Le Mutuz amuonyesha baby wake

Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
Nakwambia pole yako

Umri wako sio wa kufanya mambo kama ya wanawake wa uswazini

Heri wangekubadilisha na mashudu wangelisha ngombe

Pole sana

Serious jifanyie tathmini upya




- Nonsense twende MWanza kwenye Insta Party wacha kulia lia for nothing U know waoneee huruma wazazi wako kwanza kuzaa mtoto mwenye akili kama yako ya kuja JF na kuanza kushambulia watu asiowajua kwa majina ya bandia huoni ni hasara kubwa sana kwa wazazi wako halafu who cares na your kwi kwizzz get life U know ungekuwa na life usingekuwa na huu muda U know hahahahahaha

Le Mutuz
 
- Yaaani kweli unauliza hilo? Chezeya Le Big Show wewe njoo uone balaa la kesho MWanza halafu Mbeya na Irirnga hahahaha

Le Mutuz


Hivi huoni aibu hao unaoshirikiana nao kwenye huo upuuzi ni watoto unaowazidi 30 years?

utakua lini we kubwa jinga?
 
Nakwambia pole yako

Umri wako sio wa kufanya mambo kama ya wanawake wa uswazini

Heri wangekubadilisha na mashudu wangelisha ngombe

Pole sana

Serious jifanyie tathmini upya

- hahahahahahaha kumbe ndivyo walivyokufanyia Mwanaume hahahahahaha umenimaliza mbavu U know sasa unataka kila Mwanaume afanyiwe kama wewe le mburulazzz si ulisema unaondoka umerudi? hahahahaha

Le Big Show
 
Hahahahah


Narudia tena pole, tena pole sana

Heri wangekubadilisha na mashudu wakalisha ng'ombe angalau mzee wa watu angepata faida

Pole sana

- hahahahahahaha kumbe ndivyo walivyokufanyia Mwanaume hahahahahaha umenimaliza mbavu U know sasa unataka kila Mwanaume afanyiwe kama wewe le mburulazzz si ulisema unaondoka umerudi? hahahahaha

Le Big Show
 
Hivi huoni aibu hao unaoshirikiana nao kwenye huo upuuzi ni watoto unaowazidi 30 years?

utakua lini we kubwa jinga?

- Unasema ninapofanya Insta party na kupata pesa za kuwalipia Shule Watoto wangu USA ni utoto? For that ninahitaji kukua kweli? mweeheee hahahahahahaha le mburulazzzz

Le Mutuz
 
Hahahahah


Narudia tena pole, tena pole sana

Heri wangekubadilisha na mashudu wakalisha ng'ombe angalau mzee wa watu angepata faida

Pole sana

- hahahaha sawa sawa now naamini walikufanyia hiyo pole sana ndio maana unba hasira kumbe ndivyo walivyokubadilisha U know huzuni sana sasa ulikubali vipi maana huwezi kuongelea mambo mazito kama haya bila kuyapitia mwenyewe duh!!

Le Mutuz
 
- Unasema ninapofanya Insta party na kupata pesa za kuwalipia Shule Watoto wangu USA ni utoto? For that ninahitaji kukua kweli? mweeheee hahahahahahaha le mburulazzzz

Le Mutuz


Ungekua na nia ya kusomesha watoto usingekimbia majukumu USA....

Badilika aisee unatutia aibu wanaume wenzio kwa jinsi unavyojiweka...

Na hiyo blog yako unaandikaga shombo tu utafikiri mtoto wa primary school...

50s unaishi Kama under 18!!!!
 
- hahahahahaha umemuona le mbebez lakini harusi yangu hamna mchango wewe utaaalikwa tu uje u enjoy mambo ya michango ni ya kizamani sana U know

Le Mutuz

Haya mbebezi nasubiri kadi u know kutoka kwa supastaa le mutuz mzee wa mabebez bongo nzimaaa
 
- Brenda nenda pale Million Hair Saloon gharama on me waambie Le Mutuz kanituma nije my no 0717 618 997 umenifurahisha sana so wewe nenda poale wakutengeneze gharama on me baby U know

Le Mutuz

Hahahahah nimekosa hiii ofa nipo mwanza..nakusubir kesho u know..
 
Ungekua na nia ya kusomesha watoto usingekimbia majukumu USA....

Badilika aisee unatutia aibu wanaume wenzio kwa jinsi unavyojiweka...

Na hiyo blog yako unaandikaga shombo tu utafikiri mtoto wa primary school...

50s unaishi Kama under 18!!!!

- hahahaha umesikia dada yako kaolewa kwa siri na mume wa mtu hahahahaha tena kawa mke wa pili hahahaha, unasema wale wote wanaotayarisha event za entertainments ni lazima wana 18 years of age? hahahahahaha tatizo lako elimu ndigi sana una hasira na mapovu ya kumuacha dada yako lakini unajua kabisa kwamba aliyataka mwenyewe U know hahahahahaha tuliza boli kuwale Watoto sio lazima uwe nao unatuma pesa tu sabuni ya roho U know!!

Le Big Show
 
Haya mbebezi nasubiri kadi u know kutoka kwa supastaa le mutuz mzee wa mabebez bongo nzimaaa

- Mhhhhhhh jamani sasa hiyo micifa imezidi mimi ni mdogo mdogo ila nabanana na hii life ya bongo mpaka mwisho U know lakini kadi utapata maana wewe nakuaminia kwa hizi za hapa uje useme le mabebezzzz U know

Le Mutuz
 
- Mhhhhhhh jamani sasa hiyo micifa imezidi mimi ni mdogo mdogo ila nabanana na hii life ya bongo mpaka mwisho U know lakini kadi utapata maana wewe nakuaminia kwa hizi za hapa uje useme le mabebezzzz U know

Le Mutuz

Nakuaminia le mutuz u know watakomajeee
 
- Powa ngoja niwahi Fastjet U know nisije nikaachwa U know, powa wewe subiria no worry lakini umemuona le mbebezzz u know

Le Mutuz

Nimemuona mkaleeee sanaa mbebeziii unajua kuchagua u know..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom