Huyu jamaa anapenda sifa z kitoto sana tunduma imejengwa sana nyumba nzuri n lodges nzuri sasa hiyo nyumba y mama yke hata hionekani,mtu kapigia picha dirishani huwezi jua n nyumba au banda.istoshe hujui mbele au nyuma atupie front view y hiyo nyumba tuone itakua kma club y ulanzii.mtu umeenda kwenu unafikia hotel then unakuja n sifa z kichu....pi hpa
again,
umri mkubwa, analysis zero
Nimezungumzia lugha yako ya kitoto, if you have read my comment, i didnt say anything about the house, nimezungumzia utoto wako na lugha zako za kitinejaz
daym, ina maana huna hata lepe la akili ya kusoma niliyoandika??
- Vipi nyumba ya mama yako mkuu ipo wapi maana kelele tu vipi anaishi kibandani nini? hahahahahahaha
Le Mutuz
- Wewe ndio mjina mambo ya Isntagram hayahusu hapa na kama vipi weka nyumba ya mama yako kama huwezi nyamaza maana huna sense hata kidogo mtu mjinga ndiye anaweza kuleta mambo ya Isntagram huku pole sana kama mama yako hana nyumba mimi mama yangu anayo na umeiona picha yake sawa hahahaha
Le Mutuz
Hata subutu kufanya hivyo. Alikuwa akilalamika
Kwanini mabebeez hawajamsaidia
Wakati huu mama ake ana umwa
Anawaita sijui mazafatazz le mburulazz!!
Nilichouliza na majibu niliyopewa ni vitu viwili tofauti..
Tatizo lako unakua mwili akili kisoda muda huu ulitakiwa kuwa karibu na mama tuseme unauguza matokeo yake upu humu kutupia picha eti hotel ya 5star GR... Hili sio jukwaa la picha punga kweli peleka mashavu yako huko tatizo umekaa kupenda sifa za kijinga tu.
Nop!! Hii nyumba bado haijakidhi hadhi ya mama yako mzee ikilinganishwa na bata pamoja na matambala unayoyatoa mitandaoni na mitaani.
Matter of fact, kuwa mtoto wa former PM ambaye ni aged pia former diaspora mwenye degree tatu....no thank u sir! Unaposema nyumba hii ni bora mtaa mzima huo ni uhalifu mkubwa dhidi ya mama.
Msaidie mama bro! Please!!!
Ndio alivyo huyu ni wa kumsamehe
Ndio alivyo huyu ni wa kumsamehe
- So page 7 Viewers 10,000 kwa ajili ya mtu wa akili ya kisoda au unajisema mwenyewe habu jaribu kujadili jina lako mwenye akili kubwa kama unaweza pata hata comment moja kubali mimi ni The King Of All Bongo Social Media ndio maana unatafuta kiki na wewe ujulikane kunijadili please weka nyumba ya mama yako hapa tuone hahahahahah
Le Mutuz
Huyu jamaa tatizo hataki kuukubali ukweli.. Kila anachokifanya yeye anaona kiko right.. Anadai Voda inamlipa 5M per month kwa matangazo ila ameshindwa kumrekebishia mzazi wake mahala pa kulala. Hapo imembidi aende tu sababu mama yu taabani..
Hata subutu kufanya hivyo. Alikuwa akilalamika
Kwanini mabebeez hawajamsaidia
Wakati huu mama ake ana umwa
Anawaita sijui mazafatazz le mburulazz!!
Mpuuzi ni kumuacha na upuuzi wake tatizo lako unataka usifiwe na vitu vya ajabu ajabu
Duuuuh hatari umri huo anaomba msaada
- Sure hapa Mbeya ninaishi downtown kama kawaida at this 5 star Hotel U know GR, so kama vipi nipo hapa U know and I love it!!
Le Mutuz
Kwakuwa mamako anaishi bandani basi unajua kila mama anaishi huko eeehh.. Nyumba ya mama yangu ya kule kijijini ni standard kama hizi za mbezi, Masaki wachilia mbali ya hapa mjini. Muulize boss wako David Mosha anakujaga sana kuchoma nyama pale nyumbani yeye na rafiki yake Ngiloi
ha ha ha ....none of my business.Ila ningekuwepo ningekualika tugonge unywaji.Bahat Mbaya nipo iringa na shemeji yako gentle hills hotel gangilonga iringa