Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Kakaa sijui marekani ipi sijui alikua anaishi New york kwenye zile Warehouse maana juzi alikua Dubai anashangaa duka la ADIDAS wakati kakaa Marekani nadhani alikua anaishi kwenye warehouse huyu.
Huyu mzeee msanii sana, then anajitoa ufahamu.
 
Hili jamaa ni lipambanaji haswaaaa. Tukiachilia mbali chuki binafsi na porojo, kwa watu tuliowahi kuishi maisha ya ughaibuni (Kazi na Shule) huyu jamaa ni mmoja wa wapambanaji wa kiwango cha SGR.

Wito wangu kwa TEAM B- 13 na King Kong III
Leteni hii stori hii stori katika mtiririko na spidi nzuri. Ili iweze kuwa MSUKUMO (Inspiration) kwa Vijana wengi wa Kitanzania wanaoshinda kwenye mabanda ya kubeti na kulialia "vyuma vimekaza".

Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
 
Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok


Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972

Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956

Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia


Swissme
5d2bc22cc04619ff9eb61671ecc5b4eb.jpg
 
Analala SAA 9 anaamka SAA 10 na bado anapga kaz mpaka wadhungu wanashangaa,
huyu jamaa kaamua kutulisha matango pori na chai ya rangi
Maisha ya ulaya hiyo ni kawaida. Mimi mwenyewe zamani wakati nilijiwekea malengo yangu na mgeni katika nchi ya watu. Nilikuwa nafanya kazi mno.nalala 6 na nusu naamka 11.naanza kazi na break yangu ilikuwa ndogo mno.nilipiga moyo nikajituma.nilivyoridhika nikaacha kufanya hivyo. Na kuna wahindi walikuwa wanafanya kazi mtu anaingia kazini saa 8 mchana mpaka siku ya 2 asubuhi( ni illegal) kufanya hivyo kila siku ila bosi wao alikuwa muhindi .ila mapumziko yake ya one hour sijui.siongelei USA naongelea nchi nyengine
 
Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
Unaposema "Amefeli maisha" umempima kwa kipimo gani? Wakati unasema kutwa anajipendekeza na kuombaomba kwa matajiri, unajua ya kwamba hao uliwataja kwamba anajipendekeza kwao asilimia kubwa wanamlipa kutumia platform yake kutangaza biashara zao? Wewe usiyejipendekeza na kuombaomba kwa matajiri umefaulu nini katika maisha yako mkuu?

Hicho chochote unachosema angekuwa nacho ungesema ni mpiganaji, ungependa awe na nini katika Uainishaji (Classification) wako ili uweze kumuita na kumpongeza kama mpiganaji?
Kuna wapambanaji wengi sana wa zamani ambao kwa sasa hawako katika nafasi za juu kimaisha katika jamii, lakini ukweli na alama walizoacha enzi zao zinabaki katika taswira ya jamii.
 
Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
Futa kauli yako.

kwanza kabisa kaaukijua lemutuz baba yake alikua ni waziri wa kilimo TZ.

Kuwa na urafiki na watu wakubwa katika hii nchi kwake si jambo lakujipendekeza.
 
Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
Umenena vyema mkuu
 
Back
Top Bottom