Ngalangala
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 328
- 130
Mods njooni huku mumsaidie Le Big Show, naona kama kazidiwa madongo leo
Sometimes muwe na huruma mods
- hahahahaha mama yako hana nyumba kubali tu anaishi kwenye nyumba ya udongo huwezi kuiweka hapa mama yangu anaishi kwenye nyumba super kule Tunduma ndio maana nimeiweka hapa bila uoga weka ya mama yako hapa kama haikuwa kichekesho hahahahahaha
Le Mutuz
- hahahahaha mama yako hana nyumba kubali tu anaishi kwenye nyumba ya udongo huwezi kuiweka hapa mama yangu anaishi kwenye nyumba super kule Tunduma ndio maana nimeiweka hapa bila uoga weka ya mama yako hapa kama haikuwa kichekesho hahahahahaha
Le Mutuz
- Yeah The King of All Bongo Social MEdia Network live at downtown Mbeya U know came here on Fastjet Airbus U know hayo mbona husemi mkuu U know hahahahahahaha staying at 5 star Hotel GR U know me I love it!!
Le Mutuz
W. J. Malecela weka picha ya mama yako mkuu, wanasema mama yako huwezi weka picha yake kwani hali yake ni tofauti sana na wewe. Thibitisha hilo mkuu.
Hili jamaa bure kabisa..
Kwan we jina lako ni Lemutuz?it's ok then coz hata Baba yako aliwahi kuitwa Jumanne (J4)
- hahahahahaha uchimeze au uchiteme mung'unya hahahahahahahahhaa ujumbe umeupata U know hahahahaha
Le Mutuz
- Ungeanza na picha ya mama yako kwanza ndio udai za wengine mburulazzz wewe!!
Le Mutuz
- Lakini ukapoteza muda wako wote kunitafuta ili nijiunge na kundi lako la Lowassa mtu asiye na akili sawa sawa? hahahahahahahahahah huwa unanifurahisha sana!!
Le Mutuz