Uongo wake ume kuathiri nini mkuu km kaamaua kuchangamsha kijiwe it's ok! in all hatupo hapa ku judge maisha ya mtu alio chagua kuishi tusubirie story km Shigongo sawa km kweli kikubwa ume jifunza nini!?Huyu jamaa KAMBA SN,, ameleta story za VIJIWENI,, ANA ACT ni yeye.,, USITUDHALILISHE SEAFARERS,,, hukuwahi kupanda meli,,, wala kufanya kazi melini, wacha FIX
kwa hiyo child support inakomba mshahara wako wote?...acha uongo weweUshasafiri kuishi nje we mpuuzi .
Le Mutuz ana family na watoto huko US.
Mkiachana kisheria mke anamilikishwa kila kitu alee watoto.
We unatolewa live kwako na bado unapigwa palanja asilimia kadhaa za mshahara anapewa yule ex.
ndo mana mkubwa Le alisoma alama za nyakati akarudisha majeshi
Kwani mtu huwezi kuishi bila kuoa mbona wengi tuu mtaani wahawana Time na hizo ndoanaNothing to learn from this made stories,inaonekana at some points huyu jamaa alicheza na maisha,la pili atuambie alikuwa wapi siku zote mpaka amekua babu ndiyo anataka kuoa?
Mkuu umetoa avatar yako ile tamutamu,dah?[emoji4]Kama unaishi kwa kubet pole sana ila ukweli ndio huo, unagandisha akili yako.
Haya tujikite kwenye mada.
Exactly!! Iwe kamba isiwe kamba kikubwa umejifunza nini.. lots of shitholes in this thread.Uongo wake ume kuathiri nini mkuu km kaamaua kuchangamsha kijiwe it's ok! in all hatupo hapa ku judge maisha ya mtu alio chagua kuishi tusubirie story km Shigongo sawa km kweli kikubwa ume jifunza nini!?
Dola 1800 anayosema alilipwa last .kwa hiyo child support inakomba mshahara wako wote?...acha uongo wewe
Yaani acha kabisa, wabongo ni wajuzi mno kuliko wa leo, kesho wa keshokutwa ndio maana tuko nyuma sana kimaendeleo [emoji23]Sana yaani wajuzi ni wengi kila mtu ana mjua Le mutuz kwa utashi wake binafsi, Nyingine ni chuki tuu dhidi yake
Ewaaaa hizo ndio ides mkuuhili jamaa ni mojawapo ya wapambanaji sana provided other factor remain constant
lakini hizi siries kwa jicho lingine anaweza kutengeneza documentary na ikauzika
Ila nahisi akuhitaji mbeleko ndio maana kajichagulia njia yake mkuu.tatizo kubwa la le mutuz anaishi chini kivuli cha ya matatizo ya kifamilia.......hizo digrii tatu alizitafuta sio kwa ajili ya kumake life bali ni kwa ajili ya kuionyesha familia ya mama yake akina dr.Mwele kwamba na mimi nimesoma kama nyie inferior complex ndio ilimsukuma kutafuta hizo digrii......haiingii akilini uwe na degree 3 tena za US ushindwe kuzifanyia kazi ....tungetegemea kwa influence ya baba ake ukichnganya na madegree yake sasa hivi jamaa angekuwa CEO wa moja ya makampuni makubwa hapa TZ!
HahahahNdugu Yangu haya mambo ya kubet yameharibu kabisa ubongo wa vijana wetu ukiondoa na ule uvivu asilia.... hajui watu wanafanya kazi tofauti tofauti huko duniani kwa masaa 23 na analala only one hour.
Yeye akilala saa sita usiku baada ya kutoka kubet anaamka kesho yake saa nane mchana anaenda kubet akitoka hapo pull table mpaka saa sita tena.
Sad.
umejuaje kama ni bonge? na wakati humjui?Wekeni picha zake wengine hatumjui huyo bong.e
inawezekana alihitaji mbeleko akatoswa...you never knowIla nahisi akuhitaji mbeleko ndio maana kajichagulia njia yake mkuu.