Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Swaga zako nazikubali sana unashusha shit kama kjana wakati age yako imeenda
Kill dem hater you know
 
PART 21:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

Hii ni picha ya kwanza baada ya kuachana na Uniggaz nilitulia kwa muda na kuanza kujitafakari upya kabla ya kuanza kukubali tena Ubongo nikaachana kabisa na mambo ya mtaani gari langu la kimtaani mtaani Volks. Jetta nikaiuza nikanunua HONDA ACURA nikaanza mbio za kutafuta Makaratasi kwanza tayari nilikua na Green Card Fekero yaani ukiiona ni kama yenyewe niliuziwa South Bronx na the Nigerians kwa USD 500 ndio niliyokua natumia kazini kwa kujiamini sana kumbe ni Fekero tu ...

Now nikaanza kumpanga Antoinette namna tutakavyokwenda Manispaa kufunga Ndoa ya Fekero moyoni nilikua ninaogopa sana ninamuogopa Mungu lakini nikamuambia Mungu what can I do? ninahitaji makaratasi viza yangu ya Miezi Sita niliyoingilia kama Tourist ilishaisha Bongo hakufai so nikamuomba sana Mungu kua najua it is wrong lakini sina Choice nisaidie this one now na no matter how much I tried to find justifications of doing it sikuweza kupata amani moyoni mwangu kwa mara ya kwanza in my life nilianza kukosa Amani cause I was about to do the unthinkable lakini nikajaribu kujipa moyo kua mbona wengine wamefanya na wamefanikiwa! .

Nikakumbuka tamaa ya Maendeleo siku zote ina gharama kubwa sana na hapa tayari niliashaanza kulipia gharama cause kwa mara ya kwanza in my life nikaanza kukosa Amani lakini Akili zikauzidi Moyo wangu uliokua unakataa na nikamua liwalo na liwe nikampanga Rafiki yangu Hafidh kua ndiye anatakayenisimamia siku ya kufunga Ndoa na Antoinette atakuja na mwenzake nikambembeleza sana asiifanye ikaonekana kua ni ndoa kweli wote ulikua ni uoga wangu kua eti akija amepania itafanya watu waamini ni ndoa kweli kumbe it was all nonsense thinking.

I was just wrong na nilikua ninavunja amri ya Mungu ya kutosema uongo na hapa ninaidanganya Serikali ya USA na Mungu kwa kufunga ndoa ya Fekero that was the bottom line na siku ya ndoa ilipofika Antoinette akanionyesha how Niggaz she was I almost fainted from a shock of what she did Boom I was like no way Hafidh tuondoke sifungi hii ndoa rafiki yangu akanishika mkono na kuniambia nisijali just do it man I was like now way man lets go Hafidh akakataa kata kata ...unajua the Niggaz alichofanya? .....ITAENDELEA!

(Imekua edited kidogo kuweka paragraph, maana huko ilikotoka duh, aisee)
 
We lemutuz mbona unanichekesha kwa majibu yako kwa vijana ,watoto wa mama .we ni fighter usijilinganishe na hao watoto wa mama.ambao wanashinda betting vibandani .ila acha hizo na wewe mbona umeniblock bila sababu kule insta kwenye account yako.
 
Always humble u know[emoji3][emoji3]
Shunie njoo uku umuombe akufungulie kufuli kuleeeee insta
 
Na bomayeee
 
Ni mekushika pabaya Mr KINUKTA..Matusi na POVU LA nn? wewe Sio BAHARIA na wala hutokuwa BAHARIA,,, usitudhalilishe na uongo wako..hata vyeo vya meli Hujuwi... Wadanganye wasiopanda meli,,, Sio MIMI,,
 
Ni mekushika pabaya Mr KINUKTA..Matusi na POVU LA nn? wewe Sio BAHARIA na wala hutokuwa BAHARIA,,, usitudhalilishe na uongo wako..hata vyeo vya meli Hujuwi... Wadanganye wasiopanda meli,,, Sio MIMI,,
Mzee mbona unamkomalia mwanaume mwenzio piga kimya chief ,kama anadanganya its yeye na maisha yake... Kiongozi ...embu ...chuna basi acha kumkazania kwa vitu nonsense ambavyo havikupi faida maisha yake ni yake , kama anadanganya ni yeye na imani yake mzee ...!!! Funika kombe mwanaharamu apite ...na usiforce mfanane
 
Sasa why ana quote comment zangu? tatizo ni kwamba,,, unapoandika Uzi,, ukauleta humu,, unapaswa upime na watu unaowaletea,,, mimi ni SEAFERAR,,.. Na siku ZOTE unapotaka kujifunza vitu basi usiwe mwongo,,, utapotosha wengine,,,, na kama hataki nimrekebishe asini quote..na pia.. . UNAPOSIKILIZA UONGO haukusaidii,,, wala hujifunzi..kitu SANA SANA kukupoteza tu.... Na yeye anajuwa kama anabishana na SEAFARER.... When you quote me,,, means you want a reply.... So don't quote me if you want no reply..
 
Tunatofauti khs vyama vya siasa japo siwezi kuwa nyumbu pia lkn siku zote nmekuwa nikiamini kweli ww ni Akili kubwa achana nao watt wadogo wengi wao bado wapo kwa baba zao au kwa shemeji zao salute sna nmeikubari sna story us hakika ww ni mpiganaji kaka...
 
Me nashangaa Jamaa una dis sana hadi inakera umezaliwa 1980 sijui mwezako alikuwa anaijua dunia kwa Sehem yake,..we hata dukani tu ulikuwa hukujui acha kukaza kwa mambo yasiyo namaana sis ni binadamu tunapitu kuna mazr tunayo jaliwa pia kunamapufungufu tulionayo kama binadamu
So najua we namwanume,,,,hatupo ivo wanaume kama Ku dis unadis kwa kiasi chake acha kucomment vibaya hadi unaaribu uzi ...kiroho safi nisamehe kama nimekukwaza me ni binadamu
 
Mkuu acha kumbembeleza kama hataki kuamini si aache kwani analazimishwa mtu historia yake yeye anapinga basi atuambie yeye sasa..
 
Mkuu acha kumbembeleza kama hataki kuamini si aache kwani analazimishwa mtu historia yake yeye anapinga basi atuambie yeye sasa..
Sawa mkuu nimekuilewa ,,,nimesoma uzi wote na comments zake toka Saa 22:42 ndo namliza saiv Kweli story ninzuri
 
Ulinifanya nimpende makonda
 
Sasa le mutuz ... nikodishe shamba la kinyerezi kuna mradi nataka nipige bhasi afu faida ikitoka nitakuwa nakugawia kidogo....

Ila hapo kwenye dating experience tanzania itasimama kwa muda....
Hakuna mashamba kinyerezi usiwe mjinga, labda kama unaongelea bustani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…