Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hivi swala langu umenifanyia lakiniAhahah super mababez walikuja kunipokea u know? Me am super star u Know?
Hili ndilo jibu atakalo kupa ngoja aje [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi swala langu umenifanyia lakiniAhahah super mababez walikuja kunipokea u know? Me am super star u Know?
Hili ndilo jibu atakalo kupa ngoja aje [emoji3][emoji3][emoji3]
Nakosa mauhondo shunie mm jaman najuta kuguna nakula block le kokobanga![]()
Cc. Shunie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguDuh [emoji15] Le Mutuz kainingia USA Rais Ronald Reagan (1980-1988) [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu anasema kabla ya hapo alikuwa Ubeligiji miaka 5 kabla ya hapo.?!!
Inawezekana Le Mutuz alikuwa Kilanja shuleni wakati wazazi wetu wapo shule moja naye duh
Hivi hatuwezi kutuma ujumbe wa kuomba atu unblock,maana katudhuru wengiNakosa mauhondo shunie mm jaman najuta kuguna nakula block le kokobanga
Ujumbe mama tutatuma wapi na insta katupa block tuombe tu aje kwenye huu uzi tumwambieHivi hatuwezi kutuma ujumbe wa kuomba atu unblock,maana katudhuru wengi
Ukicomment ivyo hawez kukublock,tena atakupa like ya nguvuukimcomment hivi hakublock na mimi pia amenipiga block.
Siwezi kudanganya watu ; ulizia tu watu enzi za mzee rukhsa hapo long room ilikuaje?? Sema hivho kizazi wengi waliobaki bongo wametangulia mbele za haki; tulikua tunaondoka na mifuko ya rambo imejaa pesa sndugu yangu.. ni uamuzi tu mtu kuacha maisha fulani kuifuata your dream life sawa na le mutuz alivotaka kua niggaz.Kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m.
acha kudanganya watu.
Wabongo tutaacha lini kushindana kupitia shida?Kuna watu wakiweka historia zao za kweli humu, zile za kuzaliwa uswahilini mbuzi kalamba reli, mama muuza gongo baba mpigisha kolokolo. Wame-hustle kichizi mpaka leo respect wanaburuza life, huyu Le Mutuz cha mtoto tu. Huyu kakua anakula mayai ya bure Ikulu ataongea nini, wakati watu wamezaliwa uswahilini mayai anasa.
mifuko imejaa pesa kila siku,na bado ukaamua fuata your dream kwenda nje-Au pesa Enzi hiyo haina thamani? bundle ya noti inanunua beer mmoja?Siwezi kudanganya watu ; ulizia tu watu enzi za mzee rukhsa hapo long room ilikuaje?? Sema hivho kizazi wengi waliobaki bongo wametangulia mbele za haki; tulikua tunaondoka na mifuko ya rambo imejaa pesa sndugu yangu.. ni uamuzi tu mtu kuacha maisha fulani kuifuata your dream life sawa na le mutuz alivotaka kua niggaz.
Ili yeye tu ndo aishi kama malaikaMwenye chuki namba moja yupo pale magogoni.
Sasa jiulize tena tatizo lake ni nini mpaka atake binadamu waishi kama mashetani?
Sio pesa ilikua haina thamani bongo palikua choka mbayaa,na ile hamu ya mamtoni tu. Ingawa bongo yenyewe haijabadilika kihivyo hata sasa bado ni choka tu, ingawa kuna unafuu fulani wa hali..uongo mbaya life ya bongo securitywise kwa wenyenazo ni zero; leo unaweza ukawa nazo ukatesa sana halafu kesho akaingia kiongozi mwingine na sera zake ukarudi kua kapuku wa kutupa. Mifano hai ninayo kwa waliobaki niliowaacha wako hoi bin taaban.m
mifuko imejaa pesa kila siku,na bado ukaamua fuata your dream kwenda nje-Au pesa Enzi hiyo haina thamani? bundle ya noti inanunua beer mmoja?
Wabongo tutaacha lini kushindana kupitia shida?
MTU unawambia umeteseka, anasema hujateseka kama yeye...as if mnashindana
Why compare his hustles with others? Uliposema tuu "Lemutuz cha mtoto" tayari hayo ni mashindanoMkuu hiyo ni tafsiri yako wewe. Comment yangu inawaelezea watu waliozaliwa with nothing at home lakini wamachakarika mpaka wamerekebisha mambo na sasa much respect. Sasa sijui mashindano ya shida yako wapi hapo?
sasa miezi 9 unaiona michache?...........yaani umuache mke wako kwa miezi 9 yote?
Maan uyu Dada kakaa kishari Shari mda wote kam tupo somalia bhana ,kumbe tunarefresh akil jfhahaaa safii kabisa
Achana na huyo Jestkilla mkuu. Tayari picha inaonesha ni nani na ana uhusiano gani na Le Mutuz. Atulize kitenis, jamaa hana haja na urithi wanaoupigania kwa povu hilo.so what? kwani kupigwa na maisha ni dhambi? pesa huja na kupotea...i hope yeye (Lemutuz) siyo wa kwanza, na siyo wa mwisho kukumbwa na hizo misfortune. hata hivyo, maisha yake binafsi yanakuhusu nini? kwa nini umushikie bango na kashfa juu? why? sikutaka kujibu your comment, ila imenibidi tu. Records show kuwa unalalamikiwa na kila member humu JF kwa lugha isiyo na staha....kumbuka hakuna mkamilifu hapa Duniani. Yeah, may be Lemutuz ni ombaomba...Coz i don't know the guy in person...but what the fucker are you to judge him?. je wewe unajua future yako? think this way, Kesho ukigongwa na gari or uangukiwe na nyumba na u-paralyze mwili mzima...je hutokuwa ombaomba in one way or another?
THINK TWICE