Le Mutuz amuonyesha baby wake

Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
- hahahahahahaha kumbe humu tuna watoto wachanga wananyonya maziwa rudisha kadi mkuu kesho U know hahahaha, ila kumbuka sasa ni page ya 9 ikifika 10 basi

Le Mutuz

Yaaani...nashindwa kuamini...we na uzee huo uko UVCCM.......kwa vigezo gani?

Khaaaa...siwezi kuchanganyika na Wazee....bora nirudishe kadi....!

lusungo njoo uone maajabu ya dunia...huyu kikongwe nae yupo umoja wa vijanaaaa....
 
Last edited by a moderator:
Broo unajiita mdogo na tena hujakulia kwene shida ila sura broo inaonesha umri ushafika saa 6 usiku broo... sura inaonesha umekula chumvi... au ndo mzee kijana??!!

- Wala sio kweli mabebez wote hawa wananizimikia unafikiri wanaweza zimikia mzee wa miaka 60 please, mabebz wote wananiita baby face U know, so wewe tuliza boli u know hahahahahahaha

Le Big Show
 
We pepe kale una umri kuliko Tanzania,umezaliwa kabla ya Tanzania.... ila kazi kupiga picha na wajukuu zako wanakuita babu jinga ...ndio maana mkeo alikufykuza kama paka...nawaonea huruma wanao.

- Sasa mbona dada yako anahangaika kuniomba nimrudie hahahahahahaha pole sana simrudii never!!, Wakoloni walikuwepo mpaka mwaka 1965 ndio waliondoka kwenye utawala wa Mkoloni hakukuwa na mweusi mkuu wa Wilaaya akili ndogo huwezi hata kuitumia kidogo U know

Le Mutuz

Le Mutuz
 
Yaaani...nashindwa kuamini...we na uzee huo uko UVCCM.......kwa vigezo gani?

Khaaaa...siwezi kuchanganyika na Wazee....bora nirudishe kadi....!

lusungo njoo uone maajabu ya dunia...huyu kikongwe nae yupo umoja wa vijanaaaa....

- Mtoto mchanga kanyonye maziwa ya mama hapa JF sio mahali pako dogo ok hahahahahaha

Le Mutuz
 
- Wala sio kweli mabebez wote hawa wananizimikia unafikiri wanaweza zimikia mzee wa miaka 60 please, mabebz wote wananiita baby face U know, so wewe tuliza boli u know hahahahahahaha

Le Big Show

Mabebz gan broo iyo miyolele ya mjini apa... nway im. Not sure abt your financial statement bt kuna mabebz si wachoyo kabsa ukiwa na status tu hata uwe babu bomba utaitwa baby face... watchout bro
 
Mabebz gan broo iyo miyolele ya mjini apa... nway im. Not sure abt your financial statement bt kuna mabebz si wachoyo kabsa ukiwa na status tu hata uwe babu bomba utaitwa baby face... watchout bro

- Mtaje mmoja tu uliyewahi kumpata hahahahahahahahahaha, pole sana wewe unatoa pesa kwa mabebez wenzio wanatupa sisi yaani mabebez rudi kwenu mkuu hapa mjini hapa kama sio baby face watakulipisha tu u know hahahahaha

Le Mutuz
 
- Sasa mbona dada yako anahangaika kuniomba nimrudie hahahahahahaha pole sana simrudii never!!, Wakoloni walikuwepo mpaka mwaka 1965 ndio waliondoka kwenye utawala wa Mkoloni hakukuwa na mweusi mkuu wa Wilaaya akili ndogo huwezi hata kuitumia kidogo U know

Le Mutuz

Le Mutuz

umezaliwa miaka ya 50 unalingana na Baba yangu...unapiga picha na watoto wa 1996 uhoni ata aibu, ata kama ni uliruka stage.
 
M sio maarufu mzee bt nna kila kitu.. nna elimu kama ya mbebz wako bt im jc 26

- Ungekuwa usingekuja hapa kupoteza muda na mtu asiyekuhusu kwenye maisha upo kujadili watu kwa sababu huna life baby wangu hana huo muda U know ok!! hahahahahahaha

Le Mutuz
 
umezaliwa miaka ya 50 unalingana na Baba yangu...unapiga picha na watoto wa 1996 uhoni ata aibu, ata kama ni uliruka stage.

- at 15 nilikuwa majuu nakula bataz aliyeruka stage kazi yake inakuwa kuja JF kujadili wanaomzidi life wewe huna life ndio maana na yule dada yako amechina U know, leo thai village kama kawa

Le Mutuz
 
- Ungekuwa usingekuja hapa kupoteza muda na mtu asiyekuhusu kwenye maisha upo kujadili watu kwa sababu huna life baby wangu hana huo muda U know ok!! hahahahahahaha

Le Mutuz

Asa we si maarufu... mzee so Tunakujadili le mutuz super star
 
Naona uzi wako umefika page unazozitaka kweli wewe babu maarufu sana.

- hahahahahahahahah si nilikwambia ndio ki9nga yangu nikienda kutafuta matangazo ya blog huwa ninawaambia tizama kule JF nikitajwa tu page 10 kwenda mbele, thank u guys sasa imetosha au mnataka niendeleee? hahahahaha

Le Mutuz
 
- hahahahahahahahah si nilikwambia ndio ki9nga yangu nikienda kutafuta matangazo ya blog huwa ninawaambia tizama kule JF nikitajwa tu page 10 kwenda mbele, thank u guys sasa imetosha au mnataka niendeleee? hahahahaha

Le Mutuz

Le Mutuz hivi huna mtoto wa kike?
 
- Lazima uje uweke jina lako kwa sababu ukimjadili Celebrity kama mimi unaweza na wewe ukaonekana ukatoka U know

Le Mutuz

Elimu ishanitoa u knw... so Siitaji toka tena bt mijitu mizima kujiita mnakula ujana n kutunyang'anya haki zetu vijana bwana
 
- at 15 nilikuwa majuu nakula bataz aliyeruka stage kazi yake inakuwa kuja JF kujadili wanaomzidi life wewe huna life ndio maana na yule dada yako amechina U know, leo thai village kama kawa

Le Mutuz

Kina Hamisa vya wote wanakushinda unaishia kupiga picha nao, utamweza dada wa nani....ayo maisha tuachie ma yanki umeshachelewa, unatishia bata? sisi tunazila wakati muafaka sio wewe uliochezea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom