Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok


Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972

Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956

Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia


Swissme
kama ni kweli am sure wa miaka 57 wenzake wanatamani kuwa kama yeye!
 
Daah..!,kusema kweli baada ya kupita kwenye hili andiko nimemrespect sana huyu Bro,,before nlikuwa namchukulia tu kama mshikaji mzembe ambaye amepata mbeleko ya life hasa kwa kuzingatia nafasi aliyokuwa nayo mzee wake ndani ya Chama na Serikali,,kumbe ni bonge la mpambanaji..!
 
Ndugu Yangu haya mambo ya kubet yameharibu kabisa ubongo wa vijana wetu ukiondoa na ule uvivu asilia.... hajui watu wanafanya kazi tofauti tofauti huko duniani kwa masaa 23 na analala only one hour.
Yeye akilala saa sita usiku baada ya kutoka kubet anaamka kesho yake saa nane mchana anaenda kubet akitoka hapo pull table mpaka saa sita tena.

Sad.
Hebu wewe jaribu leo kukesha halafu lala saa 11 alfajili uweke alarm ikuamshe saa 12 asubuhi then oga ingia mtaani kesho uje utupe ushuhuda ulichokiona ndio utajuwa tofauti ya tantalila na fact.
 
Niligundua siku nyingi sana toka nikiwa mdogo kwamba I was born different nilizaliwa Mwanaume tofauti sana Mama yangu mzazi na Mama yangu wa Kambo originally walikuwa ni marafiki wa damu walioishia kuzidiana Akili na kugeuka kuwa maadui wa Ajabu na mimi nikawa caught up in the middle ya Uadui wao na the worst is Mama yangu wa Kambo was very educated as opposed na Mama yangu Mzazi ingawa wote leo ni Marehemu lakini kivuli cha Vita yao ninapigana nacho mpaka leo na ndipo Mange anapoingia in my picture cause ni agent tu wa hicho kivuli cha Shetani anayenisumbua toka utotoni kutokana na Vita kali ya Urithi wa Mali za Baba yangu ni Vita ya ajabu na ya kitoto sana inayowahusisha watu wengi mpaka waliosoma lakini wamefunikwa na Chuki dhidi yangu ambayo ni purerly Foolish and unfounded just UNCALLED FOR ....
Maneno mazito sana haya kutoka kwa Lemutuz.
 
Hebu wewe jaribu leo kukesha halafu lala saa 11 alfajili uweke alarm ikuamshe saa 12 asubuhi then oga ingia mtaani kesho uje utupe ushuhuda ulichokiona ndio utajuwa tofauti ya tantalila na fact.
Mbona nafanya hivyo mara nyingi tu kama nikipata series kali nakesha nayo afu alfajiri naamsha chombo na nakua fresh kabisa kutwa nzima.

Hebu jaribu na wewe tuone itakavyokua. lol.
 
Daah..!,kusema kweli baada ya kupita kwenye hili andiko nimemrespect sana huyu Bro,,before nlikuwa namchukulia tu kama mshikaji mzembe ambaye amepata mbeleko ya life hasa kwa kuzingatia nafasi aliyokuwa nayo mzee wake ndani ya Chama na Serikali,,kumbe ni bonge la mpambanaji..!
Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?

Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?

Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.

Ok tunasubili part ngapi sijui inayofuata tuone simulizi yeye na mke wake Neema Ngwilulupi walikutana wapi? Ni New York au wapi?

Na je ni kwa nini Neema Ngwilulupi ameajiliwa kwenye Tanzania mission New York wakati hana sifa je ilikuwa ni influence ya nani? Alipata kazi kabla ya kuwa mkwe wa Malecela au baada ya kuwa mkwe wa Malecela.....

Nitarudi, leo tupo hapa.

Nina imani page zimeshafika 10 sasa sauti za umeme zitashuka kuja kutililika hapa.
 
Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?

Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?

Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.

Ok tunasubili part ngapi sijui inayofuata tuone simulizi yeye na mke wake Neema Ngwilulupi walikutana wapi? Ni New York au wapi?

Na je ni kwa nini Neema Ngwilulupi ameajiliwa kwenye Tanzania mission New York wakati hana sifa je ilikuwa ni influence ya nani? Alipata kazi kabla ya kuwa mkwe wa Malecela au baada ya kuwa mkwe wa Malecela.....

Nitarudi, leo tupo hapa.

Nina imani page zimeshafika 10 sasa sauti za umeme zitashuka kuja kutililika hapa.
Sorry Chief kama nimekukwaza,,mimi hata sijui kama ana blog,coz mara nyingi taarifa zake huwa nazisoma hapa hapa JF na ndo nikapata kufahamu kumbe jamaa ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu

Binafsi namuona mpambanaji kwa sababu ni watoto wachache sana wa viongozi wakuu Serikalini,na hasa Serikali za nchi zetu za Kiafrika,,kutafuta maisha kwa staili ngumu kama alivyofanya mchizi,jamaa anasema alifanya vibarua USA vikiwemo vya kudeki kumbi za sinema ili apate ada ya kulipia Chuo,,mimi sijui ni watoto wa mawaziri wakuu wangapi toka Shitholes Countries wanaweza fanya hayo mambo

Najua inawezekana kwenda nje hakupata ugumu sana kama wengine walivyopata,,lakini kwa nafasi ya Mzee wake naona bado kulikuwa na changamoto ambazo zilitakiwa kuwapata vijana wa mitaani na si yeye

Anyway,,ngoja tuendelee kupata uhondo wa simulizi ya hii stori
 
Kuna watu wakiweka historia zao za kweli humu, zile za kuzaliwa uswahilini mbuzi kalamba reli, mama muuza gongo baba mpigisha kolokolo. Wame-hustle kichizi mpaka leo respect wanaburuza life, huyu Le Mutuz cha mtoto tu. Huyu kakua anakula mayai ya bure Ikulu ataongea nini, wakati watu wamezaliwa uswahilini mayai anasa.
 
Back
Top Bottom