hahahahahahaha ok watu wangu kesho ni safari ya Mwanza so tukutane Kirumba Stadium at JEMBEKA FESTIVAL sponsered by Vodacom Tanzania, kuna mashindano ya kupata tiketi za bure kwa Show la kesho nenda Instagram at @vodacomtanzania

le Mutuz
 
Back
Top Bottom