Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mark Zuckerberg CEO na mwanzilishi wa facebook ni ni mmoja wa matajir duniani. Huwa anavaaga jins ya bluu na tshirt nyeus, kamaliza. Wenzio humu wanamchalenge kwenye masuala ya utaftaji, ww unawaza mavaz, hyo ni tabia ya kike. Kupga pcha kavaa buckta haimaanishi ndo vazi analoendanalo kwenye mambo yake ya msingi. Muwe mnafkiri kidogo kabla ya kupost utoto.
Huenda Huyo Zuckerberg mganga wake ni mkinga Toka Makete, moja ya masharti ya utajiri wake ni kutovaa vizuri[emoji41]
 
Unajua kuna watu humu fucking stupid, hivi mie nikiamua kuvaa jeans tu all my life hilo ni tatizo lako au langu?? Thats none of your business. Kuna mjinga mmoja humu kakazania kuhusu le mutuz kuvaa pensi yeye inamhusu nini?? Yaani ni ushamba wa kiwango cha juu, ila sio kosa lake ni kosa la umasikini waafrika tumeathirika sana na poverty kiasi kwamba tunapenda kujadili vitu irrelevant katika maisha kama nguo, gari na mambo mingi ya kijinga jinga tu ndio maana tunaitwa Shithole countries.Mie hapa nina mwaka wa 8 hapa US jirani yangu sijawahi kumuona kavaa suruali au shati. Yeye ni mwendo wa pensi na polo shirts. Hata iwe baridi vipi havai suruali na hakuna mtu anammind.. tembeeni huku mambelez mjifunze vitu sio ukienda hapo escape 1 unaona umemaliza.
 
Anesema ntamnukuu..

Vita kali ya urithi wa Mali za Baba yake ndiyo umezua chuki kali inayowahusisha watu mpaka waliosoma..

William kwa ushauri tu mwambie Mzee bado yupo hai aite wanafamilia wote, aweke bayana mali zake na warithi wake kila mmoja kwa mgao wake..

Tena mbele ya mwanasheria kuondoa migogoro siku za usoni..

Inawezekana umesoma alama za nyakati na Mzee ndiyo Machweo sasa ,

Wekeni mambo sawa kifamilia mapema sababu ugomvi wa Mirathi unazikumbuka familia nyingi tu..

Na hii inachangiwa na wazee wetu ,kutokuweka wazi mapema kipindi wakiwa hai kuhusu urithi wa Mali zao..
 
Huenda Huyo Zuckerberg mganga wake ni mkinga Toka Makete, moja ya masharti ya utajiri wake ni kutovaa vizuri[emoji41]
Hahaha najua unatania, mark hataki attention ili watu wa muone, yupo bzz kufanya coding ili imuingizie pesa ndo maana hajuagi fassion mpya za nguo anaangalia acc inasoma billion ngapi. Mambo ya kuvaa wamewaachia watu weusi km akina PDidy, Nelly nk kwakuwa hawana kitu kichwani. Yaani km anavyoelezea Le mutuz ndo napata picha ya Nigers
 
Anesema ntamnukuu..

Vita kali ya urithi wa Mali za Baba yake ndiyo umezua chuki kali inayowahusisha watu mpaka waliosoma..

William kwa ushauri tu mwambie Mzee bado yupo hai aite wanafamilia wote, aweke bayana mali zake na warithi wake kila mmoja kwa mgao wake..

Tena mbele ya mwanasheria kuondoa migogoro siku za usoni..

Inawezekana umesoma alama za nyakati na Mzee ndiyo Machweo sasa ,

Wekeni mambo sawa kifamilia mapema sababu ugomvi wa Mirathi unazikumbuka familia nyingi tu..

Na hii inachangiwa na wazee wetu ,kutokuweka wazi mapema kipindi wakiwa hai kuhusu urithi wa Mali zao..
Mkuu Kuna kila dalili kuwa mzee ni mzembe kwny kusimamia familia, inaonesha familia iligawanyika siku nyingi huku baba akiangaliq tu nilale Kuchukua hatua stahiki.

