Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Hahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?Ah ! ah! Ah!ah ah shida ya Le Mutuz anapenda maisha ya kuigiza mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?Ah ! ah! Ah!ah ah shida ya Le Mutuz anapenda maisha ya kuigiza mno
Mkuu ni kweli ndio daktari wake wiki moja kabla ya msiba alikuwa amelazwa pale.Hahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?
Sawa Mungu amponyeMkuu ni kweli ndio daktari wake wiki moja kabla ya msiba alikuwa amelazwa pale.
Sijui katuonaje!Hata km ndo anamtibu kweli ndi atudanganye alienda kuisihi familia ili asisafiri...hapa nimegoma kuaminiHahahah bora angesema daktari yeyote ila Prof Janab ndio his personal doctor!!!. Anatuchukuliaje huyu jamaa?