dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Kiba 100 kinatakiwa hewa ya kutosha ili kiweze ku grow.[emoji23]Mzee wa mapensi ya hewa
View attachment 690373
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba 100 kinatakiwa hewa ya kutosha ili kiweze ku grow.[emoji23]Mzee wa mapensi ya hewa
View attachment 690373
View attachment 690347
PART 6:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ...
Ndani ya Basi la Greyhound kutoka Ottawa/Canada tunaelekea New York City/USA nilikuwa ninawaza nitakapofika New York City itakuwaje? Simjui mtu so sitakuwa na mahali pa kulala JE ITAKUWAJE? but nikajikumbusha jinsi nilivyokwenda Belgium mara ya kwanza Miaka 5 nyuma so ghafla tukafika Border kama kawaida ya Uhamiaji ya USA wakishaona Passport yako inaonyesha uliwahi kuingia USA na kutoka huwa hawana tatizo na wakati huu Rais wa USA alikuwa ni President Ronald Reagan baada ya kugongewa mhuri wa kuingia nikalala usingizi mpaka Saa Nne Usiku tulikuwa tayari tupo Port Authority, West Manhattan New York City/USA mtaa wa West 42ND Street ambapo ndio mwisho wa Mabasi yote ya Mikoani yanayoingia New York City....
Kuna Mbongo mshikaji wangu nilikuwa na namba yake ya simu aliahidi kuja kunipokea lakini dakika ya mwisho HAKUJA nikashuka na begi langu dogo la nguo kama kawa nikakuta Ma Homeless kibao wanajitayarisha kulala so nikatafuta mahali saafi nikatoa Blanketi langu cause ilikuwa ni Winter time January so kulala ni kwenye masofa ya Abiria wanaposubiria mabasi ya Usiku na Asubuhi so na mimi nikawa kama Abiria ninayesubiri Basi ilinichukua miezi 3 ya Beach life kama tunavyoita kwenye Ubaharia ...
Mwishoni tu mwa wiki ya kwanza nikawa nimepata kazi Dukani as a "STOCK PERSON" kwa Mshahara wa USD $ 5 kwa saa so kwa masaa 40 kwa Wiki nilikuwa ninalipwa USD $ 200 per Week so nikaamua kukusanya pesa kwanza kwa kuendelea kukaa bure pale Stendi ya Basi ...nikiwa kazini Dukani I was charming Kiingereza cha Kimarekani ni tofauti na cha Dunia nzima so to Americans I mean wateja wa Duka nilikuwa bonge la kichekesho na English yangu ya Europe sikuwa muoga kuongea huku nikiendelea kua kichekesho kwa Wateja hasa Wakina Mama pole pole nikaanza urafiki na Wasichana Wakizungu na Weusi cause Duka nililokuwa nafanya kazi lilikua linauza Vifaa vya Nyumbani sana ambavyo Wanawake ndio wateja wakubwa nikaishia kuwa rafiki na Mama mmoja Mzungu aliyeishia kunipeleka kwa mtoto wake aliyekua bosi wa Kiwanda cha Vifaa vya Umeme akanipatia kazi iliyoanza kunilipa USD 10 kwa Saa Moja ...ITAENDELEA!
Ndani ya Basi la Greyhound kutoka Ottawa/Canada tunaelekea New York City/USA nilikuwa ninawaza nitakapofika New York City itakuwaje? Simjui mtu so sitakuwa na mahali pa kulala JE ITAKUWAJE?................
Kuna Mbongo mshikaji wangu nilikuwa na namba yake ya simu aliahidi kuja kunipokea lakini dakika ya mwisho HAKUJA nikashuka na begi langu dogo la nguo kama kawa nikakuta Ma Homeless kibao wanajitayarisha kulala so nikatafuta mahali saafi nikatoa Blanketi langu
naomba ufafanuzi.......humjui mtu ila kuna mtu umempigia aje akupokee
hahahhaaaahhaaaa mzee wa chumvi/kambazAtakuja Kujibu ikifika Page ya 100 Kokabanga,Mobimba NYE NYE NYE.
Cc: W. J. Malecela , Field Marshal ES , Nyani Ngabu
Daaah, kweli wakati unaenda mbio sana. Leo ukipita nje ya lile jengo, ni kama linaekekea kuwa gofu tu, wamejaa wale wauza vitabu tu.Ilikuwa bonge la hotel kwa kipindi hicho, miaka ya 70 hiyo mkuu..
