Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Historianya kweli juu ya maisha yangu =my amerian experiencewhat a translation
Hii sio tafsiri ya neno kwa neno bali ni munyumbulisho wa neno.

Kiswahili rahisi muongezeo kwenye Mada.
 
Lmtz or whoever lived in the USA recently or some years back. Hii Link inaonesha sehemu flan USA je kweli kunafanania hii life ngumu hivi? Hata kariakoo Pana nafuu na Pana amani kulala nje
Yap hapa hapa .
 
Kumbuka baba ake waziri mkuu
 
Mkuu una undugu wowote na Hayati B. W. Mkapa?
 
Hakuajiriwa alikuwa field practical training, so angewezapewa posho tu,kuwa assistant engineer ingewezekana yaani msaidizi wa Fundi iwe ni Fundi mkuu au second au third enginear
2nd engineer sio msaidizi wa fundi.bali ni second command in engine room..
Kwa sasa unakula Dola 5000 /4000 kwa mwezi..
 
boss samahani hiyo amount ni ya miaka hii ya 2000+ au ya miaka ya 1980 ambapo lemutuz alifanya kazi?? Ukipata tym niweke sawa boss
Lemutuz hata Kama alifanya miaka ya 80 melini.
Lakini bado alipata pesa ndefu sn .
Hata Kama alipata Dola 400 bado ni pesa nyingi sn kwa wakati huo.

Isingekuwa rahisi aache kazi akalale nje.

Labda alikuwa baharia wa inchi kavu.
 
Izo meli unaongelea wenzio tunapanda Cruise to carribean,malaga and barbados nothn new .
Unajiona mjanja kufanya kazi humo maybe hata meli huijui
Cruise ndy umeona meli kubwa?
Labda upande kama passenger na sio crew.
 
You have a point Sir....
 
Kuna mengi ya kukifunza kupitia maisha ya Le Mutuz
Mwanzo nilikuwa namuona mtu mpuuzi mpuuzi tu ila baada ya kusoma stori yake yote kipindi kile nikabadili mtazamo wangu juu yake.

Na baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke pasua kichwa ndio nikamwelewa zaidi.

R.I.P lemutuz

Yule mwanao mshenzi wa tabia I can feel him the way alivyokutukana na hakupata hata muda wa kuomba msamaha ukiwa hai.

Kama hata hasikiti kwenye hiki kifo chako basi anakula unga huko majuu.

Na kama atakuja kwenye msiba wako nasi mshipa aibu Hana.

Wanawake viumbe hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…