Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

- Well, kwa jinsi ulivyoanza na ulivyobadilika ina maana umenielewa kwamba nina deal na kelele za mlango, saafi sana sasa imagine ningekimbia si ungeamini kwamba siko sawa sawa, majuzi nilikuwa nimeitwa EFM Radio for Interview kufika pale nikanasa kwenye lift calmly nikampigia simu host wangu nikamwambia nimekwama kwenye lift, akataka kuanza kupiga makelele nikamuuliza why mimi niliyekwama sipigi kelele wewe unapiga kelele za nini tafuta msaada nitoke humu wacha kelele, unajua yule mtu mpaka leo haamini kila anaponiona ana heshima kuliko zamani,

- Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua, in my life kama kuna kosa kubwa niliowahi kulifanya lilikuwa ni lile la kutoka Ulaya na kuja kuishi kwa Baba yangu, that was for the first time in my life nilikuwa sina la kujitetea kwa kawaida mimi sinywi pombe wala sigara my brain is sober and clean, siku zote huwa nahikikisha nina justifications ya everything I do isipokuwa kwa mara ya kwanza nikawa sina justifications for that it pained me a lot kwamba after 30 years of living on my own bila kutegemea msaada wa mtu, nikarudi kufikia pale, ilikuwa inaniuma mpaka nikawa ninaondoka asubuhi sirudi mpaka usiku wa manane, ila namshukuru sana Mungu kwa kunipa kila kitu nilichonacho now!!

Le Mutuz

i like this.. you agree the mistake and you moved on with flying colours.. big up ma nigga!
 
In a quiet swiss village or French riviera?!

Hahaha, too many tourists these days. It's like Facebook, all the Johnny-come-lately, nouveau riche and community college professors are crowding the air and sucking up oxygen.

I am at a secluded resort, with more security than a Camp David summit.
 
Ha ha ha sawa mkuu unakua Kama tajiri la kiyahudi vile unampita mpaka le mutuz....

Wanaojishaua shaua wote hatuna kitu.

Bakhresa kaingia benki ya Uswizi na mikanzukanzu yake ya Kiswahili, walinzi wa benki wakamzuia. Alipojitambulisha kwamba yeye mteja wakamuona huyu tapeli tu, alipotaka kuonana na meneja wa benki na kutambuliwa vizuri meneja wa benki akamuomba msamaha sana kwani alikuwa mmoja wa wateja wao wakubwa sana.

Ukiona mtu anajishaua kutajataja alivyonavyo na kupiga mapicha kwa sana ni sehemu moja ya kujifariji kwamba na wewe umo.

Waliomo kweli wanaandikiwa biographies na watu mbalimbali kama Yesu Masiha.
 
Wanaojishaua shaua wote hatuna kitu.

Bakhresa kaingia benki ya Uswizi na mikanzukanzu yake ya Kiswahili, walinzi wa benki wakamzuia. Alipojitambukisha kwamba yeye mteja wakamuona huyu tapeli tu, alipotaka kuonana na meneja wa benki na kutambuliwa vizuri meneja wa benki akamuomba msamaha sana kwani alikuwa mmoja wa wateja wao wakibwa sana.

Ukiona mtu anajishaua kutajataja alivyonavyo na kupiga mapicha kwa sana ni sehemu moja ya kujufariji kwamba na wewe umo.

Waliomo kweli wanaandikiwa biographies na watu mbalimbali kama Yesu Masiha.

Naam,

Chema chajiuza kibaya chajitembeza....
 
Wanaojishaua shaua wote hatuna kitu.

Bakhresa kaingia benki ya Uswizi na mikanzukanzu yake ya Kiswahili, walinzi wa benki wakamzuia. Alipojitambukisha kwamba yeye mteja wakamuona huyu tapeli tu, alipotaka kuonana na meneja wa benki na kutambuliwa vizuri meneja wa benki akamuomba msamaha sana kwani alikuwa mmoja wa wateja wao wakibwa sana.

Ukiona mtu anajishaua kutajataja alivyonavyo na kupiga mapicha kwa sana ni sehemu moja ya kujufariji kwamba na wewe umo.

Waliomo kweli wanaandikiwa biographies na watu mbalimbali kama Yesu Masiha.

