SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Halafu dada mkubwa ukiwa kwenye heat unajichetua sana. Haya sema nikukute wapi nikupige kimoko. Agizia kabisa kitimoto kilo moja .Nimekumiss dada, what have been up to you?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu dada mkubwa ukiwa kwenye heat unajichetua sana. Haya sema nikukute wapi nikupige kimoko. Agizia kabisa kitimoto kilo moja .Nimekumiss dada, what have been up to you?
I read you, me watching a far!Le mutuz ni very genuine person...binafsi naamini Le mutuz Yuko kama alivyo hate him or love him ..
Haya ya Magufuli kaongea ukweli wake kabisa alivyomuona Magufuli
Haya chagua rangi hapo nikununulieHalafu dada mkubwa ukiwa kwenye heat unajichetua sana. Haya sema nikukute wapi nikupige kimoko. Agizia kabisa kitimoto kilo moja .
M.mwenyew nilkiwa nawaza hvyo hvyo inakiwaje Bab ake alikuwa waziri mkuu na mbuge Muda mrefu na makamu rais jmn na yey lemutuz Ni wa kulia njaaa njaa dah demitiHivi hata watoto wa vigogo wastaafu Wana Njaa km sisi watoto wa wanusa asali...hii baghosha
Ahahahajaj mnanichekesha mno alinibloku bhna ndio maan siku hz sipati mbwembe zakeNimetoka majuu na Le noaz ikiwa 0 kilometer sema tu im humbled, niende zangu sea view nikale upepoz maana Moyo una le mafutaz ila ni ya alizeti you know[emoji1787]
Urembo wooote ulionao ndiyo unavaa hizo takataka? Ndiyo maana mabwana wanakupiga kibuti fasta,mchafuuuuuu !!! Hapo lazima papa yako inatoa haruf mbaya.Haya chagua rangi hapo nikununulie
View attachment 2420409
Moja ya watu wa ajabu sana. Huyu mzee anavyojipendekeza kwa watu wenye mali na madaraka mpaka inatia aibu
Jamaa ni chawa wa next level....analazimisha picha picha ili atoe Instagram 🤣🤣🤣Kuna watu wanazaliwa na vipawa ambavyo wa nje wanaviona na wenyewe wanavijua lakini awavitilii maanani kuvikamilisha.
Le Mutuz huyu jamaa alizaliwa kuhubiri neno la mungu sema akufuata hiyo njia.
Ukiacha uchawa na kujitukuza, kuna mambo ya msingi ya maisha kama umekutana nayo (nothing to do with love) hasa namna ya kukabiliana na shetani anaposhauri namna ya kuchomoka ana make sense sana ni kama ana kuhakikisha unachofikiria ni sawa kwa asilimia 100%.
Magu aliidhinisha kodi za watanzania zijenge miundombinu mingi sana madaraja barabara za lami stendi mbalimbali na masoko mbalimbali, ila kuna wanaoidhinisha kodi za watanzania zikusanywe walambe asali.TAZARA ilijengwa na Magufuli?
Mkapa bridge?
Hii nchi haijawahi kusimama kabla na baada ya uhuru as long as serikali inakusanya kodi...
Usituletee ujinga wako hapa we mana Mboga shwaini!
[emoji38][emoji38][emoji38]Moja ya watu wa ajabu sana. Huyu mzee anavyojipendekeza kwa watu wenye mali na madaraka mpaka inatia aibu
Nasikia amefariki dunia muda huu !@ RiP Le Mutuz