Le Mutuz ashindwa kuhudhuria mazishi ya Dkt. Mwele mkoani Dodoma

Le Mutuz ashindwa kuhudhuria mazishi ya Dkt. Mwele mkoani Dodoma

Hahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?
Mkuu ni kweli ndio daktari wake wiki moja kabla ya msiba alikuwa amelazwa pale.
 
Le Mutuz kila siku anapiga picha yuko Gym ila kusafiri hawezi.... duh.
 
Hahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?
Sijui katuonaje!Hata km ndo anamtibu kweli ndi atudanganye alienda kuisihi familia ili asisafiri...hapa nimegoma kuamini
 
Yule mzee Lemutuz sio mzima kuna kitu hakipo sawa kichwani
 
Back
Top Bottom