Hapa tatzo ni maslahi binafsi,Le Kokobanga na Dai' wapo kwenye team Bash Baby
Then,Bash Baby na Ruge a.k.a kichwa mtaji hawasikilizani cuz it's believed that kuachwa kwa Kichwa mtaji na Zam' Bash Baby ndyo alikuwa nyuma ya mchezo,pia si unakumbuka Bash Baby alishawahi kufanya ambush Pale studio so,kilichopo hapa Kichwa mtaji kwa kuwa yy ni gwiji wa kucheza na upepo huenda ameamua kumnunua Julie Shenz ili aweze kumtumia kama silaha kupambana na maadui zake
Lkn,yote kwa yote hawa team Ruge na team Bash Baby huenda kuna biashara ya giza walikuwa wakiifanya then kwa kuwa Ruge ni tapeli akaamua kum- double cross Zero brain from koromije land so,Mkoromije akaamua kutumia nguvu ya kiutwala aliyonayo kum-discipline Ruge
Kumbuka Bash Baby ndyo mlezi wa WCB...hapo unganisha dots utapata majibu mengi sana!