William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
kuna kashfa hapa le mutu huzijibu? 1. Jogoo lako bovu haliwiki 2. Kwanini unajamba jamba hovyo 3. Yule muhindi anaekulipia kodi ya office 2500k/month ni nani yako. 4. Hatujawahi sikia umetembea na mwanamke yeyote 5. Neema anadai amekuacha toka jogoo lako lilipoanza kuonyesha dalili ya low betry. Hahahaha am humbled
- Hahaha kwanza alimtuma rafiki yake mpenzi Grace anayefanya kazi Shell aende kwa Davis amuombee nimrudie, nikakataa kata kata leo yamekuwa haya, amaehangaika kila kona kuwatafuta marafiki zangu wa kike kwamba mimi kazi yangu kutembea na Malaya wa Jolly Club kuna ujumbe mmoja anamwambia Msichana wangu aliyeko South Africa kwamba ninatembea na malaya 4 kwa siku, ushahidi upo wa ujumbe alioutuma alipoabanwa nao akakosa cha kujibu, leo yamekuwa haya baada ya kuja bongo na kum ignore kama hayupo,
- Mama yangu is fine na hata kama asin gekuwa yeye tumeshaachana miaka 4 sasa kwa Divorce anamuhusu nini? Sihitaji hela ya Mhindi yoyote kulipia ofisi yangu kwanza ameiita ni Corridor nina wafanyakazi 4 wa blog ambayo kila siku inaingiza sio chini ya Shillingi Laki 2, ningekuwa na tatizo lolote la kimwili hawa mabebez wote ninaoruka nao hapa mjini na niliokwisha ruka nao hapa mjini ingekuwa hadithi ya siku nyingi na kama huamini kwa nini usije kujaribu mwenyewe maana naamini wewe ni demu cause hakuna Mwanaume anayeweza kuandika maneno ya kupashu kama yako lazima awe demu,
- Kama nilivyosema nilipoulizwa na Blogu ya Wananchi, ninamtakia heri na maisha yake mbele ya safari alitingisha kibiriti akakuta kimejaa hakuamini kwa sababu nilikuwa nampenda sana akajua nitamrudia, sasa ameshaamini kwamba simrudii tena ndio maana amekuja na haya hii inaitwa the last call, Mungu amtangulie ila Wanaume tupo wengi haina sababu ya kuhangaishana na mimi kila wakati.
Le Mutuz