kitulano
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 462
- 410
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee Le Mutuzi tunaomba tuwekee picha zako za enzi hizo mimi nina kumbu kumbu ya picha yako moja ninayo hapa ukiwa umepiga Kalikiti kichwani [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee Le Mutuzi tunaomba tuwekee picha zako za enzi hizo mimi nina kumbu kumbu ya picha yako moja ninayo hapa ukiwa umepiga Kalikiti kichwani [emoji41]
Le Mutuz MOBIMBA ,Le Mutuz BOMAYE ,Le Mutuz CITWAYEEN,NYE NYE NYE.Ndio nani huyo??
Hili jamaa ni lipambanaji haswaaaa. Tukiachilia mbali chuki binafsi na porojo, kwa watu tuliowahi kuishi maisha ya ughaibuni (Kazi na Shule) huyu jamaa ni mmoja wa wapambanaji wa kiwango cha SGR.
Wito wangu kwa TEAM B- 13 na King Kong III
Leteni hii stori hii stori katika mtiririko na spidi nzuri. Ili iweze kuwa MSUKUMO (Inspiration) kwa Vijana wengi wa Kitanzania wanaoshinda kwenye mabanda ya kubeti na kulialia "vyuma vimekaza".
Pamoja sana mkuu. Naomba ukileta muendelezo unitag na men...you know!Haina tatizo leo ameishia hapo,akileta ya 10 itakuwa Updated hapa....Yap Jamaa ni Fighter,Hes humbled you know.
Hahahahhaha nimecheka you know le mbebezHahaha SMART LIFE,SMART PEOPLE always humble you kno[emoji23]
Lekokobanga,lemobimba na nye nye nye!!
Mkuu ahsante na sisi wa mikoani tumemjua ila mbona umri wake na anayoyafanya haviendani 55+
Bomaye....Hahaha SMART LIFE,SMART PEOPLE always humble you kno[emoji23]
Lekokobanga,lemobimba na nye nye nye!!
Ipo instaMnaipata wapi hii story!?...insta or blog yake?
Lemutuz_superbranddah naitembelea kusoma first hand huku mmepozi sanaa!!..Anatumia jina gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] iyo na nye nye nye inanfurahshagaLe Mutuz MOBIMBA ,Le Mutuz BOMAYE ,Le Mutuz CITWAYEEN,NYE NYE NYE.
Sio 56 nadhani mwaka huu anagonga 60 kama sikoseiAnasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok
Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972
Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956
Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia
Swissme