Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
Hili jukwaa la siasa au kupashana , Mbona mnaharibu maana ya JF
Labda mkuu nikuulize swali, una uhakika gani kua aliyemtumia Mange ile message ni LeMutuz mwenyewe?
Mambo mengi yanatendeka mitandaoni siku hizi, hata kama chance ni ndogo ila there's still a possibility kua ni mtu tu na ile namba kaamua kujifanya LeMutuz, najaribu tu kuangalia pande zote mbili, unless una namba ya LeMutuz na umehakiki kua ile namba kweli ni ya kwake.
Na kama ni kweli basi jamaa hafai simply because yuko tayari kufanya kitu chochote regardless na how wrong it could be ili tu apige hela. Watu kama Dr.Year ni wabaya sana, hizi elimu za google kuzipeleka kwenye medicine ni hatari sana, wapo wengi kama yeye wamejaa mitaani inabidi serikali iwasafishe wote.
Wewe nae fanya yako bana. Kutwa kutaja taja majina ya wanaume wenzako. Sasa unataka mabinti wafanye nini? Unataka jamii ikueleweje wewe!? Au mwenzetu sio riziki nini?
Haya mmeanza.Kwani yeye kakutaja wewe? unamtetea kwa malipo gani?
achana na mambo ya watu.
wewe jadili UKAWA yako na mafisadi wenu mliowakumbatia.
Kwa akili zako zote umeona hapo nimetaja jina la mwanaume mwenzangu? Au unaona nimetetea kitu hapo!?
Ukiona mwanaume yupo mitandaoni kutwa anataja majina ya watu ujue tu anafumuliwa malinda yake. Kwa maneno mengine, anatangaza biashara yake ya Kikameruni humu JF.
Ben Saanane una post election mental disorder.kushindwa kupata tiketi ya kugombea ubunge pili chama chako kuambulia wabunge 39 baada ya maigizo yote ya kudeki barabara.
Ben Saanane unajadili watu badala ya issues.tena unakwapua mjada instagram unaleta humu?
Ben umefulia kisiasa
Kitu kizuri ni kuwa amekupuuza na hajakujibu.Wewe ndio mtetezi wa wanaume wenzako?Hujui unasimamia nini.Unatia huruma
Ni ripoti ya Mwananchi.Soma vizuri.Huyu ni MwanaJF hatutaki unafiki na ubinafsi
Unadhani mfumuliwa malinda ajausoma ukweli huo? Cha msingi sio kujibu...cha msingi the truth must be told...kutaja taja majina ya wanaume wenzako ni tabia za ushoga. Nimetimiza wajibu wangu kuusema ukweli huu.
Wana ccm siku zote hutetea matumbo yao tuu