Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Hili jamaa ni lipambanaji haswaaaa. Tukiachilia mbali chuki binafsi na porojo, kwa watu tuliowahi kuishi maisha ya ughaibuni (Kazi na Shule) huyu jamaa ni mmoja wa wapambanaji wa kiwango cha SGR.

Wito wangu kwa TEAM B- 13 na King Kong III
Leteni hii stori hii stori katika mtiririko na spidi nzuri. Ili iweze kuwa MSUKUMO (Inspiration) kwa Vijana wengi wa Kitanzania wanaoshinda kwenye mabanda ya kubeti na kulialia "vyuma vimekaza".
 
Hili jamaa ni lipambanaji haswaaaa. Tukiachilia mbali chuki binafsi na porojo, kwa watu tuliowahi kuishi maisha ya ughaibuni (Kazi na Shule) huyu jamaa ni mmoja wa wapambanaji wa kiwango cha SGR.

Wito wangu kwa TEAM B- 13 na King Kong III
Leteni hii stori hii stori katika mtiririko na spidi nzuri. Ili iweze kuwa MSUKUMO (Inspiration) kwa Vijana wengi wa Kitanzania wanaoshinda kwenye mabanda ya kubeti na kulialia "vyuma vimekaza".

Haina tatizo leo ameishia hapo,akileta ya 10 itakuwa Updated hapa....Yap Jamaa ni Fighter,Hes humbled you know.
 
Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok


Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972

Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956

Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia


Swissme
Sio 56 nadhani mwaka huu anagonga 60 kama sikosei
 
Back
Top Bottom