venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,569
Ndio maana unahasira na Willy. Jaribu kuwa mchangia kote, then utainjoi the movieDa Mange Kimambi ndio Dada wa Taifa hili halina ubishi wala mjadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana unahasira na Willy. Jaribu kuwa mchangia kote, then utainjoi the movieDa Mange Kimambi ndio Dada wa Taifa hili halina ubishi wala mjadala.
Chuna basi Bob ,!! Unaonekana bonge la kiazi aisee ..kukazania mwanaume mwenzio ...na kumshuhudia kwamba muongo ..je unaujua ukweli wake utuelezee ,Ina onekana wamjua vizuri chalii ...umbea waachie Dada zako kijana ....jifunze kupitia wengine bob!Labda wewe na mazuzu wenzako mnajifunza jinsi ya kupiga porojo na fix na si kwa mtu yeyote makini makini kutetea longolongo hizi.
Duuh...!! Huyo Ippi au Hippi ( Sina uhakika linaandikwaje ) alisumbua sana ile early 90s . The guy alikuwa anagawa pesa kuliko kawaida . Ulikuwa ukimfagilia tu unarushiwa burungutu.Ilisemekana alikuwa mtu wa poda na magumashi kibao.Nafikiri kifo chake kilizua maneno maneno , ila kwakuwa cna mamlaka ya kutoa takwimu ngoja niishie hapa.Mungu amrehemu Hipi Malecela ndie aliyekua kichwa kwenye familia [emoji119]
Si unajua ukishakuwa responsible for child support hapo tayari utakuwa unahudumia nyumba mbili?! Depending na idadi ya watoto, utakuta takribani 25% ya kipato chako inaenda kwenye child support na kwa baadhi ya states utaendelea kuhudumia hadi mtoto anafikisha 21 years!Nieleweshe vizuri hapo, kivip child support inazingua?
Si unajua ukishakuwa responsible for child support hapo tayari utakuwa unahudumia nyumba mbili?! Depending na idadi ya watoto, utakuta angalau 25% ya kipato chako inaenda kwenye child support na kwa baadhi ya states utaendelea kuhudumia hadi mtoto anafikisha 21 years!
Of course, sio states zote na ndio maana nimesema kwa baadhi ya states lakini kama sikosei, NY ni one of those states with up to 21 years.Hiyo ya miaka 21 siyo kwa states zote kweli endapo mtoto ataenda college baada ya high school?
Usiku mwema wakuu...Of course, sio states zote na ndio maana nimesema kwa baadhi ya states lakini kama sikosei, NY ni one of those states with up to 21 years.
Kama kiswahili huelewi ni bora ukae kimya, ni wapi mchangiaji amesema ni states zote?Hiyo ya miaka 21 siyo kwa states zote kweli endapo mtoto ataenda college baada ya high school?
Kwa jibu hili toka kwako ,mtu mwenye Akili haitaji mjadala na WeweDa Mange Kimambi ndio Dada wa Taifa hili halina ubishi wala mjadala.
Sawa baba unajua sisi tumependa hadithi kuhusu kudanganywa umtajua wenyewe mnaojuana Story imekaa vizuri sisi ndicho tulichopenda sasa wewe umeshupalia stori yenye sukari tuione ina chumvi.Mavi yakoKenge mama yako mzazi, ni kwa nini unalazimisha watu kusikiliza hizi porojo zisizo na ithibati?
Jitu limekaa tu linalishwa jabari bila kuhoji, sioni hata wa kuuliza ni kwa nini huyo cha uongo alipitia Canada?
By that time hakukuwa na tatizo mtu aliyepo Canada kwenda USA kwahiyo huyu chauongo alifika na kukaa Canada kwanza na kuvuka weekend kuingia USA na kuzamia wakati watu wa Viza Nation tuliruhusiwa kuingia USA kutokea Canada bila non migration viza.
Halafu anatokoa khanisi mmoja anadhani kila mtu anasikiliza porojo za Willy na kwamba sisi wenyewe huwa hatusafiri.
Jinga kabisa wewe ndio maana ccm inawadanganya kila siku kwa sababu inajuwa nchi imejaa wapuuzi kama wewe, kwenye kampeni ccm inamleta kibajaji kumnadi mgombea kwa sababu akili zenu wanazijuwa vyema ni wapenda porojo na fix.Sawa baba unajua sisi tumependa hadithi kuhusu kudanganywa umtajua wenyewe mnaojuana Story imekaa vizuri sisi ndicho tulichopenda sasa wewe umeshupalia stori yenye sukari tuione ina chumvi.Mavi yako
Hizi simulizi zingenoga sana kama Willy angekuwemo kwenye hii thread ingesaidia kufanya check and ballance mechanism.PART 17- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
nikaanza Dating tena baada ya kuacha kwa muda mrefu sababu ya kuteswa na kivuli cha Ericka nikaanza na Msichana Nigga kwenye picha kwa jina Antoniette with experience ya Ericka nilikua ninayo idea tayari ingawa huyu now was Black ni tofauti kabisa alikua anafanya kazi ila anaishi na Mama yake mzazi aliyekua na Uwezo mkubwa sana wanaishi Uzunguni North
![]()
mimi ninaishi South in USA always kuna o Class ya North kwa wenye Uwezo na South kwa Masikini pia alikua na Dada zake 2 Mmoja Light Skin na mwingine Mweusi.
