Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
Swaga zako nazikubali sana unashusha shit kama kjana wakati age yako imeenda
Kill dem hater you know
 
PART 21:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
upload_2018-2-13_21-14-9.jpeg

Hii ni picha ya kwanza baada ya kuachana na Uniggaz nilitulia kwa muda na kuanza kujitafakari upya kabla ya kuanza kukubali tena Ubongo nikaachana kabisa na mambo ya mtaani gari langu la kimtaani mtaani Volks. Jetta nikaiuza nikanunua HONDA ACURA nikaanza mbio za kutafuta Makaratasi kwanza tayari nilikua na Green Card Fekero yaani ukiiona ni kama yenyewe niliuziwa South Bronx na the Nigerians kwa USD 500 ndio niliyokua natumia kazini kwa kujiamini sana kumbe ni Fekero tu ...

Now nikaanza kumpanga Antoinette namna tutakavyokwenda Manispaa kufunga Ndoa ya Fekero moyoni nilikua ninaogopa sana ninamuogopa Mungu lakini nikamuambia Mungu what can I do? ninahitaji makaratasi viza yangu ya Miezi Sita niliyoingilia kama Tourist ilishaisha Bongo hakufai so nikamuomba sana Mungu kua najua it is wrong lakini sina Choice nisaidie this one now na no matter how much I tried to find justifications of doing it sikuweza kupata amani moyoni mwangu kwa mara ya kwanza in my life nilianza kukosa Amani cause I was about to do the unthinkable lakini nikajaribu kujipa moyo kua mbona wengine wamefanya na wamefanikiwa! .

Nikakumbuka tamaa ya Maendeleo siku zote ina gharama kubwa sana na hapa tayari niliashaanza kulipia gharama cause kwa mara ya kwanza in my life nikaanza kukosa Amani lakini Akili zikauzidi Moyo wangu uliokua unakataa na nikamua liwalo na liwe nikampanga Rafiki yangu Hafidh kua ndiye anatakayenisimamia siku ya kufunga Ndoa na Antoinette atakuja na mwenzake nikambembeleza sana asiifanye ikaonekana kua ni ndoa kweli wote ulikua ni uoga wangu kua eti akija amepania itafanya watu waamini ni ndoa kweli kumbe it was all nonsense thinking.

I was just wrong na nilikua ninavunja amri ya Mungu ya kutosema uongo na hapa ninaidanganya Serikali ya USA na Mungu kwa kufunga ndoa ya Fekero that was the bottom line na siku ya ndoa ilipofika Antoinette akanionyesha how Niggaz she was I almost fainted from a shock of what she did Boom I was like no way Hafidh tuondoke sifungi hii ndoa rafiki yangu akanishika mkono na kuniambia nisijali just do it man I was like now way man lets go Hafidh akakataa kata kata ...unajua the Niggaz alichofanya? .....ITAENDELEA!

(Imekua edited kidogo kuweka paragraph, maana huko ilikotoka duh, aisee)
 
- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
We lemutuz mbona unanichekesha kwa majibu yako kwa vijana ,watoto wa mama .we ni fighter usijilinganishe na hao watoto wa mama.ambao wanashinda betting vibandani .ila acha hizo na wewe mbona umeniblock bila sababu kule insta kwenye account yako.
 
- Nilikua nasoma College na nimeweka wazi kua Miezi 6 Baharini na Miezi 6 Shuleni, Ukiwa Mwanafunzi huwezi kuwa Melini ukwa 2nd Engineer hahahahahaha seriously nilikua Apprentice Engineer kwa the sake of lugha rahisi nimeweka Assistant Engineer,

- Kuandika Uongo Chapter 22 inahitaji kua umekufa sio binadam wa kwaida, so take back ujinga wako ulichoandika wote ni ujinga mazafantazzz, nimeweka wazi nilikua kwenye meli ya CMB inayoitwa MV. Luxemburg na ilikua inabeba Coal nenda google utaikuta, nimesema nimesoma Zeeman College Antwerpen, nimelala kituo cha basi nikiwa na hela zangu mfukoni so relax mjinga wewe hata meli hujawahi kupanda. hahahahahaha U know

le Mutuz
Always humble u know[emoji3][emoji3]
Shunie njoo uku umuombe akufungulie kufuli kuleeeee insta
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Na bomayeee
 
- Nilikua nasoma College na nimeweka wazi kua Miezi 6 Baharini na Miezi 6 Shuleni, Ukiwa Mwanafunzi huwezi kuwa Melini ukwa 2nd Engineer hahahahahaha seriously nilikua Apprentice Engineer kwa the sake of lugha rahisi nimeweka Assistant Engineer,

- Kuandika Uongo Chapter 22 inahitaji kua umekufa sio binadam wa kwaida, so take back ujinga wako ulichoandika wote ni ujinga mazafantazzz, nimeweka wazi nilikua kwenye meli ya CMB inayoitwa MV. Luxemburg na ilikua inabeba Coal nenda google utaikuta, nimesema nimesoma Zeeman College Antwerpen, nimelala kituo cha basi nikiwa na hela zangu mfukoni so relax mjinga wewe hata meli hujawahi kupanda. hahahahahaha U know

le Mutuz
Ni mekushika pabaya Mr KINUKTA..Matusi na POVU LA nn? wewe Sio BAHARIA na wala hutokuwa BAHARIA,,, usitudhalilishe na uongo wako..hata vyeo vya meli Hujuwi... Wadanganye wasiopanda meli,,, Sio MIMI,,
 
