Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa nilikua namkubali lakini kwa sasa ameanza kunikera.
 
Kiboko yake case mtanga limbululazzz huwa anatokwa povu mpka anakunywa painkiller

Huyo case mtanga nahisi ni mwandani wake make huwa anaongea secretis za ndani kabisa. Na hapo lazima le mutuz povu limtoke.
 
Le mutuz nation nashangaa sana wanaomchukia mtu wa mabebez wakareez. Mimi ananifurahishaga tu na majibu yake u know
 

Kuna tofauti kubwa kati ya Rafiki na kumuina mtu nankuomba picha, le mutuz ndugu ww na Majay au Cloud wa Efm mmeanza lini urafiki? We ulikua umejuana na ssebo tena kupitia pale triple 7 na kile kipindi cha joto la asubuhi alikupigia simu akakuuliza maswali ma 5 ila kwa sababu huwezi interview za kushtukizwa(ref majibu yako ya nyumba kua hujaomba swali) ukaulizwa kitu ukapanick, ukajiandikisha IG, simply bcuz Efm hawakutaka kelele na ww ukapewa kisegment, ulisumbua sana siku hio kuomba picha, maana nahisi ulihaha kuanzia kwwenye lift mpaka floor ya 3, na wengi walikukimbia ukaishia kupiga picha na staff wa 3, ulitamani uwahi asubuhi ili upige picha na watu wote... unahisi watu hawajui maisha yako?? Too bad akina malecela wengine ni wastaarabu ndo maana wengi tunajizuia kukuropokea
 

Iv lemutuz kawakosea nn??...chuki tu binafsi ..mm binafsi namkubali sana lemutuz na huwa nafatilia STRAIGHT TALK zake za kila asubuhi most of the tymz anaongeaga point....sasa kashifa mnazomzushia hazina kichwa wala miguu ..mara oo kanywa sumu..ndo nn sasa...afu nachomkubali lemutuz anatumia ID yake ya ukwel cc wengne tunajificha na majina ya uwongo ....ni mtu anayejiamini ebu jamani tujiheshimu. Ila yote haya yanaletwa na umasikimi ...masikini wana hasira saNa wakiona mtu anashine...nmemaliza ...ukinitukana nakutukana back.Jino kwa jino theory
 
Le bikiraz le kisukumaz you know ni mshamba sana,
 
Hamna mtu anaemchukia Le mutuz....Ila sasa na yeye AKUE BANAA yaani jamaa maisha yake kama li teenager fulani hivi!!Ukimuangalia sana bikira wa kisukuma ni kijana mdogo na hazidi hata 30 kama sijakosea, Sasa Zee zima kama Le mutuz 58 years of age- kugombana na mtoto wake haoni aibu???Inabidi akue aache utoto...ajiheshimu na watu watamheshimu pia.
Imagine hili zee liko huko Insta!!! sasa na watoto wake wa US wako huko si uchurooo huo arif wangu.awaachie ma teenagers huko insta yeye aangalie kiblog chake au sio bwashee.
 
Le mbebezzzz wakareee le super mutindi le baharia le bilioneaaaz Le super blogaaaz Le gademu.I' m humbled u know hahahahhhhaahha Le mutuz nation
 
Le mbebezzzz wakareee le super mutindi le baharia le bilioneaaaz Le super blogaaaz Le gademu.I' m humbled u know hahahahhhhaahha Le mutuz nation

Sasa hivi yuko na le super Msomalizzz u know
Hahaaaa, I like it.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…