Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

PART 18: "MY AMERICAN EXPERIENCE"

the idea ya kuokoa Dola 1,000 kwa kwenda kuishi bure kwa Babe wangu ikanivuruga sana mwisho nikaamua kuhamia kwa my Babe na kua MARI0 nikahamisha magari yangu BMW na Jetta Volkswagen lakini nikashituka one thing Fenicha zangu na vitu vingine nikaviweka Storage na kuvilipia kwa Mwezi mpaka nitakapoamua nitavifanyia nini mbele ya safari ila ninapiga kazi kama kawaida na ninapiga Disco kama kawaida ila sasa nikaingia maisha mapya ya kuishi nyumba moja na thereal niggaz Duh!wiki 3 za kwanza nilikua peponi cause walijitahidi sana kuficha madhaifu yao na mimi nilikua alert nasubiri uyaona ili niamue kama ni au hapana ila hapa sasa nikaanza kufanya savings ya ajabu.

cause nilikua na gharama ya petroli tu kila kitu home free hahahaha l loved it mpaka siku mojaShawn alipoamua Niggaz wanaita ku "RAISE HELL" akaniambia African husaidii hata kulipia Umeme tu wewe ni mtu gani?...n- dugu zake waliposikia hizi habari hawakupenda wakaishia kugombana sana wenyewe kwa wenyewe mpaka Shawn akalazimishwa kuniomba radhi kwa kosa la kunishambulia bila sababu na kama kawaida ya all Niggaz akasingizia kua anapitia stress nyingi za matatizo yake ya mapenzi ndio maana aliniwakia sasa u umepita Mwezi mmoja pakatulia ikapita mpaka Miezi 2 mimi ni kazi.


Disco na Gym tu na mtaani na Niggaz hasa Bezo sasa tukawa very Close ila nikaja kugundua anauza "SEMBE" na "BANGl" nikaogopa sana nikaanza kupunguza kumsogelea baada ya kugundua siri kubwa ya Polisi wa NewYork City Police Depart- ment (NYPD) kwamba kumbe wanamtumia kuhakikisha Usalama wa lile eneo zima so un officially wamemk abidhi auze Crack na Bangi lakini asiuze Cocaine tu ila ni wajibu wake kuhakikiaha kua eneo lina amani

asiuze Cocaine tu ila ni wajibu wake kuhakikiaha kua eneo lina amani kama Kuna tatlzo anawashitua Polisi kwa Siri Sana Wao Niggaz huwalta Polisi "COPS" au "FIVE 0" .

mapenzi yangu na nigazz yalikua yanaendelea vizuri ila nikagundua kua nimefanya papara tu kwenye kuchagua cause now nilikua nimeanza ku attract Wabebezz wa ukweli huko mtaani l mean l was almost a Star until one day nilipoingiwa na wazo la kutafuta Green Card kwa njia za Panya yaani kuoa kimazabe! ITAENDELEA! 19
Oi kama ni mshkaji wako mwenye stori mwambie aweke miaka kwenye matukio itapendeza saana ananiacha.

Infwakti tupo pamoja.
 
Wtf with this stupid,
kasome maandishi yake huko nyuma kasema alifanya field baadae akawa promoted so ni km kuna muda mdogo aliajiriwa akapiga kazi kama kibarua,kuna emergency anatakiwa cover up wa haraka.
mi niliajiriwa motel agip enzi hizo sijui kama hata unajua ilipo,sababu ni yule aliyekuwa kwenye station nnayojifunzia aliumia mguu,
so solution ikawa badala ya kuitisha interview mpeni huyo bwa mdogo kazi maana ameonekana anaimudu
nikaaachiwa kazi kilaini,aliporudi jamaa baa ya muda mrefu nikatupwa banquet.
ndio pale le mutuz akashauriwa ateme kazi maana ni ya kifala na akatema kweli.
Kweli wewe babukijana, enzi za Motel Agip!?
 
Mama nimekoma mimi jaman napitwa na mambo ya le kokobanga kwenye page ebu niombee aniunblock nimejifunza kutokana na makosa sitaguna wala kuongea chochote tena nitapita kimyaaa
akiku unblock pls na mimi unistue! nimemuomba kupitia Ac nyingine.
 
Hili jamaa ni liongo sana kuna pic amepost akiwa na Mh Lissu,maelezo aliyoyatoa hapo kuhusiana na hio pic Lissu ameyakanusha vibaya sana,so hii story yake haina ukweli kwa 100%
Tupe ukweli unao ufahamu Kuhusu Story yake km ni Chai 100%! ina maana hata huko USA hakuwa ameenda na Kuishi wala hakuwahi kuwa baharia hebu huo ukweli wako tupinge uongo wake hapa
 
Huyu jamaa yaani ni pensi jumatatu mpaka jumapili.
Mark Zuckerberg CEO na mwanzilishi wa facebook ni ni mmoja wa matajir duniani. Huwa anavaaga jins ya bluu na tshirt nyeus, kamaliza. Wenzio humu wanamchalenge kwenye masuala ya utaftaji, ww unawaza mavaz, hyo ni tabia ya kike. Kupga pcha kavaa buckta haimaanishi ndo vazi analoendanalo kwenye mambo yake ya msingi. Muwe mnafkiri kidogo kabla ya kupost utoto.
 
Huo ndio ukweli wenyewe ndugu,
ila ukiwakuta wanavyotetea sasa,
So Sad.
betting inaingiaje tena humu?!!!....tuacheni sisi ndo tumechagua hayo maisha hatujawahi kuwaomba hata senti 5 zaidi tunaona mnatokwa na mapovu tu
 
Mark Zuckerberg CEO na mwanzilishi wa facebook ni ni mmoja wa matajir duniani. Huwa anavaaga jins ya bluu na tshirt nyeus, kamaliza. Wenzio humu wanamchalenge kwenye masuala ya utaftaji, ww unawaza mavaz, hyo ni tabia ya kike. Kupga pcha kavaa buckta haimaanishi ndo vazi analoendanalo kwenye mambo yake ya msingi. Muwe mnafkiri kidogo kabla ya kupost utoto.

Mark Zuckergerg havai pensi lakin mkuu. Nitajie tajili mmoja dunian anayeshinda na pens jumatatu mpaka jumapili. Huyu amekosa busara hamna namna nyingne ya kumuweka. Mi cjazungumzia kubadilisha nguo nimezngumzia kuvaa pens cku zote kana kwamba ni kijana wakat ni mtu mzima. Bilionea mzee gets siku zote anavaa simple lakn havai mapens. Kama wewe ndio lemutuz punguza hzo swaga sometimes uonekane walau una busara ya kukopa.
 
Mazuzu wapo WENGI sn,,, unajuwa kama SEAFARER never dies? kama yeye alikuwa assistant engineer,,, kwnn now asirudi melini? na vyeti anavyo? Pili story yake imejaa uongo... Na mm ninaongea na ww ni SEAFERAR.. Najuwa vng vya meli,, na Nina story ya really zaidi ya huyo MZEE mwongo.... Na kama alipanda meli miaka ya 80 bado alikuwa anapata pesa nzr sn kwa rank yake ya 2nd engineer.. Kwnn akalale nje marekani,,, why atoke melini bila dollars? Akawe mbeba box mitaani? jibu ni hakuwa melini.... Kuna watu nawajuwa ni SEAFERARS Tangia miaka hyo na bado SEAFERARS hadi now,, tena ni wazee kuliko LEMUTUZ.. huyo hakuwahi kuwa SEAFERAR,,, na hawezi kuwa

Umejaza ubongo Story za vijiweni tupu
 
Back
Top Bottom