Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mimi huwa nashangaa,kwanini watu huwa wanamdiss huyu jamaa..
Ni poor judgement of peoples.
Huwezi kumpangia mtu aishi vipi,akiamua kujimwaga freestyle ni yeye,maisha ni mafupi sana na ukifa ndo grand finale,hakuna kurudi,
nilianza kumjua kupitia facebook ,kipindi akiwa New york,
alikuwa anapiga kazi mno,utasikia niko bronx,hujakaa sawa anaupdate yuko downtown manhatan,
mara new jersey, etc,busy busy,

wiliam ni mpambanaji na hiyo ndo Legacy yake
 
Huyu jamaa KAMBA SN,, ameleta story za VIJIWENI,, ANA ACT ni yeye.,, USITUDHALILISHE SEAFARERS,,, hukuwahi kupanda meli,,, wala kufanya kazi melini, wacha FIX
Uongo wake ume kuathiri nini mkuu km kaamaua kuchangamsha kijiwe it's ok! in all hatupo hapa ku judge maisha ya mtu alio chagua kuishi tusubirie story km Shigongo sawa km kweli kikubwa ume jifunza nini!?
 
kwa hiyo child support inakomba mshahara wako wote?...acha uongo wewe
 
Nothing to learn from this made stories,inaonekana at some points huyu jamaa alicheza na maisha,la pili atuambie alikuwa wapi siku zote mpaka amekua babu ndiyo anataka kuoa?
Kwani mtu huwezi kuishi bila kuoa mbona wengi tuu mtaani wahawana Time na hizo ndoana
 
Big mind discuss ideas, medium mind discuss events, small mind discuss people !
-Great Thinkers Protocol
Wachache waliochangia humu wameDiscuss events za kuhusu hiyo story ya le mutuz iliyoletwa humu ila ni 85% ya watu wote waliochangia humu wamemDiscuss lemutuz( as discussing people).
Thanks haina haja ya kusema ni wa watu wa mind ya namna gani hapo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
small minds wamesema; lemutuz kibamia, etc hiyo ya kibamia ndio noumer zaidi [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,
Big minds leteni ideas basi
Cc. Big minds & great thinkers
 
Ila nahisi akuhitaji mbeleko ndio maana kajichagulia njia yake mkuu.
 
Hahahah
Daah na sasa nasikia kuna biko na 3mzuka huko mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…