Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa anapenda sifa z kitoto sana tunduma imejengwa sana nyumba nzuri n lodges nzuri sasa hiyo nyumba y mama yke hata hionekani,mtu kapigia picha dirishani huwezi jua n nyumba au banda.istoshe hujui mbele au nyuma atupie front view y hiyo nyumba tuone itakua kma club y ulanzii.mtu umeenda kwenu unafikia hotel then unakuja n sifa z kichu....pi hpa

Hata subutu kufanya hivyo. Alikuwa akilalamika
Kwanini mabebeez hawajamsaidia
Wakati huu mama ake ana umwa
Anawaita sijui mazafatazz le mburulazz!!
 
again,

umri mkubwa, analysis zero

Nimezungumzia lugha yako ya kitoto, if you have read my comment, i didnt say anything about the house, nimezungumzia utoto wako na lugha zako za kitinejaz

daym, ina maana huna hata lepe la akili ya kusoma niliyoandika??

- Weka nyumba ya mama yako hapa wacha maneno mengi wewe ndiye mtumzima peke yako humu mjinga wewe mimi sio ndugu yako wala sikuhusu hunilipii rent wala chakula nakuona mjinga flani hivi unatafuta kiki kama una ubavu weka picha ya nyu,mba ya mama yako huwezi nyamaza tuachie sisi tunaoweza kuweka nyumba za mama zetu U know hahahahaha

Le Mutuz
 
- Vipi nyumba ya mama yako mkuu ipo wapi maana kelele tu vipi anaishi kibandani nini? hahahahahahaha

Le Mutuz

Kwakuwa mamako anaishi bandani basi unajua kila mama anaishi huko eeehh.. Nyumba ya mama yangu ya kule kijijini ni standard kama hizi za mbezi, Masaki wachilia mbali ya hapa mjini. Muulize boss wako David Mosha anakujaga sana kuchoma nyama pale nyumbani yeye na rafiki yake Ngiloi
 
- Wewe ndio mjina mambo ya Isntagram hayahusu hapa na kama vipi weka nyumba ya mama yako kama huwezi nyamaza maana huna sense hata kidogo mtu mjinga ndiye anaweza kuleta mambo ya Isntagram huku pole sana kama mama yako hana nyumba mimi mama yangu anayo na umeiona picha yake sawa hahahaha

Le Mutuz

Tatizo lako unakua mwili akili kisoda muda huu ulitakiwa kuwa karibu na mama tuseme unauguza matokeo yake upo humu kuonyesha picha eti hotel ya 5star GR... Hili sio jukwaa la picha punga kweli peleka mashavu yako huko tatizo umekaa kupenda sifa za kijinga tu.
 
Hata subutu kufanya hivyo. Alikuwa akilalamika
Kwanini mabebeez hawajamsaidia
Wakati huu mama ake ana umwa
Anawaita sijui mazafatazz le mburulazz!!

- Sihitaji kusaidiwa na mtu nilichosema ni kwamba kila mtu anataka my house waming party lakini sio ugonjwa wa mama yangu mwanaume wachana na umbeya mjini hapa U know hahahahahahah

Le Mutuz
 
Nop!! Hii nyumba bado haijakidhi hadhi ya mama yako mzee ikilinganishwa na bata pamoja na matambala unayoyatoa mitandaoni na mitaani.

Matter of fact, kuwa mtoto wa former PM ambaye ni aged pia former diaspora mwenye degree tatu....no thank u sir! Unaposema nyumba hii ni bora mtaa mzima huo ni uhalifu mkubwa dhidi ya mama.

Msaidie mama bro! Please!!!
 

Attachments

  • 1421005915780.jpg
    1421005915780.jpg
    40.7 KB · Views: 1,320
Tatizo lako unakua mwili akili kisoda muda huu ulitakiwa kuwa karibu na mama tuseme unauguza matokeo yake upu humu kutupia picha eti hotel ya 5star GR... Hili sio jukwaa la picha punga kweli peleka mashavu yako huko tatizo umekaa kupenda sifa za kijinga tu.

- So page 7 Viewers 10,000 kwa ajili ya mtu wa akili ya kisoda au unajisema mwenyewe habu jaribu kujadili jina lako mwenye akili kubwa kama unaweza pata hata comment moja kubali mimi ni The King Of All Bongo Social Media ndio maana unatafuta kiki na wewe ujulikane kunijadili please weka nyumba ya mama yako hapa tuone hahahahahah

Le Mutuz
 
Nop!! Hii nyumba bado haijakidhi hadhi ya mama yako mzee ikilinganishwa na bata pamoja na matambala unayoyatoa mitandaoni na mitaani.

