- Kubali wangu wewe sio Celebrity na hata ukiandikwa hapa hakuna wa kukusoma, nenda humu uone zipo thread zangu ngapi wacha kelele za mlango, Zari huwezi kumsogelea maana wewe sio Celebrity sasa unalia nini? Mimi sio Mungu aliyekuumba huna talent hata moja kudadeki mnajaza tu Dunia yaani hata ukifa leo hakuna wa kukukumbuka ndio maana utaishia kulia lia tu hapa sisi tutaendelea kuandika historia mtuwangu kelele zako za ml;ango ni bure tupu ok!!
Le Big Show
kwa mfano wewe ukifa watu watakukumbuka kwa kipi.??
- Sasa umeona hii thread imeingia watu wangapi so far si wanakuja kuona habari za Celebrity Le Mutuz Big Show, sio wewe eti laki pesa le mburulazzzz!!
Le Mutuz
atakumbukwa kama mtoto wa waziri mstaafu mkuu vip wewe utakumbukwa kwa jambo gani?
le mutuz nae ni billionaire looh
- Kubali wangu wewe sio Celebrity na hata ukiandikwa hapa hakuna wa kukusoma, nenda humu uone zipo thread zangu ngapi wacha kelele za mlango, Zari huwezi kumsogelea maana wewe sio Celebrity sasa unalia nini? Mimi sio Mungu aliyekuumba huna talent hata moja kudadeki mnajaza tu Dunia yaani hata ukifa leo hakuna wa kukukumbuka ndio maana utaishia kulia lia tu hapa sisi tutaendelea kuandika historia mtuwangu kelele zako za ml;ango ni bure tupu ok!!
Le Big Show
Acha Umbwiga wewe zezeta, atakumbukwa kama mtoto wa waziri mstaafu, unafikiri watu wanakumbukwaga kibwebwege tu, kisa alikua mtoto wa waziri, kuwa kwake mtoto wa waziri sio sababu, kafanya nini adi tumkumbuke, washakufa watoto wa wakubwa wangapi na watu awawafahamu, Ben Kinyaiya Mkubwa, Punguani.
Hilo Jamaa la Le mutuz mabwege kweli mkuu acha kupoteza muda na wazuzu wanaotumia umaarufu wa baba zao mambwiga awa aiseeeeses
Unajua mkuu mara nyingi sikuelewi kama unafikiri kwa kutumia ubongo au hile .....maelezo yako unategemea umaaarufu wa baba yako ndio wako....ukikuta mtu wa type yako mara nyingi ni majanga kwenye familia sipati picha kwa akili zako za mtoto mchanga ungekuwa mtoto wa bush au obama sijui ingekuwa vipi? Mwili kubwa akili ndogo aiseeee
- I am le Big show big celebrity ndio maana humu kuna thread nyingi sana za kunihusu na wewe kuja kuchangia coz I am a big star hiyo tu inatosha, I was divorced 3 years ago so I am single and having fun with my life, okeeeee!! ha! ha!
Le Big Show
na mimi muanze kuniita le billionaire matola maana kila mwenye million 5 benki ni billionaire.
Nakujua sana tokea enzi zile unaweka KALIKITI KICHWANI!- Wewe huna FACTS waulize wanaonijua nimeanza kwenda majuu nikiwa 15, nimezunguka 90% ya dunia mabebz nimeanza nao loong time ago wewe hujaja mjini na mwenge le mburulazzz sema huna access ndio maana unalia lia so kaa pembeni utaisoma tu!!
Le Mutuz
MI Nakukatalia jamaa namfahamu kama hujui familia anayotoka mpaka asimiliki mabilion utakesha.....jamaa yupo njema sana huyo ndo WILLY MALECELA!!
- Sasa umeona hii thread imeingia watu wangapi so far si wanakuja kuona habari za Celebrity Le Mutuz Big Show, sio wewe eti laki pesa le mburulazzzz!!
Le Mutuz
- Wewe utabakia kelele za mlango watu ndani tunalala, wewe sio Celebirty kama mimi na wala hakuna anyekujua halafu hapa unaingia kwa jina fake unaogopa ni muoga muoga sasa utawaweza vipi kina Zari eti linataja kina Oprah, mimi angalau nimewahi kuishi naye nchi moja wewe je, le mburulazzz tuliza boli zubiri picha za the next party Zari anakuja tena next month le mburulazzz kama wewe mtajibeba tu na utaisoma hapa mpaka ufe le mburulazzz!! ha! ha! ha!
Le Mutuz
Vipi ww mburula mungu wako ZARI alikuja kwenye instagram party au uliambulia watoto wa mbwa wenzako....