William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Baaabuuu punguza u zombie, tulia ukweli ukuingie vizuri ..... mawe yote hayo bado u mzima tu!!!! Kama nyumba anayo ishi mamako ww uwezi fikia!!! Ni nyumba ya aina gani iyo?????? Mashauzi meeengi uku kumbe huna lolote .....sooote tuweke nyumba za wazazi wetu patatosha kweli hapaaa!!! Uo ukuta wenyewe hauna hata hadhi ya banda la mamangu la kuku ....mmmmfyuuuu.
Huyu jamaa kumbe anasomaga comments. Nilikoment siku moja kwenye mpicha wake kuhusu size ya mshati wake...na ndo ilikua mara ya mwisho kumuona insta.....kumbe alini block fastaaa..
You sir truly have serious issues.And JF is not helping you at all.
Thanks for killing people who are alive and kicking. You must be some "Sheikh yahaya". You seem to be very good at deciphering usernames.
Ndugu Malecela, Jina la Mzee wako lina heshima ya kutosha Tanzania, Enough is enough cut this bullshit and respect your father. He might have made mistakes as a parent but he doe snot deserve what you are doing to his name. The old mad did a commendable job for this nation for many years. With all his humanly errors He is not to be subscribed to this madness you are creating.
Go see a proper therapist and chill down.
Call Andrew he might be able to give you some meditation techniques.
Hahahaa mie nilijua hajali comments nikacomment kuhusu kitanda chake blocked hadi leo
- Well, my mother is great now ndio maana nipo kwenye ndege naruka kurudi bongo, one lesson nimejifunza ni kwamba amepona sio only kwa sababu ya madaktari bali my presence it made a big impact so nimejifunza from now on kuja kumuona mara kwa mara U know, My Dada hayupo huku yupo Arusha anasimamia amani ya wa Sudani na hahusiki na this thread, hahahahahahahaha mimi au wewe anayehitaji meditation Techinique hahahahahahahaa
Le Mutuz
Umenena kama mtu mzima comrade. Ukimya ni busara ya hali ya juu sana.....Dada ametokea wapi tena?
Slow down huhitaji kuharakisha kujibu.Hapa JF hakuna anayemtakia mabaya mzazi wako. Ni vizuri kama anaendelea vizuri.safi kuona umejifunza, naamini hata hii mada kuna ulivyojifunza.
Kukaa kimya wakati mwengine ni vizuri kuliko kuropoka na kufikiria baada ya kuropoka. Hiki ndio cha kujifunza next time.
Dada ametokea wapi tena?
Slow down huhitaji kuharakisha kujibu.Hapa JF hakuna anayemtakia mabaya mzazi wako. Ni vizuri kama anaendelea vizuri.safi kuona umejifunza, naamini hata hii mada kuna ulivyojifunza.
Kukaa kimya wakati mwengine ni vizuri kuliko kuropoka na kufikiria baada ya kuropoka. Hiki ndio cha kujifunza next time.
Umenena kama mtu mzima comrade. Ukimya ni busara ya hali ya juu sana.....
Kwa umri wako kuwa bilionea ni maajabu ya dunia. .kuna umri ukigonga kama hujafanikisha ndoto zako tegemea miujiza!....kuna mtu anatuletea picha za nyumba hiyo ya bi mkubwa wako upande wa ndani tuone na maeneo ya chooni..
Jamani wenye pumzi ya kujibishana na huyu chizi fresh endeleeni.
mie nimeshindwa.
yani vitu anavyoongea kama radio iliyokwisha betri.
No coherence. SMH
Mkuu anaweza kuwa bilionea mda wowote c unajua kuna mijengo mzee wke anayo halafu jamaa ndio msimamizi wa mirathi hko mbeleni
- Well, my mother is great now ndio maana nipo kwenye ndege naruka kurudi bongo, one lesson nimejifunza ni kwamba amepona sio only kwa sababu ya madaktari bali my presence it made a big impact so nimejifunza from now on kuja kumuona mara kwa mara U know, My Dad hayupo huku yupo Arusha anasimamia amani ya wa Sudani na hahusiki na this thread, hahahahahahahaha mimi au wewe anayehitaji meditation Techinique hahahahahahahaa
Le Mutuz
- le mburulazzzzzzz U know hahahahahahaha
Le Mutuz
Hili William ----- kweli....ur appearance is similar with ur IQ...!!!
JINGA JINGA SANA....but wagogo wengi ndio walivyo...very silly...!!!
Nami nimejifunza kitu jamani kutoka kwa Le Mutuz, tusijisahau kuwaangalia wazazi watu tusije kuwa kama Le Mutuz, at the age of 50+ ndo mtu akili inafunguka na kujua umuhimu wa kuwa anatembelea wazazi mara kwa mara na kuspend nao time, pamoja na kuangalia mahitaji yao. Tujifunze jamani, la sivyo leo tunamcheka Le Mutuz, 20 years ahead itakuwa sisi, tusichelewe kujifunza kama huyu njemba.Asante Le Mutuz kwa kuwa mfano wa kipi HUTAKIWI KUWA.