Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Huyu mzee angeacha kumuongelea mange,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa lemobimba na bomaye[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahhaha nimecheka you know le mbebez
Sio 55+ ni 60+Mkuu ahsante na sisi wa mikoani tumemjua ila mbona umri wake na anayoyafanya haviendani 55+
Hahahahhaha Ngoja aje mwenyeweHahaa lemobimba na bomaye[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnamdharau bure fighterHuyu jamaa kumbe sio wa mchezo
Story bila kapicha hainogi
View attachment 690276
Dr Mwelee mama wa Hiari wa mangeDuuh!!!afafanue vizur apo kwa Mange,ni ndugu wa karibu ama?
Ukisoma stori yake utaelewa,,jamaa hakua na time ya kuzunguka kwny maduka sjui ma nini,alifanya kazi muda wake mwingi sana,,na kingne kumbka hii ni 1980'sKakaa sijui marekani ipi sijui alikua anaishi New york kwenye zile Warehouse maana juzi alikua Dubai anashangaa duka la ADIDAS wakati kakaa Marekani nadhani alikua anaishi kwenye warehouse huyu.
Sijawah ona akivaa surual[emoji23]Mzee wa mapensi ya hewa
View attachment 690373
AnhaaaDr Mwelee mama wa Hiari wa mange
Ukisoma stori yake utaelewa,,jamaa hakua na time ya kuzunguka kwny maduka sjui ma nini,alifanya kazi muda wake mwingi sana,,na kingne kumbka hii ni 1980's
Mkuu emu angalia ulichoandika mwanzo na unachosema saivi ,,nimekujibu kutokana na ulichoandika,,,Acha wehu wewe nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz zero braini hana mbele wala nyuma.
Mkuu emu angalia ulichoandika mwanzo na unachosema saivi ,,nimekujibu kutokana na ulichoandika,,,
Hata mimi nimeshangaa mkuuWe dada waga una lugha kali daah!! Lakini fureshii tu!!
Basi yaishe dada!![emoji119] [emoji119] [emoji119]Usinitafutie ban pliz wapi nimeandika lugha kali