Le Mutuz hii sasa imezidi


- Hahaha kwanza alimtuma rafiki yake mpenzi Grace anayefanya kazi Shell aende kwa Davis amuombee nimrudie, nikakataa kata kata leo yamekuwa haya, amaehangaika kila kona kuwatafuta marafiki zangu wa kike kwamba mimi kazi yangu kutembea na Malaya wa Jolly Club kuna ujumbe mmoja anamwambia Msichana wangu aliyeko South Africa kwamba ninatembea na malaya 4 kwa siku, ushahidi upo wa ujumbe alioutuma alipoabanwa nao akakosa cha kujibu, leo yamekuwa haya baada ya kuja bongo na kum ignore kama hayupo,

- Mama yangu is fine na hata kama asin gekuwa yeye tumeshaachana miaka 4 sasa kwa Divorce anamuhusu nini? Sihitaji hela ya Mhindi yoyote kulipia ofisi yangu kwanza ameiita ni Corridor nina wafanyakazi 4 wa blog ambayo kila siku inaingiza sio chini ya Shillingi Laki 2, ningekuwa na tatizo lolote la kimwili hawa mabebez wote ninaoruka nao hapa mjini na niliokwisha ruka nao hapa mjini ingekuwa hadithi ya siku nyingi na kama huamini kwa nini usije kujaribu mwenyewe maana naamini wewe ni demu cause hakuna Mwanaume anayeweza kuandika maneno ya kupashu kama yako lazima awe demu,

- Kama nilivyosema nilipoulizwa na Blogu ya Wananchi, ninamtakia heri na maisha yake mbele ya safari alitingisha kibiriti akakuta kimejaa hakuamini kwa sababu nilikuwa nampenda sana akajua nitamrudia, sasa ameshaamini kwamba simrudii tena ndio maana amekuja na haya hii inaitwa the last call, Mungu amtangulie ila Wanaume tupo wengi haina sababu ya kuhangaishana na mimi kila wakati.

Le Mutuz
 

Malizeni tofauti zenu za chumbani PRIVATE upuuzi sasa huu kutunufaisha strangers! Hivi mnajua ni namna gani mnazidi waumiza watoto wenu??
 
Malizeni tofauti zenu za chumbani PRIVATE upuuzi sasa huu kutunufaisha strangers! Hivi mnajua ni namna gani mnazidi waumiza watoto wenu??

- Kwenye maisha kuna mambo ambayo ni un avoidable so kama wewe ni Mwanaume you should always be prepared to face them facedown bila kulilia privacy, kumbuka aliyekimbilia huko nia na madhumuni yake ni kukufanya uogope kujibu kwa kisingizio cha mambo ya ndani no yakishafika huku yanahitaji majibu kama huna majibu kubali kwamba you are wrong, hahahaha if you are not you just stand up and be counted ok mkuu,

Le Mutuz
 

Mkeo kakuzidi akili mbali sana, ata watoto wako wamekuzidi kufikiri. Nachokushangaa unaona vp ajabu watoto wako kukukataa ...Trust me ata mimi ningekukataa unawaaibisha sna kwa kweli...nawaonea huruma sana mtu usiyefikiria ata nachokkfanya wanangu wanajiskiaje... Very schupt old man I ever seen
 
- duh hahahahahah nilikuwa busy sana ila thanks kwa kunijibia mkuu, yaani mpaka nimevunjika mbavu na kucheka people IJUMAA KUANZIA SAA TATU USIKU MPAKA SAA NNE NITAKUWA TBC KWENYE MBONI SHOW USIKOSE PLEASE, HAHAHAHAHAHA

lE bIG sHOW

wewe jamaa ni hopeless kbs ndio maana watu wanakufanya cartoon ...masifa ya kitoto ata unapokuwa watu wanakuenjoy waona sifa eti unakubalika...unaongea nonsense mitandaon km mschana mshamba uhoni aibu watu hawakukubali ila wanakung'ong'a ungekuwa na akili ungeshajua hili.
 

Mkuu samahan kwa kuvamia mada, jamaa hajamuuliza Le Mutuz, ila kuna dada likua gf wake ndo anayasema haya!! Ila yote haya ameyataka Le Mutuz, asipende kujikweza sana! Apige issue zake then atulie kimya! Sasa yeye muda mwingi anajisifu, of which haimwongezei credibility yoyote!
 

Mkuu huna tofauti na huyo alieleta hayo maswali! Wewe umejuaje Le Mutuz ni mwanaume rijali wa shoka ili hali wewe ni mwanaume kama yeye? Au hili shimo la mbolea unalotaka jamaa ampe, tayari wewe umempa hadi ukajua urijali wake!? Bila shaka ndivyo ilivyo!!
 

Mkuu, umeongea sana, ila jamaa atakua na upungufu wa akili mahali! Jaribu kumwelewa, there is something wrong upstairs, believe me or not! Binafsi siwezi kumjibu juha kama Le Mutuz!!

Ni wa kupuuza tu, na wala usihangaike nae hata kidogo!
 


Acha usodoma.
 
role model?
How old r u?14?
 

Le mutuz young billioner MTU was ma mababyz
 

the mutuz ni jeshi la mtu mmoja na wewe tafuta ujitangaze! au hujulikani na mababyz
 
Acha usodoma.





- Kuna mtu amenipa siri zako kule Private Inbox kwamba wewe ni nani na unafanya kazi wapi na umejuana wapi na neema sasa nimekuelewa, kumbe ni rafiki wa Neema karibu sana. Ok by the way hebu onyesha mbwa wanavyofanya mapenzi na binadam tuone nani ni wanafanya pure usodoma na wewe ni mbwa si ndio au? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Mkuu, umeongea sana, ila jamaa atakua na upungufu wa akili mahali! Jaribu kumwelewa, there is something wrong upstairs, believe me or not! Binafsi siwezi kumjibu juha kama Le Mutuz!!

Ni wa kupuuza tu, na wala usihangaike nae hata kidogo!

- Umekuja mbio mtumzima na akili zako kuja kumuongelea mtu mwenye upungufu wa akili na wewe ni mzima kabisa 100%? hahahahahah REally? hahahahaha tena umekuja na mjina huo wa bandia hahahahahahaha

Le Mutuz
 

- Kwa hiyo wewe sio Mwanaume rijali so unadhani kila mtu ni kama wewe au?

Le Mutuz
 

- hahahahahaha sasa yale yale eti ni nani hao unaowaongelea na biashara zangu hapa mjini ninafanya na nani wewe? hahahaha halafu ninalipaje bills zangu unanilipia wewe mwenye akili sana? Ofisi yako binafsi kama yangu hapa mjini ipo wapi? hahahaha nyamaza maana huna point zaidi ya ujuha mtupu


Le Mutuz
 

- hahahahah really? hahahahaha umekuja kumjadili mtu asiyefikiria anachokifanya? hahahahahahahah maajabu ya JF haya hahahaha

Le Mutuz
 

Ha ha siri zangu uzipate wapi we kibabu? Utahangaika Sana ujumbe wangu acha usodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…