124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
kama ni kweli am sure wa miaka 57 wenzake wanatamani kuwa kama yeye!Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok
Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972
Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956
Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia
Swissme