Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

I couldn't agree more mkuu, ndo maana Mimi nimesema "hata kama alijitakia" sikuhitimisha kwamba alijitakia au ilimlazimu. Either way jamaa kapambana na Hali yake na he's brave enough not to blame anyone of his shortcomings whatsoever

Kingine kila mtu ana tafsiri yake ya mafanikio, inawezekana kuna watu wanamuona jamaa Kama ni failure ila kwa tafsiri yake ya mafanikio anajiona katoboa. Siwezi lazimisha tafsiri yangu ya mafanikio iapply kwa kila mtu
 
Lemutuz ni drama sana ,Ana miliki IDs nyingi na zote zinaweka comments
 
Nieleze kwa kifupi kwenye simulizi zake ni wapi amepitia kwenye bonde la maiti? Huyu amekulia kwenye silver spoon tu.

Waulize vijana wasiokuwa hata na laki mbili mfukoni jinsi walivyofika South Africa kwa njia za hatari kama kuvuka mto limpopo wenye mamba.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini ati Le Mutuz hakuwa na back up ya baba yake mpaka asitumiwe dollar za kumkimu kabla hajapata kazi huyu ni muongo.
 

Well said
 
We're even man... na hata hapo uliposema tafsiri ya mafanikio, of course, kila mmoja na tafsiri yake!! Na mwenyewe ni kweli anajiona keshatoboa... and it's okay!

Nadhani wengine kinachotusumbua ni ile kuona umri wake umeenda lakini ndo kwanza leo hii anahangaika na v-blog kazi ambayo inaonekana it's fit for Millennials. Hatuioni kama ni kazi ambayo mtu anaweza kujivunia! Lakini kwangu naona like wtf! Yaani huyu mzee kaamua kula sinia moja na vijana na kwa staili yake!!

Ah! I bow down....

Na tunaweza kumchukia tupendavyo but ukweli ni kwamba, the old man is happy na ndio maana amechagua kuishi apendavyo yeye na sio what the society expects him to be!

Na mimi nikizeeka, nataka kuwa kama Le Mutuz πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na kwavile nishaanza kuzeeka zeeka kwa mbali, naanza kupiga jaramba!!!
 
Lemutuz ni drama sana ,Ana miliki IDs nyingi na zote zinaweka comments
Post yangu has nothing to do with comments za watu but imetokana na simulzi za Le Mutuz! I'd some pieces kuhusu maisha yake na amegusia kile ninachokifahamu!

So, labda useme story yake ni uongo mtupu though linaweza kufuata swali: Ni kwa kiasi gani wewe binafsi unamfahamu Le Mutuz!
 
Tunasubiri pia historia ya pacha wako Nyani Ngabu!
 
Ukizeeka unataka mfanane vibamia!
 
Ukizeeka unataka mfanane vibamia!
Ina maana kibamia kinatokana na uzee au ulivyozaliwa?!

Anyway, mimi kama mwanaume siwezi kumkejeli mwanaume mwenzangu kwa kuwa na kibamia! Why should I be concerned na dushe la mwanaume mwenzangu?! Nitakuwa concerned na how mwanamke gets old manake nikishazeeka nitatakiwa kuwa na wazee wenzangu.... but how do they look!!

Hapa ndipo napomkubali Zarinah wa Diamond... Wanawake wote wangejiweka kama Zari, hawa akina Le Mutuz wala wasingehangaika na visichana wadogo manake wangekuwa wanakutana na wanawake wanaoendana na wao but still wapo attractive!

NB: Ndo kwavile naandika hii NB or else, wangetokea wengine wakusema "ni photoshop" tu zile...as if wameshawahi kukutanae nae face to face!!
 
Mkuu ukimsoma le mutuz alisema alirudi bongo akiwa na dola 1000 pekee..........kwa maisha anayoishi sasa hivi na kwaa pesa aliyorudi ni sawa kusema katoboa!........hayo maisha ya kushinda kwenye mitandao na kufungua viblogu ndio yamempa umaarufu na kumfanya ajulikane ssana na kupata connection kwa watu wengi waliompa dili za hapa na pale mfan kuwatangazia biashara zao kwenye page yake ya insta n.k......kama sio mitandao ya kijamii ungekuta le mutuz sasa hivi amejikunyata sebuleni kwa mzee malecela anasubiri mzee afe arithi mali..........mi kinachonitatiza jamaa anasema alikuwa anasave sana lakini inakuwaje karudi bongo hana kitu?
 
Umenena vyema mkuu
Umeona enh! But kama hiyo avatar inawakilisha jinsia yako, then plz don't even dream to be like hao wamama niliowataja bhana... manake duh, mara nyingi wanakuwa ndio chanzo cha watoto wa mitaani!!
 
Hata mimi na-salute hustle zake including hizi za kidijitali!!

Lakini hata hilo la ku-save sana na kurudi Bongo bila kitu, issue muhimu hapo ni ku-save! Unarudi na kiasi gani inategemea ulikuwa unaingiza kiasi gani manake hicho ndicho kita-determine kiasi unacho-save . Unaweza ku-save sana lakini kama kipato chenyewe ni kidogo basi hata kile unacho-save hakiwezi kuonekana sana!!

Lakini kama nimemuelewa... ni kwamba amesema "ali-save sana" ili akapige shule!

Hey, don't forget, jamaa ana madigrii matatu!!!
 
Huyu jamaa KAMBA SN,, ameleta story za VIJIWENI,, ANA ACT ni yeye.,, USITUDHALILISHE SEAFARERS,,, hukuwahi kupanda meli,,, wala kufanya kazi melini, wacha FIX
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…