thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Sawa mama,ngoja ujaziwe like na mashoga zakoMi naamini maana magufuli alikuwa mtu wa busy for nothing! Alilala usiku wa manane kwaajili ya petty issues kama kusoma faragha za watu, umbea na uchimvi.
Alikua na muda mwingi wa kuchezea.
TAZARA ilijengwa na Magufuli?Wewe unachuki binafsi tu.
Miradi kama ya SGR ilikuwepo wakati wa ukoloni?
Waache wenzako walale sasa huku tukikosa huduma mhimu kila kona.
Magufuli was just a mere village conman!!Sawa mama,ngoja ujaziwe like na mashoga zako
Mi naamini maana magufuli alikuwa mtu wa busy for nothing! Alilala usiku wa manane kwaajili ya petty issues kama kusoma faragha za watu, umbea na uchimvi.
Alikua na muda mwingi wa kuchezea.
Mhh.. hadi wenzako wakushangaa jinsi unavyowehuka haoaTAZARA ilijengwa na Magufuli?
Mkapa bridge?
Hii nchi haijawahi kusimama kabla na baada ya uhuru as long as serikali inakusanya kodi.
Usituletee ujinga wako hapa we mana Mboga shwaini!
Alipoulizwa kwanini hajaoa na umri umekwenda , akajibu kwamba Umri ni namba tu , na kwamba hata baba yake amemwambia asifanye haraka kuoa [emoji38][emoji38][emoji38]Tutaamini vipi? Lemutuz huwa ana tabia ya uongo
Akijibu nistue .TAZARA ilijengwa na Magufuli?
Mkapa bridge?
Hii nchi haijawahi kusimama kabla na baada ya uhuru as long as serikali inakusanya kodi...
Usituletee ujinga wako hapa we mana Mboga shwaini!
Nimekuuliza mradi mkubwa kwa wakati huo wa TAZARA alijenga Magufuli?Mhh.. hadi wenzako wakushangaa jinsi unavyowehuka haoa
Rais wa nchi anaongea masaa mawili na watu wa hovyo kama kina Lemutuz halafu anakwambia analala usiku wa manane!Nia njema haihalalishi njia mbaya.
Unavyovingelea hivyo vimejengwa zaia ya miaka 100 .. Magufuli kaafanya vyote ndani ya miaka 6 tu.Nimekuuliza mradi mkubwa kwa wakati huo wa TAZARA alijenga Magufuli?
Mradi mkubwa wa chuo kama UDOM alijenga Magufuli?
Vipi Shule za kata? Vipi bomba kubwa la gas from kusini to Dar?
Hiyo SGR unayoisema imefika wapi?
BRT ya Dar ilijengwa na Magufuli?
Wewe ni mama mboga huna akili za kuwaza zaidi ya kushukuru kwa kitambulisho cha machinga cha elf 20!!
Le Mutuz Mobimba Bomaye Nye nye nye ,hes humbled you know ha ha ha.Nye nye nye Yu knoo
😂Le downtown you know, i try to keep my American spirit Maaan gademuitiLe Mutuz Mobimba Bomaye Nye nye nye ,hes humbled you know ha ha ha.
Yes downtown with My Noah with super mtindiz you know im super humble ha ha ha.😂Le downtown you know, i try to keep my American spirit Maaan gademuiti
Nimetoka majuu na Le noaz ikiwa 0 kilometer sema tu im humbled, niende zangu sea view nikale upepoz maana Moyo una le mafutaz ila ni ya alizeti you know🤣Yes downtown with My Noah with super mtindiz you know im super humble ha ha ha.
Ulikuwa unashinda naeMi naamini maana magufuli alikuwa mtu wa busy for nothing! Alilala usiku wa manane kwaajili ya petty issues kama kusoma faragha za watu, umbea na uchimvi.
Alikua na muda mwingi wa kuchezea.
Mbirikimo wa akili wewe!Uko brainwashed we kima! Miradi ilikuwepo nchi kabla na baada ya ukoloni!!