William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Hahhahahahha uknow am 20 ww vp?? Nahic utaki kukubaliana na matokeo kwamba umri umeendaa u know!!!!!!!
- hii hata mimi inanivunja mbavu I mean mtoto wa kwanza wa Pinda tupo sawa sasa tena nikawa sawa na baba yake ni dalili za kushindwa mjadala hahahahaha mmezoea kutukana wasiojibu unaona mkijibiwa mnavyo panic, hgahahahahahaahahah
Le Mutuz
- wote uliowataja ni marafiki zangu wa karibu wanafanya siasa mimi nafanya biashara na nipo nao karibu kila siku kwenye maisha, pole sana maisha sio kuwa Waziri tu au mbunge, na ninaridhika sana na my life, sijawahi kuwa omba omba siku nikiwa nitarudi kwetu kijijini, umri wa Pinda ni wa Dr. Silaa vipi mke wake yupo wapi mburulazzzz wewe hahahahahahaha
- Na wewe kama ulivyosema mwenyewe utaendelea kutuangalia wanaume tunavyoendelea wewe kazi yako itakuwa ni hiyo ya kujua watoto wa viongozi wnafanya nini nani ana mke nani hana nani ana watoto nani hana, ndio kazi za mburulazzz sisi tunasonga mbelezzz U know
Le Mutuz
Where did I panick?????
Povu lote la nini ili? eti wao politicians me mfanyabiashara ptuuh.. wewe sio mwanasiasa tena siku izi si ndio? umeishia kupata jumuiya ya wazazi ujumbe, umeanza kushika adabu sasa naona.... we endesha blog tu size yako ni kina Mange sinta etc hao kina January utaishia kuwa mpambe wao la sivyo utapotezwa kama baba yako.
- Wewe hujioni kwamba umepanic badala ya kustick na mada anahangaika kama kuku anataka kutaga mayai, vipi wewe kazana kidogo ok!!
Le Mutuz
- Wewe hujioni kwamba umepanic badala ya kustick na mada anahangaika kama kuku anataka kutaga mayai, vipi wewe kazana kidogo ok!!
Le Mutuz
we mbabu naona umevurugwa..... na hivi unautafutaga umaarufu kwa nguvu......
kiachokufaya kuneneng'eka kutujibu ni nini si ungepiga kimya???????/
We mzee una vituko.
- Nanai alikuambia huwa ninanyamza kimya nakujibu ndio wenye akili wakisoma wanaona pumba na mchele upo wapi hahahahahaa natafuta umaarufu kwa nguvu nimekwambia nilizaliwa maarufu maana wakati nazaliwa baba yangu alikuwa Mkuu wa Wilaya enzi zile za mkoloni alikuwa maarufu sana so automatically na mimi nikawa maarufu U know hahahahahah nitawajibu tu mpaka muelewe U know!!
Le Mutuz
- hahahahahahahahah mimi nina vyeo vifuatavyo ndani ya CCM:_
1. Mjumbe Mkutano Mkuu wa Taifa CCM
2. Mjumbe Baraza Kuu la Wazazi/CCM Taifa
3. Mjumbe Baraza Kuuu UVCCM Taifa
- Mkuu nina blog, sasa hivi nipo Mbagala Project ya ICD I mean Bandari kavu bado in the process ya kufungua Radio na TV hao unaowataja wote ni marafiki zangu wa karibu sana tunaheshimiana, tunaalikana kila siku kwenye events aliye nje hapa ni wewe mkuu unatakiwa kujionea huruma maana umeishia kukaa pembeni kuangalia na kuyajadili maisha ya wengine wewe vipi huna life? hahahahahahaha
Le Big show
- hahahahahaha umeanza kunielewa maana ulianza na matusi ya kima, wewe masikini wa Mungu unaweza kuita kima binadama mwingine sasa ndio umefanikiwa nini mkuu? hahahaha yaani mna panic mpaka mnaanaza kuita watu kima duh!!
Le Mutuz
We mzee una mbwembwe.
Wazee wenzako sasa hivi wanacheza na wajukuu.
- Nanai alikuambia huwa ninanyamza kimya nakujibu ndio wenye akili wakisoma wanaona pumba na mchele upo wapi hahahahahaa natafuta umaarufu kwa nguvu nimekwambia nilizaliwa maarufu maana wakati nazaliwa baba yangu alikuwa Mkuu wa Wilaya enzi zile za mkoloni alikuwa maarufu sana so automatically na mimi nikawa maarufu U know hahahahahah nitawajibu tu mpaka muelewe U know!!
Le Mutuz
Hee...na wewe upo UVCCM....
Ama kweli uzee mwisho Mikeseeeeeee!
Khaaaaaa....yani umezaliwa enzi ya mkoloni halafu mpaka leo bado upo UVCCM....Wallahi jumatatu narudisha hii kadi ya UVCCM....me bado mtoto.....heeeeee!
- hahahahahahaha kumbe humu tuna watoto wachanga wananyonya maziwa rudisha kadi mkuu kesho U know hahahaha, ila kumbuka sasa ni page ya 9 ikifika 10 basi
Le Mutuz
- wakati nazaliwa baba yangu alikuwa Mkuu wa Wilaya enzi zile za mkoloni alikuwa maarufu sana so automatically na mimi nikawa maarufu U know hahahahahah nitawajibu tu mpaka muelewe U know!!
Le Mutuz