- Sijawahi kukimbia siasa hata siku moja sijawahi kukimbia Social Media cause all my investments zipo huku, huna ishu against me ndio maana unahangaika sana umejaa chuki na wivu maana unajua kwamba mimi sio sawa na wewe, weka nyumba ya mama yako hapa ndio utakuwa na haki ya kulaumu za wengine kipi kigumu hapo?
Le Mutuz
siwezi kufanana na wewe baba yangu hajawahi kuwa pm
\
- Ungeweka ya mama yako kwanza ingekuwa Super sana maana una maneno mengi hewa tupu hahahahahaah unafikiri mchezo kumjengea mama nyumba kwa mjinga kama wewe hahahahahaha
Le Mutuz
Just saw an old man with a t-shirt written on.
"Things get better with age. If that's a reality, then Lemutuz must be approaching magnificent."
Mama wa watu kachoka na kanga yake ya Bujumbura, sura haina hata siha njema ilhali mwanae anakariri yeye ni diaspora anaemake money online while amekaa na pia ni celebrity...my ass!
Hudumia mama bhaaana! Unakuta hata baba hakumjali wako ana ofisi mama akategemea mwanae atamjali mwanae nae "tia maji tia maji!"
Blalifuli!
Kaka mbna hilo n banda l kufugia kuku huwezi sema maza anaishi kwenye nyumba yani dirisha la nyumba linafika kwenye goti halafu unajisifu maza ana nyumba,maza wko anaishi kwenye banda kelele zote unarepair nyumba gani hpo sasa au unaziba mashimo y panya sakafuni.piga picha y nyumba frontview tuone ya marehemu bi kidude ina afadhali
- Ule ni uwanja wa biashara zangu kubwa sio ujinga ujinga ukiandika ujinga nakuondoa umeona sasa unajuta maana una miss my swaggazz mimi sikujui wala sijaku follow wewe ndio unafollow kila mahali ina maana mimi big Celeb au unasemaje?
Le Mutuz
Mama wa watu kachoka na kanga yake ya Bujumbura, sura haina hata siha njema ilhali mwanae anakariri yeye ni diaspora anaemake money online while amekaa na pia ni celebrity...my ass!
Hudumia mama bhaaana! Unakuta hata baba hakumjali wako ana ofisi mama akategemea mwanae atamjali mwanae nae "tia maji tia maji!"
Blalifuli!
Tingatinga nae nahisi ana genes flani hasi kashare na mwanae,ilikuaje akashindwa kumjengea x wake nyumba nzuri ili atleast kutochafua taswira nzima ya familia yake?
Binafsi hiyo nyumba imenifanya nimuwaze mzee zaidi kuliko hili li zao lake.
Mkuu hapo umenena..huna haja ya kuiona nyumba ya Mama yangu sababu mimi si kama wewe..sijazaliwa kweny familia ya mwanasiasa,familia haijawahi kunibeba(selfmade),hujawai kuniona mitandaoni nikifanya bottoms up!...nan atajadili kuhusu mama yangu kuishi jumba la udongo?ila bwana Lemutuz ye kama Rick Ross vile..bata kila sehemu..so kuna watu walidhan mama yake
Atakuwa US anakula bata kumbe mama yupo mashokorani..living in a house that doesn't match Lemutuz personality na matumiz...
Mama wa watu kachoka na kanga yake ya Bujumbura, sura haina hata siha njema ilhali mwanae anakariri yeye ni diaspora anaemake money online while amekaa na pia ni celebrity...my ass!
Hudumia mama bhaaana! Unakuta hata baba hakumjali wako ana ofisi mama akategemea mwanae atamjali mwanae nae "tia maji tia maji!"
Blalifuli!
- Ushamba ni kulilia nyumba ya mama wa mwingine wakati mama yako hana, maana angekuwa nayo ungeishaiweka hapa hahahahahaha just shut the f up!!
Le Mutuz
Just to confirme (again), Le Mutuz is retarded!!
NI kweli, mimi nilikua nazungumzia the way anavyoongea, yeye anataka ligi ya vitoto vya 12, ati onyesha picha ya nyumba ya mama!! na nimemweleza iko wapi, kama ana akili atakua ameshajuaAm no doctor but something is seriously off.
He shouldn't be here or anywhere postulating about his mother.
Not at his age at least.