tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hazardous materials ni gari ya kunyonya maviiii,ndio mana le kiba100 akili zke kma chemba za nhc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu babu alirudi na kende zke plus kibamia hata 500$$ hakurudi nayo,inaonekana hakua na kazi ya maana zaidi ya kuzibua miferejiAcha wehu wewe nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz zero braini hana mbele wala nyuma.
Umemjibu vyema sana.Sorry Chief kama nimekukwaza,,mimi hata sijui kama ana blog,coz mara nyingi taarifa zake huwa nazisoma hapa hapa JF na ndo nikapata kufahamu kumbe jamaa ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu
Binafsi namuona mpambanaji kwa sababu ni watoto wachache sana wa viongozi wakuu Serikalini,na hasa Serikali za nchi zetu za Kiafrika,,kutafuta maisha kwa staili ngumu kama alivyofanya mchizi,jamaa anasema alifanya vibarua USA vikiwemo vya kudeki kumbi za sinema ili apate ada ya kulipia Chuo,,mimi sijui ni watoto wa mawaziri wakuu wangapi toka Shitholes Countries wanaweza fanya hayo mambo
Najua inawezekana kwenda nje hakupata ugumu sana kama wengine walivyopata,,lakini kwa nafasi ya Mzee wake naona bado kulikuwa na changamoto ambazo zilitakiwa kuwapata vijana wa mitaani na si yeye
Anyway,,ngoja tuendelee kupata uhondo wa simulizi ya hii stori
Kwenye hizi series zake tutarajie kudanganywa sana maana most of his friends at a time wametangulia mbele za haki.
Ila zinavutia endapo utaweka kando vituko vyake vyote.Wachache walio bakia kama kina Joseph Kusaga na wengine!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tika.boye.na.makambo
O level na A level hakusema kasoma wapi,ila primary na chuo kataja isije kua ni darasa la 7 tu huyu mwenzetuCopy and Pest from lemutuz PART 2
my Boss Mbelgiji Feyerick alikua ananiambia the bitter truth kua niachane na mambo ya Meli akaniambia "Hii ni kazi ya Wazee na watu wasiokuwa na Maisha sio kwa kijana kama wewe" in all my childhood
nilikuwa naulilia Ubaharia nilianza nikiwa Jamhuri Primary School nilipokutana na "MABAHARIA WA NCHI KAVU" yaani Wanafunzi wenzangu Darasani kina Juma Jagan Burr (now in Canada) na Marehemu Raja Kaka hawa ndio Wanafunzi 2 walionipa the idea ya Ubaharia cause walikuwa na ndugu Mabaharia ambao walikuwa wakiwasaliana nao sana kutoka Nje l was in yaani "BAHARIA NCHI KAVU" Baba yangu mzazi then alikuwa Waziri wa Kilimo he was stunned kusikia kua nina mawazo ya kua Baharia alianza kusikia kutoka kwa marafiki zake ambao nilikuwa nawasumbua sana
kwa pembeni wanisaidie na ndato yangu nikimaliza tu Darasa la Saba they were all shocked that nitakuwaje Baharia at darasa la Saba tu? Baba yangu siku moja akanikalisha chini na akaniambia kuwa nisahau mambo ya Ubaharia its not for me settle kisaikolojia kuwa siwezi kuwa Baharia Darasa la Saba so nilichaguliwa kusoma Sekondari nikaendelea na masomo isipokuwa nikaanza Biashara ya kuuza Siagi
nikishirikiana na Rafiki yangu aliyenifundisha biashara hii Marehemu Koi Margai Mungu Amuweke Pema Peponi kila Jumamosi tunaruka na ndege ya Air Tanzania mpaka Musoma tunanunua siagi Kiwanda Cha Maziwa Musoma na kuirudisha Dar kuwauzia Wahindi tu hii mitaa ninayoshi sasa ndio maana ninawafahamu sana
mpaka leo kwenye kila safari tulikua tunapata faida ya at least Tsh, 20,000 wakati huo USD 1 ilikuwa Tsh, 10 tu nauli ya ndege kwenda Musoma na kurudi Dar ilikua Tsh, 950 tu Cargo tunalipia like Tsh. 3,000 kuileta Siagi kwa ndege na pia nikaingia biashara ya kuuza Dola za Kimarekani mtaani kwa bei ya ujanja.
officially nikawa a "MIDLLEMAN" mtu wa kati yaani mtu ukitaka kuuza anything hapa mjini ninakuuzia unanipa Kamisheni na Ninayemuuzia naye ananipa cha Juu Double kamisheni by the time namaliza High School nilikuwa na karibu Tsh. 1M Cash na USD 10,000 Cash Money nikaanza mipango ya kwenda Majuu ..ITAENDELEA PART 3 from lemutuz
Ni hivyo sasa baharia hapa sijui kalipata wapi , maana nimelijua hilo neno kutoka kwa torture mkubwa wa Idd Amin Dada ni jirani yangu .Anhaaa daah!!!kumbe ni kebehi!!ni kama watoto wanavyosema fyoko.fyokooooo uku kabana pua[emoji23]
Wengine wanasemaga ng'e ng'e ng'eNi hivyo sasa baharia hapa sijui kalipata wapi , maana nimelijua hilo neno kutoka kwa torture mkubwa wa Idd Amin Dada ni jirani yangu .
Tukipiga vyombo anaconfess kila kitu.
Na mbowe,!Wachache walio bakia kama kina Joseph Kusaga na wengine!
Betting ni moja ya factor inayopunguza saving capacity. Vijana wanaangamia kabisa.Kama unaishi kwa kubet pole sana ila ukweli ndio huo, unagandisha akili yako.
Haya tujikite kwenye mada.
so what? kwani kupigwa na maisha ni dhambi? pesa huja na kupotea...i hope yeye (Lemutuz) siyo wa kwanza, na siyo wa mwisho kukumbwa na hizo misfortune. hata hivyo, maisha yake binafsi yanakuhusu nini? kwa nini umushikie bango na kashfa juu? why? sikutaka kujibu your comment, ila imenibidi tu. Records show kuwa unalalamikiwa na kila member humu JF kwa lugha isiyo na staha....kumbuka hakuna mkamilifu hapa Duniani. Yeah, may be Lemutuz ni ombaomba...Coz i don't know the guy in person...but what the fucker are you to judge him?. je wewe unajua future yako? think this way, Kesho ukigongwa na gari or uangukiwe na nyumba na u-paralyze mwili mzima...je hutokuwa ombaomba in one way or another?Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.