Matter of fact, kuwa mtoto wa former PM ambaye ni aged pia former diaspora mwenye degree tatu....no thank u sir! Unaposema nyumba hii ni bora mtaa mzima huo ni uhalifu mkubwa dhidi ya mama.

Msaidie mama bro! Please!!!

- Ilikuwa ni safari yangu ya kwanza toka nirudi Majuu, nikaitengeza na kuwa ilivyo sasa tofauti na hiyo na sasa naitengeneza tena hiyo picha ilikuwa zamani mara yangu ya kwanza kurudi bongo Miaka 4 iliyopita sasa hivi ipo hivi:-



- Hii ni baada ya kuijenga upya niliporudi na sasa naifumua tena, pole sana hope netx time utaweka nyumba ya mama yako tuone ukweli ulipo hahahahaha

Le Mutuz
 
Ndio alivyo huyu ni wa kumsamehe

Huyu jamaa tatizo hataki kuukubali ukweli.. Kila anachokifanya yeye anaona kiko right.. Anadai Voda inamlipa 5M per month kwa matangazo ila ameshindwa kumrekebishia mzazi wake mahala pa kulala. Hapo imembidi aende tu sababu mama yu taabani..
 
- So page 7 Viewers 10,000 kwa ajili ya mtu wa akili ya kisoda au unajisema mwenyewe habu jaribu kujadili jina lako mwenye akili kubwa kama unaweza pata hata comment moja kubali mimi ni The King Of All Bongo Social Media ndio maana unatafuta kiki na wewe ujulikane kunijadili please weka nyumba ya mama yako hapa tuone hahahahahah

Le Mutuz

Mpuuzi ni kumuacha na upuuzi wake tatizo lako unataka usifiwe na vitu vya ajabu ajabu
 
Huyu jamaa tatizo hataki kuukubali ukweli.. Kila anachokifanya yeye anaona kiko right.. Anadai Voda inamlipa 5M per month kwa matangazo ila ameshindwa kumrekebishia mzazi wake mahala pa kulala. Hapo imembidi aende tu sababu mama yu taabani..

- Ungeweka nyumba ya mama yako kwanza ningekusikiliza sana mkuu ila for haya maneno matupu please hahahahahahaha huna hoja wala right to speak

Le Mutuz
 
Mpuuzi ni kumuacha na upuuzi wake tatizo lako unataka usifiwe na vitu vya ajabu ajabu

- hahahaha ukisoma maneno yaliyoandikwa na mpuuuzi utamjua tu wala haina haja ya kujua jina lake maneno yake tu hujisema mwenyewe kuwa ni mpuuuzi U know hahahahaha

Le Mutuz
 




- Sure hapa Mbeya ninaishi downtown kama kawaida at this 5 star Hotel U know GR, so kama vipi nipo hapa U know and I love it!!

Le Mutuz

ha ha ha ....none of my business.Ila ningekuwepo ningekualika tugonge unywaji.Bahat Mbaya nipo iringa na shemeji yako gentle hills hotel gangilonga iringa
 
Kwakuwa mamako anaishi bandani basi unajua kila mama anaishi huko eeehh.. Nyumba ya mama yangu ya kule kijijini ni standard kama hizi za mbezi, Masaki wachilia mbali ya hapa mjini. Muulize boss wako David Mosha anakujaga sana kuchoma nyama pale nyumbani yeye na rafiki yake Ngiloi

- hahahaha kumbe unazim,ia na Davis Mosha ndio maana kila post lazima umtaje vipi unataka awe rafiki yako nini I mean wewe umeshawahi kuona watu kama Davis wanakuja kuandika kama wewe kuhusu nyumba ya mama yako bila picha? hahahahaha eti mama yako ana nyumba kama MAsaki weka hapa tuone si unajua wapo watu wanakukuja hapa itakuwa aibu hahahahahahaha eti Davis Mosha anakujua wewe? hahahahahahahah

- Tunapokuja Kiboloni huwa tunaenda kwa Macha tu sio wewe wacha kujikweza na kujipa kiki kaka hahahaha you are no body!!

Le Mutuz
 
ha ha ha ....none of my business.Ila ningekuwepo ningekualika tugonge unywaji.Bahat Mbaya nipo iringa na shemeji yako gentle hills hotel gangilonga iringa

Heri yako wew uko pande hizo hiyo iko quality kinoma sio GR anayoisemea karibu iringa mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom