Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo lemutuzi unamsema rafiki yako lulu???sio vizurii
NNisome vizuri.
nashukuru kwa kuleta mstari unaosema ukweli hasili kuhusu huyo allah. anaposema ziendeeni konde zenu "mpendavyo", na ndivyo mnavyofanya, mnawaendea wanawake mpendavyo, mnawafanya wanawake mpendavyo kwani ni instrument mliyopewa. ni haki yenu, ndio maana -------- kamenei alipokuja udsm alisema ni suna kumwingilia mwanamke kila tundu kuanzia mdomoni, k, tigo, hata masikio hata kitundo chochote...hahaha, ni suna hiyo.Hayo yako wewe. Qur'an imeweka wazi kabisa kuwa:
Qur'an 2:223.
Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na jueni kuwa hakika nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini. ***
Meneja wa Diamond alisema kuwa tiketi za milioni 3 zilikuwa 10 pekee sasa kama zilikuwa tatu tu na ule ukumbi haufikishi watu 5000 hizo hesabu za 1.8bilioni zimetoka wapi
Hebu tukisie unavyodhani wewe,meza sawa na mil30, ambayo ni sawa na watu 80 kwani kla meza inasemekana walikuwa watu 8,mle ndani inadaiwa walikuwa elf 3 tutoe watu 150,nikimaanisha 20 ni dai,zari na wasafi team na ndugu na jamaa,halafu 50 labda complimentary,2850 watu waliolipa viingilio,let say 2000 wamelipa 100000, moja,na waliobaki elfu hamsn inaweza kufika hyo hela na mitandao ya kijamii na cm kuliko kubisha,tujifunze kukamata fursa,
​Le mutuz si ndio hao hao wale wa degree 3 au div 5!! mapato bila matumizi uliona wapi hio??Hivi le mutuz nae ni mtu wa kumsikiliza mi namuona ni mtu wa hovyo hovyo tu.