Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
KibitiMkuu hapo ni dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KibitiMkuu hapo ni dar?
Unatoka ubaharia unaishia Mount Vernon na unaendesha malori sijui ya taka? Kulikoni halafu unaachika na mke anachukuliwa na mkurya sasa yupo Pelham kwenye appartments za watu wenye uhitaji mbona huendi kusaidia wanao wapate hata nyumba New Rochelle ?Atakayetoka nje ya mada na kutaja mambo ya kilimo cha Bamia... mod piga Ban haraka. Manake hamchelewi humu!
Acha tuMzee anapenda kula uyuuuuuuu[emoji23]
Ndo mana mnene
Mwaka huu anafikisha 63sio 57 ana 60+
dah naitembelea kusoma first hand huku mmepozi sanaa!!..Anatumia jina gani?Insta kwenye account yake.
acha ujinga mbona mdogo bado mimi nina miaka 89Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok
Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972
Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956
Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia
Swissme
Hakijapigwa marufuku Mkuu, ila watu humu wana makusudi yenye nongwa. Hawachelewi kuleta masuala ya kilimo kwenye Ubaharia.Kwani kilimo cha bamia kimepigwa marufuku?