Hapa ndiyo huwa nacheka sana jinsi huyu mshua anavyojichanganya. Anyway, ameshasema enzi za ujana wake haya mambo hakuyafanya. He has just turned back the hands of time, let him live his life so long he is happy![]()
Huyu dogo ndo Le Mutuz mnatemzungumzia au nimekosea ?
Hapa akiwa kwenye tamasha na wanafunzi wenzie
Ahahah super mababez walikuja kunipokea u know? Me am super star u Know?Ndani ya Basi la Greyhound kutoka Ottawa/Canada tunaelekea New York City/USA nilikuwa ninawaza nitakapofika New York City itakuwaje? Simjui mtu so sitakuwa na mahali pa kulala JE ITAKUWAJE?................
Kuna Mbongo mshikaji wangu nilikuwa na namba yake ya simu aliahidi kuja kunipokea lakini dakika ya mwisho HAKUJA nikashuka na begi langu dogo la nguo kama kawa nikakuta Ma Homeless kibao wanajitayarisha kulala so nikatafuta mahali saafi nikatoa Blanketi langu
naomba ufafanuzi.......humjui mtu ila kuna mtu umempigia aje akupokee
Story bila kapicha hainogi
View attachment 690276
Le baharia,big boss kokobanga you know hahahahaaa![]()
Huyu dogo ndo Le Mutuz mnatemzungumzia au nimekosea ?
Hapa akiwa kwenye tamasha na wanafunzi wenzie
Kuliko kulala nje USA au kuendesha semi za inyee,km alikuwa assistant engineer angeomba Kazi kwenye meli za kubwa za USA.Alitupiga story za ishu za risasi za lisu eti kasomea criminology,inabidi kutokuamini kila kitu, Isome tu km ni story ya kujifunza.Hivi rank ya 2rd engineer ni ya kifala? unajuwa kama ni mtu mkubwa sn melini? Tena ni incharg.. Iweje awe KIBARUA? na huwezi UKAWA ENGINEER field.. ukiwa melini sea time unafanya ukiwa OS.... endeleeni kudanganywa.... Siku ZOTE ukitaka kujifunza jambo liwe really,, likiwa na uongo uta fail.... Hivi unadhani meli unapanda tu kama unavyopanda BAISKELI?
Enzi za shell,total,kobilKweli wewe babukijana, enzi za Motel Agip!?
Tena hata sasa angepata kazi nzr tu ya meli...Kuliko kulala nje USA au kuendesha semi za inyee,km alikuwa assistant engineer angeomba Kazi kwenye meli za kubwa za USA.Alitupiga story za ishu za risasi za lisu eti kasomea criminology,inabidi kutokuamini kila kitu, Isome tu km ni story ya kujifunza.
Angerudi bongo na noti za kutosha kufungua kampuni za transportation, kuliko kuwa mpambe ili adange.Tena hata sasa angepata kazi nzr tu ya meli...
Kweli mkuu,, mwongo huyoTena hata sasa angepata kazi nzr tu ya meli...
Hivi kuelewa mnajua? Au ni kusoma tu. Jamaa kaz ya ubaharia haitaki hata wangekua wanalipa dunia, alichokikuta sio alichokua anatamani akiwa mdogo na hata aliowakuta walikuwa watiwazma wakamshauri kwakuwa yeye ni kijana mdogo achane nayo wao wanajuta sema hawakuwa na namna umri umeenda. Ss mkikaa hapa mnausifia ubaharia sijui vyeo, ukweli ile kaz ni ngumu, unaishi majini na mambo ya duniani yanakupita, hata familia zao zina athirika.Tena hata sasa angepata kazi nzr tu ya meli...
Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mnoHivi kuelewa mnajua? Au ni kusoma tu. Jamaa kaz ya ubaharia haitaki hata wangekua wanalipa dunia, alichokikuta sio alichokua anatamani akiwa mdogo na hata aliowakuta walikuwa watiwazma wakamshauri kwakuwa yeye ni kijana mdogo achane nayo wao wanajuta sema hawakuwa na namna umri umeenda. Ss mkikaa hapa mnausifia ubaharia sijui vyeo, ukweli ile kaz ni ngumu, unaishi majini na mambo ya duniani yanakupita, hata familia zao zina athirika.
sasa miezi 9 unaiona michache?...........yaani umuache mke wako kwa miezi 9 yote?Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mno