William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Hivi nyumba ambayo mama analala na kuku ndani unaiita nyumba.
- hahahahahahahahha yoloooo naingia Mliman City huku U know hahahahaha
Le Mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nyumba ambayo mama analala na kuku ndani unaiita nyumba.
- Kumbe ulishatoka damu ndio maana umeppotea hahahahahahahaha
Le Mutuz
Hakuna nyumba ni banda hilo unapigaje picha kwenye dirisha atoe frontview y banda hilo.kafikia hotel kaogopa kulala kwao cjui kuna panya wengi au hamna kitanda saiz yke maza inaonekana lishe ndio tatizo mybi anakula mlo mmoja
Kwanza kaumaarufu unakokariri kuwa nako watu wanakushangaa kuwa na akili retarded kama yako ilhali umetoka kwenye familia thabiti hapa bongo. Una tofauti na akina Makongoro Nyerere sema yeye abwabwaji mitandaoni ndio nafuu yake.
Huwa najiona genius saana ninapogundua naweza kuargue na wewe na kukugaragaza ilhali hata elimu yangu ni ya kuchechemea na wewe una degree tatu. Sio bure utakuwa retarded or mental disorted una rational wala tough reasonin ability. Nop sioni kwako hii kitu babu yangu.
Very Imbecilic!!
Kwanza kaumaarufu unakokariri kuwa nako watu wanakushangaa kuwa na akili retarded kama yako ilhali umetoka kwenye familia thabiti hapa bongo. Una tofauti na akina Makongoro Nyerere sema yeye abwabwaji mitandaoni ndio nafuu yake.
Huwa najiona genius saana ninapogundua naweza kuargue na wewe na kukugaragaza ilhali hata elimu yangu ni ya kuchechemea na wewe una degree tatu. Sio bure utakuwa retarded or mental disorted una rational wala tough reasonin ability. Nop sioni kwako hii kitu babu yangu.
Very Imbecilic!!
Yan wabongo si mpoje mnapoteza mda mwng kusema mtu wakt mna mambo meng ya kufanya. Nyumba kamjengea yeye mama ake ww kinachokuhuma nin ? hata kama ya udongo haikuhusu badiliken bwana
- Tunduma hamna hotel so ndio maana nimekaa Mbeya U know hahahaha now naelekea Mliman City karibu U know upate picha na Celebrity U know
Le Mutuz
- Ok now hebu tumia akili just for once unaumiza misuli na mtu unayemuita haya majina sasa wewe unakuwa nani mkuu ndio mana nasema wewe huna akili kabisa masikini wa Mungu na hujitambui pole sana mimi sio size yako kijana mdogo 3 Degree sio mchezo nenda ujipange tena!!
Le Mutuz
Kuna haja ya kubadilishana na kuonyana huyu bwana anajinadi sana mitandaoni yeye ndio celebrity mara yeye ndio milionea..mara hivi mara vile...
Sasa atimize na jukumu lake mama ni mtu mkubwa saana bro..kimaandiko wanasema ndio mungu wako wa pili kama yuko hai una budi kumtunza na kumpenda kwa moyo wako wote na sio kula bata hovyo hovyo mjini wakati mama analala kwenye pagala kama lile.
Hapana! We have to do something, na ninaamini kupitia hii misumari tunayomuwamba hapa lazima ifanye mabadiliko flani juu ya mustakabali na mtazamo kwa mama yake. Trust me.
Lazima tutamake a difference na hii misumari. Lazma!
Hahahaas u know ungelala kwenu hata kma nyumba mbovu ila nyumbani n nyumbani 2,picha piga n familia yko
Ujenzi Wa nyumba ya mama umeishia wapi mbona kimya no updates
- hahahahaha jifunze kurusha misumari kwa kutumia ID yako kama mimi ndio utasikilizwa so far ni debe tupu kama mengine ok hahahahaha
Le Mutuz
- I stay 5 star kwani what is the difference I mean unaongea kama mtu wa miaka ya 20 amka wewe lazima kuendeleza uchumi sasa kila mtu anakwenda Mbeya kukaa kwa mama yake Hotel atakaa nani ebo!! hahahahah U know
Le Mutuz
- I stay 5 star kwani what is the difference I mean unaongea kama mtu wa miaka ya 20 amka wewe lazima kuendeleza uchumi sasa kila mtu anakwenda Mbeya kukaa kwa mama yake Hotel atakaa nani ebo!! hahahahah U know
Le Mutuz
W. J. Malecela weka picha ya mama yako mkuu, wanasema mama yako huwezi weka picha yake kwani hali yake ni tofauti sana na wewe. Thibitisha hilo mkuu.