Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Ahahah super mababez walikuja kunipokea u know? Me am super star u Know?



Hili ndilo jibu atakalo kupa ngoja aje [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi swala langu umenifanyia lakini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu
 
Huhuhu story inazidi kunoga

Le super tall[emoji3]he is humbled u know...
 
Kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m.

acha kudanganya watu.
Siwezi kudanganya watu ; ulizia tu watu enzi za mzee rukhsa hapo long room ilikuaje?? Sema hivho kizazi wengi waliobaki bongo wametangulia mbele za haki; tulikua tunaondoka na mifuko ya rambo imejaa pesa sndugu yangu.. ni uamuzi tu mtu kuacha maisha fulani kuifuata your dream life sawa na le mutuz alivotaka kua niggaz.
 
Wabongo tutaacha lini kushindana kupitia shida?

MTU unawambia umeteseka, anasema hujateseka kama yeye...as if mnashindana
 
m
mifuko imejaa pesa kila siku,na bado ukaamua fuata your dream kwenda nje-Au pesa Enzi hiyo haina thamani? bundle ya noti inanunua beer mmoja?
 
m

mifuko imejaa pesa kila siku,na bado ukaamua fuata your dream kwenda nje-Au pesa Enzi hiyo haina thamani? bundle ya noti inanunua beer mmoja?
Sio pesa ilikua haina thamani bongo palikua choka mbayaa,na ile hamu ya mamtoni tu. Ingawa bongo yenyewe haijabadilika kihivyo hata sasa bado ni choka tu, ingawa kuna unafuu fulani wa hali..uongo mbaya life ya bongo securitywise kwa wenyenazo ni zero; leo unaweza ukawa nazo ukatesa sana halafu kesho akaingia kiongozi mwingine na sera zake ukarudi kua kapuku wa kutupa. Mifano hai ninayo kwa waliobaki niliowaacha wako hoi bin taaban.
 
Wabongo tutaacha lini kushindana kupitia shida?

MTU unawambia umeteseka, anasema hujateseka kama yeye...as if mnashindana


Mkuu hiyo ni tafsiri yako wewe. Comment yangu inawaelezea watu waliozaliwa with nothing at home lakini wamachakarika mpaka wamerekebisha mambo na sasa much respect. Sasa sijui mashindano ya shida yako wapi hapo?
 
Mkuu hiyo ni tafsiri yako wewe. Comment yangu inawaelezea watu waliozaliwa with nothing at home lakini wamachakarika mpaka wamerekebisha mambo na sasa much respect. Sasa sijui mashindano ya shida yako wapi hapo?
Why compare his hustles with others? Uliposema tuu "Lemutuz cha mtoto" tayari hayo ni mashindano
 
Achana na huyo Jestkilla mkuu. Tayari picha inaonesha ni nani na ana uhusiano gani na Le Mutuz. Atulize kitenis, jamaa hana haja na urithi wanaoupigania kwa povu hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…