one cater
JF-Expert Member
- Jun 10, 2014
- 368
- 153
- Kubali wangu wewe sio Celebrity na hata ukiandikwa hapa hakuna wa kukusoma, nenda humu uone zipo thread zangu ngapi wacha kelele za mlango, Zari huwezi kumsogelea maana wewe sio Celebrity sasa unalia nini? Mimi sio Mungu aliyekuumba huna talent hata moja kudadeki mnajaza tu Dunia yaani hata ukifa leo hakuna wa kukukumbuka ndio maana utaishia kulia lia tu hapa sisi tutaendelea kuandika historia mtuwangu kelele zako za ml;ango ni bure tupu ok!!
Le Big Show
kwa mfano wewe ukifa watu watakukumbuka kwa kipi.??