All in all kilichomponza ni kuzaa na rafiki kipenzi wa mke wake, juu ulikuwa ni usaliti mbaya kabisa!

Lakini pia Sasa pale Kuna mama wa kipare (Anne Kilango-Malecela), mama huenda ameshikilia nalo zote Hakuna kugawa kwa mtu yyt, kwa wanaowajua wanawake wa kipare watakuwa wananielewa hapa!

Ila pia Kuna mzima tena mwanaume rijali mwenye miaka zaidi ya 50 kukaa na kusubiri kurithi Mali za mzazi ni aibu kubwa sana, .....kurithi???

Tafuta chako, kitu pekee mzazi anakupa kurithi ni elimu tu na sio Mali nyingine
 
Hakuna anaesubiria urithi according to Le mutz wamejistukia tu, yeye karudi bongo na misala yake toka US. Pia kurith ni traditional na kidini pia, km kwetu jamii mdo inakupa kiti km ni mtoto kwa kiume mkubwa, regardless umesoma au una mali. Kibiblia pia kwa mimi mkristo, Essau alidharau uzaliwa wa kwanza huku mungu akishuhudia, matokeo yake Jackob mdogo ndo akaja kuanzisha taifa la Israel, ni mambo ambayo yapo.
Mkuu Kuna kila dalili kuwa mzee ni mzembe kwny kusimamia familia, inaonesha familia iligawanyika siku nyingi huku baba akiangaliq tu nilale Kuchukua hatua stahiki.

All in all kilichomponza ni kuzaa na rafiki kipenzi wa mke wake, juu ulikuwa ni usaliti mbaya kabisa!

Lakini pia Sasa pale Kuna mama wa kipare (Anne Kilango-Malecela), mama huenda ameshikilia nalo zote Hakuna kugawa kwa mtu yyt, kwa wanaowajua wanawake wa kipare watakuwa wananielewa hapa!

Ila pia Kuna mzima tena mwanaume rijali mwenye miaka zaidi ya 50 kukaa na kusubiri kurithi Mali za mzazi ni aibu kubwa sana, .....kurithi???

Tafuta chako, kitu pekee mzazi anakupa kurithi ni elimu tu na sio Mali nyingine
 
Unajua kuna watu humu fucking stupid, hivi mie nikiamua kuvaa jeans tu all my life hilo ni tatizo lako au langu?? Thats none of your business. Kuna mjinga mmoja humu kakazania kuhusu le mutuz kuvaa pensi yeye inamhusu nini?? Yaani ni ushamba wa kiwango cha juu, ila sio kosa lake ni kosa la umasikini waafrika tumeathirika sana na poverty kiasi kwamba tunapenda kujadili vitu irrelevant katika maisha kama nguo, gari na mambo mingi ya kijinga jinga tu ndio tunaitwa Shithole countries.Mie hapa nina mwaka wa 8 hapa US jirani yangu sijawahi kumuona kavaa suruali au shati. Yeye ni mwendo wa pensi na polo shirts. Hata iwe baridi vipi havai suruali na hakuna mtu anammind.. tembeeni huku mambelez mjifunze vitu sio ukienda hapo escape 1 unaona umemaliza.
Exposure bro,watanzania wengi ni washamba,anaamini vile anavyovaa yeye ndo watu wote duniani wanavaa vile
 
Le mutuz kokobanga nye nye nye bro umepambana sana u know i love it ah ah ah ah ah america na super mbebz rangi ya mtume le mtindizzz ah ah u know
 
Kama kiswahili huelewi ni bora ukae kimya, ni wapi mchangiaji amesema ni states zote?

Wewe jamaa unaelekea kudata ni muda tu utaongea, kuna kitu very serious kimekutokea wala siyo bure.

Mbona unamdakia na swali lake limeeleweka vizuri tu!?
 
Yani Le Mutuz kweli kwa jinsi ulivo andika kwa ustadi mkubwa historia yako ndio umemalizia vibaya hvyo?
Yani American Experience ndio Mange kweli???
 
Back
Top Bottom