jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Humu ndani aliongea vitu vya maana sana kuhusu kuikosoa serikali,Itakuwa sabasaba hii.
kumbe asipojitoa akili ni mtu mzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu ndani aliongea vitu vya maana sana kuhusu kuikosoa serikali,Itakuwa sabasaba hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siyo kilimo Cha Bamia tu na Pilipili kichaaAtakayetoka nje ya mada na kutaja mambo ya kilimo cha Bamia... mod piga Ban haraka. Manake hamchelewi humu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] ,ila kwa sifa zako ,naomba ukiachika uni pm nitangaze ndoa
Acha wehu wewe nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz zero braini hana mbele wala nyuma.
Mwenye chuki namba moja yupo pale magogoni.Nahitaji kujua, chuki za wabongo zinasababisha umaskini au umaskini wa wabongo una sababisha chuki??
Lol.
I salute you William Malecela a.k.a Le Mutuz.
a real fighter, a real hustler.
Kwa hiyo point yako ni nini kua anachokisimulia Le Mutuz ni uongo ama??
Soma story yake kuna vingi vya kujifunza achana na propaganda za kwenye media.
Ndugu Yangu haya mambo ya kubet yameharibu kabisa ubongo wa vijana wetu ukiondoa na ule uvivu asilia.... hajui watu wanafanya kazi tofauti tofauti huko duniani kwa masaa 23 na analala only one hour.Maisha ya ulaya hiyo ni kawaida. Mimi mwenyewe zamani wakati nilijiwekea malengo yangu na mgeni katika nchi ya watu. Nilikuwa nafanya kazi mno.nalala 6 na nusu naamka 11.naanza kazi na break yangu ilikuwa ndogo mno.nilipiga moyo nikajituma.nilivyoridhika nikaacha kufanya hivyo. Na kuna wahindi walikuwa wanafanya kazi mtu anaingia kazini saa 8 mchana mpaka siku ya 2 asubuhi( ni illegal) kufanya hivyo kila siku ila bosi wao alikuwa muhindi .ila mapumziko yake ya one hour sijui.siongelei USA naongelea nchi nyengine
Sasa na wewe umekuja kuharibu uzi,Ndugu Yangu haya mambo ya kubet yameharibu kabisa ubongo wa vijana wetu ukiondoa na ule uvivu asilia.... hajui watu wanafanya kazi tofauti tofauti huko duniani kwa masaa 23 na analala only one hour.
Yeye akilala saa sita usiku baada ya kutoka kubet anaamka kesho yake saa nane mchana anaenda kubet akitoka hapo pull table mpaka saa sita tena.
Sad.
Kama unaishi kwa kubet pole sana ila ukweli ndio huo, unagandisha akili yako.Sasa na wewe umekuja kuharibu uzi,
Habari za kubet zimetoka wapi?
Hujui kama watu wana-bet na wame-win
Anyway go back to le-mutuz issues mtu akizingua mkaushie
Hahaaahaaaa......[emoji12] [emoji12] [emoji12]Minatamani kusikia akisimilia kipindi alipokua anaendesha gari la taka mitaani huko yuesiei.....
Pia natamani nisikie kilicho mfanya akaachana na mkewe huko yuesiei....
Na ninatamani kusikia kuhusu usaliti alio ufanya enzi akiwa baharia hadi wakataka wamtose baharini.....
Mkuu waswahili wanasema asiyekujua hakuthamini, hii story umefanya wengi tumuelewe, cha kujiuliza nini kimemsibu tena?Huyu jamaa kumbe sio wa mchezo
Le mutuz atajali wajinga wajinga hawa?kabla hata hajarudi bongo alitangaza hapa hapa jf kwamba naacha maisha US narudi bongo .Sijui kwa nini watu wanamchukia huyu mtu na wanapenda kumbeza na age yake. Mwenyewe ameamua kuishi anavyoona yeye sawa. And no one is perfect. Ila namuona kama hajali
Anhaaa daah!!!kumbe ni kebehi!!ni kama watoto wanavyosema fyoko.fyokooooo uku kabana pua[emoji23]Nye nye nye ni kebehi hasa wale kwa wale tortured people waliokuwa nakasero dungeon enzi za Idd Amin.
Asili ya hilo neno ni wale askari waliokuwa wanawatesa.
Kuwapiga nyundo kwenye pumbu , kukata sikio mtu anapolia kwa maumivu na wao wanamfatisha nyeee nyee nyee.
Source:
Mtesaji mstaafu ughaibuni
Ha ha ha sijui na sijawahi kubet kama una frustration zako za maisha mama relax kila mtu ana shida zake yote yana mwisho hayoKama unaishi kwa kubet pole sana ila ukweli ndio huo, unagandisha akili yako.
Haya tujikite kwenye mada.
Sijui neno "frustration" limeingiaje katika majibizano yetu, ni aidha hujui kuliweka mahala pake au una hulka ya ushari,Ha ha ha sijui na sijawahi kubet kama una frustration zako za maisha mama relax kila mtu ana shida zake yote yana mwisho hayo
Upo na huku ...!!Kakaa sijui marekani ipi sijui alikua anaishi New york kwenye zile Warehouse maana juzi alikua Dubai anashangaa duka la ADIDAS wakati kakaa Marekani nadhani alikua anaishi kwenye warehouse huyu.