Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mimi huwa nashangaa,kwanini watu huwa wanamdiss huyu jamaa..
Ni poor judgement of peoples.
Huwezi kumpangia mtu aishi vipi,akiamua kujimwaga freestyle ni yeye,maisha ni mafupi sana na ukifa ndo grand finale,hakuna kurudi,
nilianza kumjua kupitia facebook ,kipindi akiwa New york,
alikuwa anapiga kazi mno,utasikia niko bronx,hujakaa sawa anaupdate yuko downtown manhatan,
mara new jersey, etc,busy busy,
wiliam ni mpambanaji na hiyo ndo Legacy yake
Ni poor judgement of peoples.
Huwezi kumpangia mtu aishi vipi,akiamua kujimwaga freestyle ni yeye,maisha ni mafupi sana na ukifa ndo grand finale,hakuna kurudi,
nilianza kumjua kupitia facebook ,kipindi akiwa New york,
alikuwa anapiga kazi mno,utasikia niko bronx,hujakaa sawa anaupdate yuko downtown manhatan,
mara new jersey, etc,busy busy,
wiliam ni mpambanaji na hiyo ndo Legacy yake