Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Nimekusoma mkuu kanyaga twende nimebakiza moja tu ya 70 ya mwisho, kanyaga twende!

le Mutuz
Mzee baba story yako kuhusu ndoa nimeanza kuielewa umenifindisha kitu wanawake ni watu wajinga Sana. Nafuatilia kwa umakini ntafanya conclusion yangu mwenyewe ila umenipa experience
 
Mkeo alikua mchawi akizeeka atageuka jini
 
Umri umekutupa mkono mtt wa mchungaji ukaona bora uwe mke wa pili.[emoji3] [emoji3] waliokushika akili sasa wanakucheka mpumbavu
Na wewe unajiita great thinker eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wewe unajiita great thinker eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan najickiaga vbaya kuona malumbano km haya, hali ikishafikia hapa huwa hakuna kitakacho badilika ni kuruhhusu amani ya Mungu mioyoni mwenu, mje mfe mkitabasamu huku mmezungukwa na watotowenu wapenzi. Maisha haya hadi lini? Licha ya mabaya mliyopitia naamini kuna kitu mungu ameifundisha jamii inayowazunguka kuwa NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE, walio ndani na walio nje ya ndoa wasijiaribu kucheza na ndoa hata siku moja.
 
Hembu jielewe.
 
Big up baharia Le Mutuz, Story yako ina vitu vingi vya kujifunza katika maisha mwanadamu hatakiwi kuchoka kupambana.
Le mutuz the skilled mariner
Le nye nye nye king of social media
 
Nilikuwa najiuliza siku zote kwa nini le mutuz anachukiwa na Watu wengi?sasa nimepata jibu mti wenye matunda ndo hupigwa mawe.Le mutuz nisamehe bro nilifuata mkumbo wa kukuchukia bila sababu,yaan sasa nimeujua ukweli nakupenda sana heshima kwako
 
Na Mange kama anasoma hii habari,amuombe msamaha Le mutuz-angejua data zote hizi before-wala asingekwaruzana na le mutuz
Mange hapa duniani hakuna binadamu anayemsikiliza zaidi ya Dr Mwele Malecela.

Bado upo gizani. Pole.
 
Mzee kipengele cha ex wako kuoolewa tena na mwislamu hasa mke wa pili inaonekana kimekuuma na umekirudia mara nyinginyingi katika uandishi wako!!! Hiyo ndo weakness yako.
Tunaomjuwa Yesu, Masihi, tunajuwa na tumemuelewa ni kwa nini Le Mutuz ameweka msisitizo katika hilo.
 
Nonsense, kawashauri kwanza maparoko wako waache kuvilawiti vivulana na kuwatafuna masister.

Kabinti ka Le Mutuz nina uhakika kwa maisha ya marekani hadi kulamba koni tayari kinajuwa na kuna wanaopiga mzigo.

Huu utakatifu wako peleka kwa nabii na mchungaji wako na usisahau kumpelekea na fungu lake la 10.
 
Story inajichanganya hii, but Kwa huyu mpenda sifa na muongo huwa simwamini 100% maana maneno 10 ya Le Mutuz matatu ndiyo ya ukweli mengine yote pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…