Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Hahhaha you know loya syiba kraimu inasema "intentionally intended" sasa mpaka babu approve sio kazi ndogo

Teh Teh lemutuz atawapeleka wengi mahakamani.... halafu sidhani kama wataweza kucontrol na kuingilia mawasiliano ya facebook,twitter na instagram...
 
hahahaha
Uknw leumemez
 
Hivi ni vifaa gani vilivyoletwa vya kufanya kuwakamata watu watakaovunja sheria

Ni ngumu kwa Insta,fb na twitter lakini kwa blog za kibongo na Jf wataweza kucontrol au kuzifunga zikienda kinyume na sheria..wamiliki wa insta,fb na twitter hawawezi kutoa data za wateja wao na ni ngumu kuwabana hata wakiingilia mawasiliano ya wateja wao hiyo itakuwa ni case kubwa sana na ni mgogoro...
 

Eeeeh???
 
page ya sita bado?mbona sijamuona kubwa jinga le mburulaz akipangua hoja?!!
 
Huyu jamaa at that Age hakuwa ameoa??? Hongera rafiki zake billionaires kwa kufanikisha harusi yake...! Ngojea nianze kumsumbua babu mzee malecela ili niweze pata kadi ya mualiko!
 

Duh...napita tu mkuu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…