Mkuu Kuna kila dalili kuwa mzee ni mzembe kwny kusimamia familia, inaonesha familia iligawanyika siku nyingi huku baba akiangaliq tu nilale Kuchukua hatua stahiki.
All in all kilichomponza ni kuzaa na rafiki kipenzi wa mke wake, juu ulikuwa ni usaliti mbaya kabisa!
Lakini pia Sasa pale Kuna mama wa kipare (Anne Kilango-Malecela), mama huenda ameshikilia nalo zote Hakuna kugawa kwa mtu yyt, kwa wanaowajua wanawake wa kipare watakuwa wananielewa hapa!
Ila pia Kuna mzima tena mwanaume rijali mwenye miaka zaidi ya 50 kukaa na kusubiri kurithi Mali za mzazi ni aibu kubwa sana, .....kurithi???
Tafuta chako, kitu pekee mzazi anakupa kurithi ni elimu tu na sio Mali nyingine