Ni mekushika pabaya Mr KINUKTA..Matusi na POVU LA nn? wewe Sio BAHARIA na wala hutokuwa BAHARIA,,, usitudhalilishe na uongo wako..hata vyeo vya meli Hujuwi... Wadanganye wasiopanda meli,,, Sio MIMI,,
Mzee mbona unamkomalia mwanaume mwenzio piga kimya chief ,kama anadanganya its yeye na maisha yake... Kiongozi ...embu ...chuna basi acha kumkazania kwa vitu nonsense ambavyo havikupi faida maisha yake ni yake , kama anadanganya ni yeye na imani yake mzee ...!!! Funika kombe mwanaharamu apite ...na usiforce mfanane
 
Mzee mbona unamkomalia mwanaume mwenzio piga kimya chief ,kama anadanganya its yeye na maisha yake... Kiongozi ...embu ...chuna basi acha kumkazania kwa vitu nonsense ambavyo havikupi faida maisha yake ni yake , kama anadanganya ni yeye na imani yake mzee ...!!! Funika kombe mwanaharamu apite ...na usiforce mfanane
Sasa why ana quote comment zangu? tatizo ni kwamba,,, unapoandika Uzi,, ukauleta humu,, unapaswa upime na watu unaowaletea,,, mimi ni SEAFERAR,,.. Na siku ZOTE unapotaka kujifunza vitu basi usiwe mwongo,,, utapotosha wengine,,,, na kama hataki nimrekebishe asini quote..na pia.. . UNAPOSIKILIZA UONGO haukusaidii,,, wala hujifunzi..kitu SANA SANA kukupoteza tu.... Na yeye anajuwa kama anabishana na SEAFARER.... When you quote me,,, means you want a reply.... So don't quote me if you want no reply..
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Tunatofauti khs vyama vya siasa japo siwezi kuwa nyumbu pia lkn siku zote nmekuwa nikiamini kweli ww ni Akili kubwa achana nao watt wadogo wengi wao bado wapo kwa baba zao au kwa shemeji zao salute sna nmeikubari sna story us hakika ww ni mpiganaji kaka...
 
Sasa why ana quote comment zangu? tatizo ni kwamba,,, unapoandika Uzi,, ukauleta humu,, unapaswa upime na watu unaowaletea,,, mimi ni SEAFERAR,,.. Na siku ZOTE unapotaka kujifunza vitu basi usiwe mwongo,,, utapotosha wengine,,,, na kama hataki nimrekebishe asini quote..na pia.. . UNAPOSIKILIZA UONGO haukusaidii,,, wala hujifunzi..kitu SANA SANA kukupoteza tu.... Na yeye anajuwa kama anabishana na SEAFARER.... When you quote me,,, means you want a reply.... So don't quote me if you want no reply..
Me nashangaa Jamaa una dis sana hadi inakera umezaliwa 1980 sijui mwezako alikuwa anaijua dunia kwa Sehem yake,..we hata dukani tu ulikuwa hukujui acha kukaza kwa mambo yasiyo namaana sis ni binadamu tunapitu kuna mazr tunayo jaliwa pia kunamapufungufu tulionayo kama binadamu
So najua we namwanume,,,,hatupo ivo wanaume kama Ku dis unadis kwa kiasi chake acha kucomment vibaya hadi unaaribu uzi ...kiroho safi nisamehe kama nimekukwaza me ni binadamu
 
Me nashangaa Jamaa una dis sana hadi inakera umezaliwa 1980 sijui mwezako alikuwa anaijua dunia kwa Sehem yake,..we hata dukani tu ulikuwa hukujui acha kukaza kwa mambo yasiyo namaana sis ni binadamu tunapitu kuna mazr tunayo jaliwa pia kunamapufungufu tulionayo kama binadamu
So najua we namwanume,,,,hatupo ivo wanaume kama Ku dis unadis kwa kiasi chake acha kucomment vibaya hadi unaaribu uzi ...kiroho safi nisamehe kama nimekukwaza me ni binadamu
Mkuu acha kumbembeleza kama hataki kuamini si aache kwani analazimishwa mtu historia yake yeye anapinga basi atuambie yeye sasa..
 
Mkuu acha kumbembeleza kama hataki kuamini si aache kwani analazimishwa mtu historia yake yeye anapinga basi atuambie yeye sasa..
Sawa mkuu nimekuilewa ,,,nimesoma uzi wote na comments zake toka Saa 22:42 ndo namliza saiv Kweli story ninzuri
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Ulinifanya nimpende makonda
 
Sasa le mutuz ... nikodishe shamba la kinyerezi kuna mradi nataka nipige bhasi afu faida ikitoka nitakuwa nakugawia kidogo....

Ila hapo kwenye dating experience tanzania itasimama kwa muda....
Hakuna mashamba kinyerezi usiwe mjinga, labda kama unaongelea bustani.
 
Back
Top Bottom