Katika kutumia rule ya Divide and Rule yaani kuwagawanya Weusi ili wawatawale sawa sawa Wazungu walifanya makosa ya kibinadam ya kutembea na Watumwa wakaishia kuzaa watoto ma Half Aibu yao Wazungu wakaanza kuwa treat wale watoto wao Cast k tofauti na Watumwa wengine wakawafanya Superior kuliko wenzao weusi kabisa ni Ugonjwa walipandikiza kwa weusi mpaka leo wa kuamini Half Cast ni bora recently.
nimeanza kuona Ugonjwa huu ukiingia mpaka Bongo na kama ilivyo USA kwenye Movies na Music Videos msichana mzuri lazima awe Mweupe so Blacks karibu wote huwa ni lazima wawe na mtoto mmoja Half Cast ambaye Mama aliamua kwa makusudi kuzaa na Mzungu au Bwana mweupe ili apate mtoto mmoja mweupe.
so huyu ndiye anakuwa kipenzi cha Mama always kuliko wote wengine cause ni mweupe na yeye anakua na majivuno ya ajabu sana so my Babe naye alikua na Dada mmoja kwa jina Shawn mweupe ila urefu wangu na kupiga kazi sana ukamfanya huyu Dada mtu anipende sana na kwa sababu yeye alinipenda na Mama mzazi naye akawa hana Choice ila kunipenda so na Antoinette naye akani penda sana ila hakua na Elimu kubwa ingawa alikua na kazi nzuri ya Serikali.
now Shawn akaanza kunishauri nihamie nyumbani kwaa kwa vile hawana Mwanaume kwenye nyumba nikaanza kutafakari idea huku nikijiuliza maswali mazito sana ya maana halisi ni kua MARIO yaani nataka kutunzwa na Mwanamke na familia yake nilikua najichekea mwenyewe peke yangu nikakumbuka mafundisho ya Jandoni kua Mwanaume huwezi kutunzwa na Mwanamke how can I do that now?
but nikihamia kwao nitaokoa Dola 1,000 za kodi ya nyumba kila mwezi JE NIHAMIE AU NISIHAMIE? ....ITAENDELEA 18
Nitashkuru my dearNgoja nkakuombee uko uko cjui atanlamba kufuli uwwwi le kokobanga
Hahahaha Shunie nimechekaa kama nakuona ukipita kimya kimya ukishafunguliwa, mimi pia kokubanga alinipa kofuli 2yrs ago kuna siku akatangaza angefungulia watu wote aliowafungia lkn naona msamaha haukunipitia. Da Mange nae alinipa bloku mwaka juzi hawataki kabisa uwakosoe hata kdg hata kwa ka emoji teh tehMama nimekoma mimi jaman napitwa na mambo ya le kokobanga kwenye page ebu niombee aniunblock nimejifunza kutokana na makosa sitaguna wala kuongea chochote tena nitapita kimyaaa
Yaan nipo kifungoni mwaka sasa halaf sijaguna kwenye acc yake milly alimuweka kwenye acc yake kwahiyo akachungulia wote waliocomments na me mmoja wapo nikala block aje huku atuambie aliotublock atufungulie pole mamy na weweHahahaha Shunie nimechekaa kama nakuona ukipita kimya kimya ukishafunguliwa, mimi pia kokubanga alinipa kofuli 2yrs ago kuna siku akatangaza angefungulia watu wote aliowafungia lkn naona msamaha haukunipitia. Da Mange nae alinipa bloku mwaka juzi hawataki kabisa uwakosoe hata kdg hata kwa ka emoji teh teh
Nilijua tu kuwa umeathirika na UCHADEMA ndiyo maana unamchukia le mutuz ila kumbuka kuwa hadithi hii hajailenga kwenye mitazamo ya kisiasa so ni vyema wakati mwingine kiweka pembeni chuki za kisiasa ili upate maarifa kutoka kwa kila aina ya mtuJinga kabisa wewe ndio maana ccm inawadanganya kila siku kwa sababu inajuwa nchi imejaa wapuuzi kama wewe, kwenye kampeni ccm inamleta kibajaji kumnadi mgombea kwa sababu akili zenu wanazijuwa vyema ni wapenda porojo na fix.