Mkuu hii fasihi kali sana... Inayowahusu watajijua tu akina nani.
Namkumbuka baba wa taifa aliwahi kuwapiga bit matajiri wa bongo, kuwa bongo hakuna matajiri bali kuna vitajiri uchwara tu,...mtu cjui ana range au lamborgini basi anajiona tajiri wa hajabu😄😃 kumbe magari ya kawaida tu hayo huku unyamwezini!! Jiwe hilo limerushwa gizani!!!
 
kuna kashfa hapa le mutu huzijibu? 1. Jogoo lako bovu haliwiki 2. Kwanini unajamba jamba hovyo 3. Yule muhindi anaekulipia kodi ya office 2500k/month ni nani yako. 4. Hatujawahi sikia umetembea na mwanamke yeyote 5. Neema anadai amekuacha toka jogoo lako lilipoanza kuonyesha dalili ya low betry. Hahahaha am humbled
 
Mkuu hii fasihi kali sana... Inayowahusu watajijua tu akina nani.
Namkumbuka baba wa taifa aliwahi kuwapiga bit matajiri wa bongo, kuwa bongo hakuna matajiri bali kuna vitajiri uchwara tu,...mtu cjui ana range au lamborgini basi anajiona tajiri wa hajabu😄😃 kumbe magari ya kawaida tu hayo huku unyamwezini!! Jiwe hilo limerushwa gizani!!!

Ukiingia mtaani unyamwezini unaambiwa "you work, you drive, no credit check".

Unauchujua m range huo.

Nenda kagalegale nao kwenye mafuta huko ukajue maana ya 5.0 engine ni nini sio unafakamia vitu kwa sababu ya jina tu.

Na car note inayokimbilia second mortgage.

Ndoyo maana wengine tulishafundishwa na Harvey Mackay tangu tuna miaka 13.

Buy expensive houses and ordinary cars.
 
kuna kashfa hapa le mutu huzijibu? 1. Jogoo lako bovu haliwiki 2. Kwanini unajamba jamba hovyo 3. Yule muhindi anaekulipia kodi ya office 2500k/month ni nani yako. 4. Hatujawahi sikia umetembea na mwanamke yeyote 5. Neema anadai amekuacha toka jogoo lako lilipoanza kuonyesha dalili ya low betry. Hahahaha am humbled

Hivi kweli unategemea mtu na akili zake timamu ajibu huo utumbo?

Y'all need to get serious now.
 
kuna kashfa hapa le mutu huzijibu? 1. Jogoo lako bovu haliwiki 2. Kwanini unajamba jamba hovyo 3. Yule muhindi anaekulipia kodi ya office 2500k/month ni nani yako. 4. Hatujawahi sikia umetembea na mwanamke yeyote 5. Neema anadai amekuacha toka jogoo lako lilipoanza kuonyesha dalili ya low betry. Hahahaha am humbled

Ukiona kimyaa jua kitu kipo halijojooo
 
kuna kashfa hapa le mutu huzijibu? 1. Jogoo lako bovu haliwiki 2. Kwanini unajamba jamba hovyo 3. Yule muhindi anaekulipia kodi ya office 2500k/month ni nani yako. 4. Hatujawahi sikia umetembea na mwanamke yeyote 5. Neema anadai amekuacha toka jogoo lako lilipoanza kuonyesha dalili ya low betry. Hahahaha am humbled

Waafrica bhana sijui tumelaaniwa hata kufanya kauchunguzi kidogo tu kama hiki unashindwa na unakuja na tetesi? badala ya kuja na taarifa kamili!

hapo kwenye red nenda kampe hili shimo lako la kutolea mbolea uone kama inasimama au haisimami

na unavyosema hajawah kutembea na mwanamke hizo picha anazopiga na ma baby wazuri nao siyo wanawake ni wanaume?

N:B hamna mwanaume mwenye akili zake timamu amulize mwanaume rijali wa shoka maswali kama hayo!
 
Waafrica bhana sijui tumelaaniwa hata kufanya kauchunguzi kidogo tu kama hiki unashindwa na unakuja na tetesi? badala ya kuja na taarifa kamili!

hapo kwenye red nenda kampe hili shimo lako la kutolea mbolea uone kama inasimama au haisimami

na unavyosema hajawah kutembea na mwanamke hizo picha anazopiga na ma baby wazuri nao siyo wanawake ni wanaume?

N:B hamna mwanaume mwenye akili zake timamu amulize mwanaume rijali wa shoka maswali kama hayo!

hahaha mesage sent, am humbled
 
Waafrica bhana sijui tumelaaniwa hata kufanya kauchunguzi kidogo tu kama hiki unashindwa na unakuja na tetesi? badala ya kuja na taarifa kamili!

hapo kwenye red nenda kampe hili shimo lako la kutolea mbolea uone kama inasimama au haisimami

na unavyosema hajawah kutembea na mwanamke hizo picha anazopiga na ma baby wazuri nao siyo wanawake ni wanaume?

N:B hamna mwanaume mwenye akili zake timamu amulize mwanaume rijali wa shoka maswali kama hayo!

- duh hahahahahah nilikuwa busy sana ila thanks kwa kunijibia mkuu, yaani mpaka nimevunjika mbavu na kucheka people IJUMAA KUANZIA SAA TATU USIKU MPAKA SAA NNE NITAKUWA TBC KWENYE MBONI SHOW USIKOSE PLEASE, HAHAHAHAHAHA

lE bIG sHOW
 
Back
Top Bottom